Mkuu asante sana kwa reference books.
Naomba kama unaweza kutuwekea link ya kudownload kitabu cha 17 Proven Strategies.
Nimekwama kukipata.
Asante sana
CC @mw RCT
Juzi niniwaonya juu ya NGO inayoitwa ECHO-AID ambayo ni yakitapeli, baada ya kufanikiwa lengo lao leo hii wametangaza tena kazi wakijiita ECHO-AIDS (wameongeza 'S' kwenye website mpya lkn email ya HR na kila kitu kimebakia the same kama ECHO-AID.
1. Finance and Administration Officer Vacancy Job...
Habari za Leo wakuu.
Kuna NGO moja inajiita ECHO-AID ambayo imetangaza ajira sasa hivi ''Accountant'' ikisema mshahara ni Euro 3,459pm to 3,987pm.
Napenda kuwajulisha hii ni NGO ya kitapeli na wanachofanya wanakaribisha CV halafu kabla ya deadline wankuambia umefanikiwa kupata nafasi ya kuwa...
Huu ni mtandao mkubwa sana ambao unatengeneza websites mbali mbali na kubandika matangazo ya kazi zenye mishahara mizuri sana kutokea Europe na Asia. Ukiona kazi yeyote kwenye mtandao jitahidi uhakiki UWEPO WAO TANZANIA.
Hawa Horn of Africa Relief Aid wanasema wana office London na ukitrace...
Salam sana wakuu.
Kuna NGO inayoitwa jina hilo hapo juu, Walitangaza kazi zenye mishahara mizuri sana kuanzia Dola 4700+ kupitia website yao na pia tangazo liliwekwa zoom Tanzania. (Careers Vacancies- Horn of Africa Aid)
Naweza kuthibitisha pasipo na shaka kuwa hii NGO haipo, na HR Manager wao...
Salam sana wakuu.
Kuna NGO inayoitwa jina hilo hapo juu, Walitangaza kazi zenye mishahara mizuri sana kuanzia Dola 4700+ kupitia website yao na pia tangazo liliwekwa zoom Tanzania. (Careers Vacancies- Horn of Africa Aid)
Naweza kuthibitisha pasipo na shaka kuwa hii NGO haipo, na HR Manager wao...
Words..... trusting a man/woman to a certain degree is good for living. But Trusting IN man is a disaster.
Thanks I know a little bit about The SON, hoping to get some more bits from you about the HIM and Co. from you.
Many Thanks.
This is the best part to Never trade it. Awesome!!!
However expecting the same from others creates a hell of disappointments. The best way is to wisely speak it and live it.. others will learn your way as the truth pursues them. Truth is also a wonderful medicine!!!!!
Coming to Paul terms...
Thanks very much Ukweli1 .... I quickly thought you are a good believer in truth (Ukweli) as a reason to your name.... I do. Napenda sana Ukweli, unanifanya huru sana and I have nothing to remember in relation to what I say cause its the same as always.
Is that your case!!!!
Cheers!!!!
Ukweli1 thanks for asking. Your name is really something, any secret behing it?
Yeah I didnt mention age intentionaly. I am just looking for a matured good company that we can make a difference in one another. Thats all. I am not looking for a wife though nt yet married.
Good day to you!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.