Recent content by dadamlamayao

  1. D

    DOKEZO Mpangaji wangu kageuza Nyumba yangu kuwa kiwanda bubu cha kutengeneza vinywaji vikali feki kama Konyagi, K Vant nk

    Wapendwa habarini.Mimi ni Mtumishi wa Umma nipo Dodoma.Nina nyumba yangu nimeijenga Boko. Nilimaliza kuijenga Mei mwaka huu na Juni nikapata Mpangaji(Mme na Mkewe). Nilishukuru maana Mpangaji huyu alijitambulisha kwamba ni Mfanyabiashara anayefuata mizigo China hivyo yupo busy sana, alinilipa...
  2. D

    Naomba ushauri: Kijana wangu amepata kazi Shirika la Good Neighbors na Halmashauri, aende wapi?

    Nami nashauri aende Halmashauri,hilo Shirika la Good Neighbours ni la Kikorea ndugu yangu aliwahi kufanya kazi mwaka 2022 kisha akaacha. Lina mambo ya kipuuzi kuhamasisha USHOGA kwa kaya maskini vijijini kwa kisingizio cha kutoa misaada. Ofisi zao zipo Boko CCM pale pembeni ya Barabara. Kwa...
  3. D

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji28][emoji28] Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  4. D

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Subiri zije zile MBUZI mbili MKOREA na HAMIS zikujaze UONGO kuhusu uzuri wa Kai[emoji28][emoji28]zilisema Arsenal leo anashinda mkono,ndio maana huwa ninazotukana maana hazina akili Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  5. D

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Si huwa mnadanganywa na zile MBUZI kina HAMIS na MKOREA kwamba mnashinda nyingi sijui mkono as if Mpira ni kitu rahisiiiiiiii Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  6. D

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyo HARVETZ acha kumtaja kama mchezaji wa muhimu saaaana,anajaza idadi tu wachezaji, ningekuwa na mamlaka ningemuondoa hata December hii Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  7. D

    Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

    Apigwe KIPAPAI mpofueni macho tuone hayo mafaili ya Kesi atayasomaje.
  8. D

    Iringa: Mke wa Mtu na Mume wa Mtu wafia Mgahawani wakiwa uchi

    Ok basi mimi ni Mkongwe,kwetu ni mitaa ya Mlamke Sekondari hapo nyuma ya Embakassy,Ilala nilimaliza 1993 Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  9. D

    Iringa: Mke wa Mtu na Mume wa Mtu wafia Mgahawani wakiwa uchi

    Nami ni mwenyeji mitaa hiyo ya Ilala,nimesoma Ilala Primary Hebu naomba code za huyo Marehemu pengine namfahamu aisee Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  10. D

    Jadon Sancho aondolewa kwenye Group la WhatsApp la Man United

    CHENGA kweli wewe Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  11. D

    Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

    Ishi Dar ukiwa na maisha mazuri,sio ugombanie Mwendokasi na Madaladala kila siku,sio uishi Chumba kimoja na majiko na mitungi ya gesi,sio uishi nyumba kwenda kuoga ni kwa foleni,ni kupoteza muda Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  12. D

    Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

    Mimi leo na PhD yangu kichwani lakini Dar nakuja kikazi tu na kurudi Mkoani kwa sababu Mkoani ndio kila kitu, kumbuka Ajira nilianzia Dar hapo na nina uwekezaji wa nyumba kadhaa lakini leo ukiniambia nirudi Dar kuishi ni mbinde. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  13. D

    Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

    Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine? Huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu Sent...
  14. D

    Watu aina ya Doto Magari ni wa kuwaepuka kama ukoma!

    Namfahamu tangu akiwa anapiga Debe Daladala za Stesheni Mwananyamala pale Manyanya,alikuwa Teja aliyekubuhu na Mkwapuaji wa Simu hatari,nilimtia sana PINGU enzi zangu nikiwa Oysterbay Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  15. D

    Mbunge Saashisha Mafuwe: Ili Mkurugenzi wa Halmashauri ateuliwe anatakiwa awe amefanya kazi miaka 12 Utumishi wa Umma

    Kama wao wenyewe ndio wenye Serikali wanaishia kulalamika na kunyosheana Vidole,sijui sisi raia tufanyeje[emoji1745]Nchi imejaa mijizi imekuwa shida tu Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom