Hapo watumishi walio husika wanapishana vilingeni kutetea ugali wao, watachoma sana ubani na kupasua nazi njia panda ili wabakie kazini, usifanye mchezo kukaa benchi, benchi linalostisha,benchi linachakaza. hali imeshakuwa tete, tamaa haijawahi kumuacha mtu salama 🤣🤣
Nilipata kazi Aberdeen Scotland ya kulea wazee 😂😂 mpaka interview walinifanyia na wakaniofa accomodations, wakaniombea na Visa ubalozini ya miaka 3 mwisho wa siku nikaigomea nilihisi hii kazi sio rahisi kuchezea chezea makalio ya wazee wa kizungu sio rahisi.
Ndoa miaka mitatu ya mwanzo ukiweza toboa ile hali ya kukinai basi utaenda nae vizuri, kipengele ni baada ya kuzaa mtoto wa pili,wanawake wengi hubadilika na wengi mvuto upungua ukiweza kuikubali hali ya mabadiliko yake basi unaweza toboa kuishi nae kwa upendo kwasababu wengi hata kujiamini...
Mungu ana siri kubwa, njia zake Mungu hazichunguziki kamwe, kuhusu mustakabali wa binadamu humpa amtakaye humnyima yeyote. Wangapi wametulia hawana ndoa, wangapi wahuni wana ndoa?!!
Ndoa ni mapenzi ya Mungu akikupangia hata binti awe anajiuza barabarani ataolewa tu hata akiwa hoyahoya atampata...
Nacheka kama mazuri haya mambo haya ila unajua nini ukiwa na mwanamke mjanja mjanja kaa nae kininja ninja pia, "almanusra yanikute hayo kwenye mahusiano", aliposema ana mimba nikamwambia sikia wewe hapa penzi tu kama mimba sihusiki, kwani sijui kama uko na huyu nilimuonyesha picha ya mshkaji...
Kama unaoa mwanamke ambaye ameridhia 100% nafsini kufanya maisha na wewe bila kuwa na nia mbili na akiweka maombi kwa Mungu kuhusu familia yake mambo yatafunguka, kwasababu baraka haziendi kwenye nyumba isiyo na upendo hata siku moja.
1. Advice for young man:
"Don't get attached to any girl. She has more options than you. Your only option is building the best version of yourself"
Vijana zingatieni kazi au biashara zenu kwanza, kipaumbele cha mwanaume ni maendeleo kwanza wekeza akili kwenye maendeleo...kwa ajili ya kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.