#Serikali naona imesahau kuwashukuru/acknowledge juhudi zilizofanywa na 'first responders' na misaada kutoka wadau mbali mbali (.. ikiwa ni pamoja Serikali ya Kenya)
Haya mawili yameifanya serikali yetu ionekane kwamba ipo ipo tu. Wanatia mkazo mkubwa kwenye mambo yasiyo na umuhimu kama ukuta na Shein kunyimwa mkono.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.