Sijawahi kuwa disappointed na maaskofu/mapadre wa RC Kama kipindi hiki Yani Hawa walikuwa na kidomodomo sana sasahivi kimyaaaa [emoji35][emoji35][emoji35]
Kwa aliyoyafanya Bashite wana haki ya kumsusa wakimuendekeza basi wajiandae kunyanyaswa hivyo kila siku halafu mbona Mabaya yake bado yanatolewa tu Ila hapewi kiki kwa lolote linaloonekana jema waendelee hivihivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.