RC Mrisho Gambo: Serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga

Hahahahahaha anayelikia Mic ni Gambo,baada ya kuona hajakaribishwa hasira anamalizia kuweka watu Mahabusu kisa ana madaraka.

Nenda ka mwambie Madaraka yanaua,Madaraka yana mwisho.Ukiwa na madaraka siyo Mungu.Chuki na visasi havijengi.

Cha msingi mweleze kabisa wale Mapadre aliowaweka mahabusu atajutia sana.

Kama Laana ameishaipata baada ya kula rambirambi za watu.Jamani hata pesa za wafiwa mnataka kuiweka kwenye Uchaguzi??

Sijawahi on.Utawala wa awamu hii ndiyo Majangili nadhani kuliko tawala zote zilizopita.

Tanzania ya Vi-wonder, hakika labda vitajengwa na rambirambi.
Nina uhakika Gambo mwaka 1972 alikuwa hajazaliwa wala mimba yake haikuwa imetegemewa. Lakini kama kijana anayejua kusoma na kuandika basi anapaswa kusoma historia na kujua nini kilimpata Dr Kleruu na kwa nini. Alikuwa na cheo kama chake na tabia zinazofanana naye. Asipoangalia historia huwa inajirudia
 
Ameongea vizuri sana kama kiongozi wa mkoa! Tatizo la watanzania ni wavivu wa kufikiri siasa hata pasipohitajika na hiyo shule kama ana uwezo aifutie usajiri wake wajinga sana.
Huo utaratibu wa serikali kuratibu misiba umeanza lini , maana usije kuwa wewe ndio mvivu wa kufikiri kuliko wengine sababu ya mahaba ya kipuuz
 
baada ya lema kuumbuliwa na Gambo kuhusu ujenzi wa hospitali ya mama na mtoto naona ameumozwa sana...alitaka kulaghai watu kuwa amejenga hospitali kumbe ni kazi ya wahisani...leo hii alitaka kuonekana bora kupitia msiba na Gambo kambania mic..lazima achukie.

lengo la kujidai wanatoa rambirambi jana na kujikweza kisiasa na Gambo kawabania tena.

Zama hizi hamuwezi kutoka kwa kiki za kijinga...lazima mbaniwe na mtaendelea kulialia tu.


Hahahaha upumbavu acheni ni wapi Lema alisema amejenga hospitali?Toka mwanzo Lema.alisema.anatafuta wafadhili Tatizo ni Hao mnaowaona wanajua kufanya kazi kumbe pumbavu kabisa.Kadanganye uko wenu wa panya huku tumestaraabika.Tunajua ukidnganywa kata.Huyo Gambo amewalisha matango pori mnadhani wote ni wala rambirambi. Pole sana sana.Hata mkaroge hamuwezi kumapata Lema
 
baada ya lema kuumbuliwa na Gambo kuhusu ujenzi wa hospitali ya mama na mtoto naona ameumozwa sana...alitaka kulaghai watu kuwa amejenga hospitali kumbe ni kazi ya wahisani...leo hii alitaka kuonekana bora kupitia msiba na Gambo kambania mic..lazima achukie.

lengo la kujidai wanatoa rambirambi jana na kujikweza kisiasa na Gambo kawabania tena.

Zama hizi hamuwezi kutoka kwa kiki za kijinga...lazima mbaniwe na mtaendelea kulialia tu.


Hahahaha upumbavu acheni ni wapi Lema alisema amejenga hospitali?Toka mwanzo Lema.alisema.anatafuta wafadhili Tatizo ni Hao mnaowaona wanajua kufanya kazi kumbe pumbavu kabisa.Kadanganye uko wenu wa panya huku tumestaraabika.Tunajua ukidnganywa kata.Huyo Gambo amewalisha matango pori mnadhani wote ni wala rambirambi. Pole sana sana.Hata mkaroge hamuwezi kumpata Lema
 
Pamoja na kwamba kila mtu ana uhuru wakutoa mawazo yake kwa kile anachokiamini lakini huyu ni ng,ombe kabisa yaani anashabikia ujinga anaofanya mkuu wa mkoa na huyu atakuwa mwana ccm maana akiri za hao zinafanana wako wengi
 
Nina uhakika Gambo mwaka 1972 alikuwa hajazaliwa wala mimba yake haikuwa imetegemewa. Lakini kama kijana anayejua kusoma na kuandika basi anapaswa kusoma historia na kujua nini kilimpata Dr Kleruu na kwa nini. Alikuwa na cheo kama chake na tabia zinazofanana naye. Asipoangalia historia huwa inajirudia

Tatizo vijana wa CCM wanafikiri cheo kinaishi milele. JKN alikuwa Rais Leo familia yake inaonekana kama kinyesi mbele ya watawala sembuse huyu mpumbavu Gambo?
 
