Recent content by Cruzoo

  1. Cruzoo

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Shukrani sana Chief. AMLIGHT amekipandisha hapa. Ubarikiwe kwa utayari wako mkuu.
  2. Cruzoo

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu asante sana kwa reference books. Naomba kama unaweza kutuwekea link ya kudownload kitabu cha 17 Proven Strategies. Nimekwama kukipata. Asante sana CC @mw RCT
  3. Cruzoo

    Natilia Shaka Umakini wa ZOOM-Tanzania, Kuna Kazi za Kitapeli wametangaza

    Juzi niniwaonya juu ya NGO inayoitwa ECHO-AID ambayo ni yakitapeli, baada ya kufanikiwa lengo lao leo hii wametangaza tena kazi wakijiita ECHO-AIDS (wameongeza 'S' kwenye website mpya lkn email ya HR na kila kitu kimebakia the same kama ECHO-AID. 1. Finance and Administration Officer Vacancy Job...
  4. Cruzoo

    NGO ya Kitapeli inajiita ECHO-AID, Kuwa makini

    Habari za Leo wakuu. Kuna NGO moja inajiita ECHO-AID ambayo imetangaza ajira sasa hivi ''Accountant'' ikisema mshahara ni Euro 3,459pm to 3,987pm. Napenda kuwajulisha hii ni NGO ya kitapeli na wanachofanya wanakaribisha CV halafu kabla ya deadline wankuambia umefanikiwa kupata nafasi ya kuwa...
  5. Cruzoo

    Tahadhari: Horn of Africa Aid Relief ni NGO ya kitapeli

    Huu ni mtandao mkubwa sana ambao unatengeneza websites mbali mbali na kubandika matangazo ya kazi zenye mishahara mizuri sana kutokea Europe na Asia. Ukiona kazi yeyote kwenye mtandao jitahidi uhakiki UWEPO WAO TANZANIA. Hawa Horn of Africa Relief Aid wanasema wana office London na ukitrace...
  6. Cruzoo

    Tahadhari: Horn of Africa Aid Relief ni NGO ya kitapeli

    Salam sana wakuu. Kuna NGO inayoitwa jina hilo hapo juu, Walitangaza kazi zenye mishahara mizuri sana kuanzia Dola 4700+ kupitia website yao na pia tangazo liliwekwa zoom Tanzania. (Careers Vacancies- Horn of Africa Aid) Naweza kuthibitisha pasipo na shaka kuwa hii NGO haipo, na HR Manager wao...
  7. Cruzoo

    Tahadhari: Horn of Africa Aid Relief ni NGO ya kitapeli

    Salam sana wakuu. Kuna NGO inayoitwa jina hilo hapo juu, Walitangaza kazi zenye mishahara mizuri sana kuanzia Dola 4700+ kupitia website yao na pia tangazo liliwekwa zoom Tanzania. (Careers Vacancies- Horn of Africa Aid) Naweza kuthibitisha pasipo na shaka kuwa hii NGO haipo, na HR Manager wao...
  8. Cruzoo

    Intended Only to Women

    Words..... trusting a man/woman to a certain degree is good for living. But Trusting IN man is a disaster. Thanks I know a little bit about The SON, hoping to get some more bits from you about the HIM and Co. from you. Many Thanks.
  9. Cruzoo

    Intended Only to Women

    This is the best part to Never trade it. Awesome!!! However expecting the same from others creates a hell of disappointments. The best way is to wisely speak it and live it.. others will learn your way as the truth pursues them. Truth is also a wonderful medicine!!!!! Coming to Paul terms...
  10. Cruzoo

    Intended Only to Women

    Thats awesome Ukweli1 . Super!!! I like it. Proverbs 23:23 ''Buy the truth and do not sell it - wisdom, instruction and insight as well''
  11. Cruzoo

    Intended Only to Women

    Thanks very much Ukweli1 .... I quickly thought you are a good believer in truth (Ukweli) as a reason to your name.... I do. Napenda sana Ukweli, unanifanya huru sana and I have nothing to remember in relation to what I say cause its the same as always. Is that your case!!!! Cheers!!!!
  12. Cruzoo

    Intended Only to Women

    Ukweli1 thanks for asking. Your name is really something, any secret behing it? Yeah I didnt mention age intentionaly. I am just looking for a matured good company that we can make a difference in one another. Thats all. I am not looking for a wife though nt yet married. Good day to you!!
Back
Top Bottom