Recent content by D3F4ULT

  1. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Game kali kwangu mimi litabaki kuwa fifa 22 ila kuendelea hapo cjui Eafc 25&26 ni utopolo, kwanza ni ngumu kutoa cleansheet hata ukicheza na kibonde akibinyiza triangle na box anakufunga
  2. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Mimi nakula maisha tu kwa hisani ya hypervisor(denuvOwO) bypasser
  3. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Hao konami wameamua wajali pesa zaidi kuliko furaha ya wapenda game
  4. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania Blueprint-wimbo unaochokonoa jeraha la ukoloni na biashara ya utumwa

    https://youtu.be/d2ReSavqD08?si=gVlmUw9pmC3-rl2I
  5. D3F4ULT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo wajanja wengi mitandaoni wamekiri ni bora kuoa bikira. Lile pango limewatisha

    Pango lipi tena mkuu?🤔
  6. D3F4ULT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepata addiction

    Lipia kwanza tangazo mkuu
  7. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania Huyu afande amenisikitisha sana kwa kweli kama ndio hivyo tumekwisha

    Tatepa ya mdalasini
  8. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Ea fc26 tayari lishakuwa cracked by hyparvisor(denuvOwO)
  9. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania Pilau na nyama 😋

    Hata wewe si unaona mkuu majina ya picha zenyewe zinamsaliti inaonekana kazidownload huko facebook
  10. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania JF roll call

    Present✊️
  11. D3F4ULT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unafata nini ghetto kama unajua hutatoa tunda!

    Another satisfied customer
  12. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania Nyie watu wa JF nipe msaada, mbona mnakuwa wakorofi?

    Kama una browser yeyote iwe firefox, ms edge au chrome tumia vpn za extensions mimi ndo naona ni rahis kuliko zile za kudownload
  13. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania Ukiachilia Mbali Kutisha tisha, JWTZ haliwezi kamwe kugeuza Bunduki zake dhidi ya Raia ! Tujitokeze wengi sana katika Maandamano!!

    Japo sipo hapa kutetea udhalimu wa watawala ila ogopa mtu anayetii na kufwata maagizo ya mtu fulani anaweza kukugeuka muda wowote, rejea mtwara lile sekeseke la kudai gesi wanajeshi walimwaga mtaani kupika raia baada ya aliyekuwa waziri mkuu (Mizengo pinda) kusema "wapigwe tu" watu walichakaa sana
Back
Top Bottom