Recent content by Cruzoo

  1. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa Mabinti: Kwa Kadri Unavyokuwa Hard To Get, Ndivyo Unavyozidi Kupendwa, Kuthaminiwa!, Ukiwa Easy Come, Easy Go!

    Asante sana mkuu Pascal Mayalla Niongezee, Mwanamke anaweza kupandisha thamani na hadhi yake kwa- Kumcha Mungu / kuwa na hofu ya Mungu. Kujiheshimu na kutambua thamani yake. Kuheshimu wengine bila kujishusha. Kuwa na misimamo na utu wake ambao hauwezi kununuliwa kwa pesa, mali wala ahadi...
  2. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Eboué: Jinsi Mapenzi Yalivyomfilisi Star wa Arsenal

    Tujifunze kumuamini ANAYEAMINIKA na sio unayemuamini. Trust is EARNED, not given. "Love is madness but in madness there is reasoning" Einstein
  3. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Harusi ni nyingi sana kipindi hiki. Utapata hela wiki 2-4 za mwishoni. Wabongo ni watu wa dakika za mwishooooni!!!!!
  4. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Love language

    Money is overated, ila fanya kila lililo HALALI uwe nayo ya kukutosha na wale uwapendao. Maisha ni balance, Mapenzi nayo ni balance. Fanya kila kitu kwa kiasi.
  5. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Je, wakati (time) una mwisho au ulianza lini?

    Nikatamani nikuulize, kusipokuwepo na jua na mwezi, Dunia inakua kiza tu au inakua na mwanga tu? Kwa mujibu wa uumbaji, Mwanzo Mungu aliamuru NURU iwepo, na katenga Nuru (asubuhi) na giza (usiku), Ikawa Asubuhi, ikawa jioni....siku ya kwanza hadi ya nne. Baadae Jua likaumbwa LITAWALE mchana na...
  6. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Je, wakati (time) una mwisho au ulianza lini?

    “Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.” — Mwanzo 1:1 Mwanzo — Muda (Time) Mbingu — Nafasi (Space) Nchi — Maada (Matter) Kwa maneno machache, mstari huu unaonyesha mwanzo wa vipengele vitatu vya msingi vya ulimwengu: muda, nafasi na maada. Vipengele hivi vinategemeana; maada haiwezi...
  7. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Mapenz ni uzushi!

    https://www.youtube.com/watch?v=wOpSqV9E7HY&list=RDwOpSqV9E7HY&start_radio=1&pp=ygUQanVzdCBhbiBpbGx1c2lvbqAHAQ%3D%3D
  8. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Kidoo: Wanawake tukiomba tendo tunaonekana wahuni

    It is so sexy! You feel needed and appreciated.
  9. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Asante sana Mkuu. Blessings
  10. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Shukrani sana Chief. AMLIGHT amekipandisha hapa. Ubarikiwe kwa utayari wako mkuu.
  11. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu asante sana kwa reference books. Naomba kama unaweza kutuwekea link ya kudownload kitabu cha 17 Proven Strategies. Nimekwama kukipata. Asante sana CC @mw RCT
  12. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania Natilia Shaka Umakini wa ZOOM-Tanzania, Kuna Kazi za Kitapeli wametangaza

    Juzi niniwaonya juu ya NGO inayoitwa ECHO-AID ambayo ni yakitapeli, baada ya kufanikiwa lengo lao leo hii wametangaza tena kazi wakijiita ECHO-AIDS (wameongeza 'S' kwenye website mpya lkn email ya HR na kila kitu kimebakia the same kama ECHO-AID. 1. Finance and Administration Officer Vacancy Job...
  13. Cruzoo

    JamiiForums Tanzania NGO ya Kitapeli inajiita ECHO-AID, Kuwa makini

    Habari za Leo wakuu. Kuna NGO moja inajiita ECHO-AID ambayo imetangaza ajira sasa hivi ''Accountant'' ikisema mshahara ni Euro 3,459pm to 3,987pm. Napenda kuwajulisha hii ni NGO ya kitapeli na wanachofanya wanakaribisha CV halafu kabla ya deadline wankuambia umefanikiwa kupata nafasi ya kuwa...
Back
Top Bottom