Kwani kutoa rambirambi kuna muongozo? Kwa sheria za wapi?

Wananchi wanapenda wapeleke wenyewe kwa wafiwa nyie mnaanza kuweka vizingiti?

Tangu lini serikali ikaratibu misiba?
 
Gambosh bwana......amesaaauu kua hajajiumba.alafu aatatoweka ghafla bila taarifa???haya.tutashiriki tu kkumhifadhi,maana naamini atanitangulia.lakin rramba ramba nooo
 
Yaani huko mbeleni mkipata rambirambi mtatuambia kagera watu walidhami ni bahati mbaya sasahivi wamehakikisha mmedhamiria!! Lesson learned!!
 
Mimi naomba Mungu awape upeo wa kusoma vitabu na kuangalia wao kama Watanzania wamelelewa vipi wasijione yakuwa wanayoyafanya wako vizuri kumbe wanaongeza chuki na kuligaawa taifa lililojengwa ktk maadui, kisa jeuri ya wachache wenye malengo yao ambayo ni tatizo baadaye
 
Ni kweli kabisa kuwapa madaraka vijana ni kujenga chuki na upuumbavu tu,wengi hawana busara zaidi visasi na ubishoo.
Hapa nakiri kabisa rais alilikosea sana taifa vijana wa kiafrica ni tofati kabisa na vijana wa nchi za ulaya na utofauti huu unaletwa na miundo ya maisha ,mazingira, na mifumo ya malezi,

hawa vijana watatu kwakweli mh. Rais ameteleza na kibaya ni kwamba wamemjua boss wao na madhaifu yake na wanamdanganya kweli kweli maana wamejua kucheza na akili yake, hawa vijana watatu hawa mh rais ameteleza sana wana mjengea chuki na wapiga kura wake, tangu wamepewa madaraka hawaifikirii kesho yao ,wanadhan mamlaka waliyo nayo ni ya milele , wamesahau kuwa watarud kuish na jamii hii hii hapo baadae wakiwa hawana wa kuwaamrisha zaid ya wake na watoto zao, kwa maana kwanza bado ni vijana wadogo hivyo bado wanasafari ndefu kidogo ya maisha ktika jamii hii

Ingawa wapo wengine ni wakurugenzi huko wilayan nao ni ma mbumbumbu lakin hawa wameoneka zaid ya wenzao
 
Mnayengeneza scenario nyingi hata za kupika.Hivi hapa bongo kwa utawala huu nani anauwezo wa kutembeza gari bila bima??

Na kama baikuwa na Bima Kamati ya Usalama ilfanya nini kupitia trafick.Hivi mmiliki akikuonyesha bima yake utatafuta sababu gani?Acheni siasa za kipumbavu hamnabhoja mute
Punguza povu kamanda,hivi unajua kuwa mmiliki wa shule yupo ndani mpaka leo?
 
we jamaa wewe??haaaa.aifutie usajili kwa lipi?kweli watanzania tunatumia asilimia moja kufikiri
 
Serikali mkoani Arusha imewataka wananchi na taasisi zinazoendelea kutoa rambirambi kwa familia za wanafunzi waliofariki katika ajali ya basi la wanafunzi kufuata taratibu zilizowekwa ili kuepusha migongano isiyo ya lazima. Aidha amesema serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga likiwemo la vifo vya wanafunzi na amesisitiza umuhimu wa kila mmoja kufuata sheria taratibu na maelekezo yanayotolewa na serikali.
rc%2B1.jpg


Chanzo: www.mitandaoni.co.tz
Kwa vile niko mbali,otherwise, kwani misiba iliyopita kabla ya utaratibu huu wa sasa wa Mkuu wa Mkoa,watu wa Arusha walikuwa wakishiriki (ilivyozoeleka) vipi misiba na hasa utoaji rambirambi? Na je,kama Jamii ndiyo yenye watu,hakuna njia ya kuharmonize taratibu za Kiserikali na zile za Kijamii zilizozoeleka ili kuondoa mikanganyiko hii?
 
Back
Top Bottom