Recent content by cyrustheemperor

  1. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Wale wakongwe, haya magari mliyabatiza majina gani shule uliyosoma?

    Mkoko/Samson -Same Sec
  2. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania ESS ni janga kwa watumishi wa umma si msaada siku ya tano mfumo haupo hewani, na hakuna tarifa rasmi

    Mkopo NMB nimeomba nimeshapewa hela nimetumia Lakini mfumo umeganda na Submitted for disbursement miezi 2 sasa mtumishi unashindwa Kuomba mkopo mwingine ufanye yako ukifuatilia hupewi masuhisho ya mana Hii mfumo tumeletewa lakini hatukujipanga kuisimamia na kuiendesha ni upuuzi mtupu
  3. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania DSTV Tanzania vipindi vya hovyo kila package, sinema za kurudia rudia kila siku! Mnachofanya ni utapeli. TCCRA hamuoni udanganyifu huu?

    Siku hizi kama una Internet Data unlimited plans bora utumie IPTV Kwenye Smart tv yako ili uweze kuangalia dunia yote unachotaka tu.
  4. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

    He is the best at worst
  5. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Jana Leo na Kesho, mstari mrefu wa mafanikio kwa mtanzania

    Kuna vinchi viko hapo North Africa tu vinajibaraguza kwamba wao sio Waafrika. Vipi unaweza pata maendeleo wewe kwa kuwakataa na kuwakana watu wa Damu yako kabisa
  6. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania 'Lumumba buku 7' ni ajira rasmi?

    😁😁😁
  7. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Uaminifu mdogo chanzo cha maisha magumu na umaskini kwa watanzania

    Watu wenye roho mbaya ndio wanaofanikiwa alisikika mlevi mmoja
  8. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

    Njia pekee ya kuuwa Cancer mwilini ni kuinyima Sukari itakufa kifo cha milele.Usiipe KANSA Sukari itastawi na itakuuwa wewe.
  9. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

    YOLO! You only live once and die for such a long time
  10. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Aisee wadogo zetu jobless graduates wanapitia magumu mno

    UDSM Imekuwa kama Extended High school Jenerali Ulimwengu
  11. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?

    Hili neno mtanganyika popote ninapoliona nafarijika sana.
  12. cyrustheemperor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

    Wanaume tumepewa wanawake wawe mashamba yetu . Wanawake ni maua ya Dunia. Wanawake hawaamui kuwa na mtu kwa kuwa anampenda. Kazi ya mwamke ni kuheshimu tu Sio kupenda kupenda ni kazi ya mwanaume. Asante!
  13. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Dalili za Magonjwa ya akili

    Ni huyo Mimi sasa😁😁
  14. cyrustheemperor

    JamiiForums Tanzania Obsessive Compulsive Disorder: Ugonjwa wa Akili unaomfanya mtu, kujihami, kuzingatia au kuhakiki mambo/vitu mara kwa mara

    Huo wa kuzurura kila hospital kupima ugonjwa unaoudhani unaumwa hii wengi tumeumwa
Back
Top Bottom