Recent content by Cyrus the virus

  1. C

    Kweli nimepatikana siamini

    Anatumia kilevi chochote..kama ndio..then its easy..kama hatumii..pole!
  2. C

    Kapenzi kangu kazamani kamekuwa karembooo!

    Hiyo ni mojawapo ya aina ya volcano.. Its called Domant.. Ukiichokonoa tuu.. Inalipuka.. Kazi kwako geologist..
  3. C

    Niffah; msema kweli mpenzi wa Mungu

    Hahahaa.. Thanks and it is still Friday..
  4. C

    Prof Lipumba & Mrema kwenye dhifa ya Zuma Ikulu, nini tafsiri yake kwa upinzani?

    Nadhani ni swala la kupewa kadi ya mualiko.. Na ukizingatia Kuna dompo.. Na umei miss.. Hahahaa.. Lazima uende.. Despite of..
  5. C

    Ushauri: Nimechoka kufananishwa

    Tupia picha na sisi tukufananishe uone balaa Lake...
  6. C

    Rais Magufuli aamuru Madaktari walioomba kufanya kazi Kenya waajiriwe nchini mara moja

    Sijaona ubaya wa hayo maamuzi.. Ninachojiuliza watalipwa kwa utaratibu upi au bajeti ipi.. 2016-2017 ndio tunayoitumia kwa sasa.. Right now bunge limemaliza kupitia bajeti ya 2017 - 2018..!!
  7. C

    SGR-Tanzania US$187m/300km V/S SGR-Kenya US$3800m/609km, tumelamba dume

    Ok that means na sisi tukija ongeza another 300km.. 0.187 x2 =0.374 bn.. Duuh mbona kama Kenya wamepigwa sana.. If this case is true!!!?
  8. C

    SGR-Tanzania US$187m/300km V/S SGR-Kenya US$3800m/609km, tumelamba dume

    Mkuu eddy kama hutojali ebu ni brief kidogo hapo kwenye $3800/km versus $187/300km.. Kama hutojali.. Nawakilisha..
Back
Top Bottom