Recent content by Crucial b

  1. C

    Wale wa Mwanza njooni hapa

    kamanga feri pale lipo zuri tu ila unavuka na meli kama kigamboni
  2. C

    Nabii Frank Julius Kilawah mnamsoma?!

    hawana tofauti na waganga wa kienyeji wote wanatumia majini ya utambuzi
  3. C

    Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

    inawezekana hafanyi mapenzi mara kwa mara kwa hiyo inafikia hatua anakuwa na hamu sana na kuota njozi akifanya mapenzi hapa naongelea umbali kati yenu ni tatizo pili inawezekana kabisa hata ww humfikishi vizuri kwa hiyo hamu inakuwa kubwa na bahati mbaya hataki kukusaliti anazimalizia ndotoni...
  4. C

    Mzimu wa Kuungua Mabweni ya Shule za Sekondari.....

    kwanini tusiseme ukweli mabweni kuungua ni mbinu chafu zinazofanywa na upande wa pili ili kuudhoofisha speed ya serikali ionekane haifanyi kazi.
  5. C

    My little story with Makonda about leadership, kwa faida ya wasiokujua

    sisi hatuhitaji porojo tunataka vitendo kuwa mwanasiasa hakuhitaji akili nyingi bali kipawa ulichopewa na mungu sasa kama ww ulikuwa vizuri au vibaya haituhusu huko uliko ndiko ulipotaka uwe na yy makonda aliko ndiko alikotaka kwenye maisha kuna mipango ya binadamu na kusudi la mungu so...
  6. C

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    jambo la kwanza punguza idadi ya mechi kama ulikuwa unatandika mara 3 au 4 kwa mwezi fanya hata mara mbili au moja pili issue ya maji mkeo awe mjanja tu wadada wengi wanajua hii kitu namna ya kuizuia awaulize wenzake wanafanya nn tatu mm nakulaumu ww mkuu hii issue ya maji na jinsi unavyojisikia...
  7. C

    Rais Magufuli mpe kazi Makongoro Nyerere

    jf ongezeni kipengele cha vyeti ili kijiunga kwenye hili jukwaa maana jukwaa limeingiliwa na vilaza
  8. C

    Msimamo wa Rais Magufuli kuhusu Katiba Mpya wamtesa Tundu Lissu

    hahaha jpm mpaka raha,upinzani tafuteni ajenda nyingine hii ya katiba mzizi umekatwa,ukijifanya una akili sana wapo wanaokuzidi
  9. C

    Wanawake kama ndio mnadanganyana hivi kututeka wanaume mwenzenu nimeng'oa meno

    nimecheka mpaka chozi limenitoka humu MMU kuna watu hawafai
  10. C

    Kutoka Makao Makuu CHADEMA: M/kiti Mbowe aahirisha maandamano ya UKUTA ya Oktoba Mosi

    hapa tuna upinzani hewa,chama hewa,mwenyekiti hewa propaganda hewa na mwisho kbs ukuta wa mabua ya mpunga mkavu hongereni cdm.
  11. C

    Mbowe kamkosea heshima Lipumba

    over my dead body? maandamano yako pale pale sisi tumejiandaa harafu unatuletea nidhamu ya uoga Mr Mbowe sisi mambo ya limchele hayatuhusu.
  12. C

    RwandAir acquires first Airbus A330-200 in East Africa

    ngoja tukutafutie Mme kwa kagame
  13. C

    JamboLeo: Watanzania wakosa imani na 'Rais'

    nchi hii hata angeshushwa malaika atawale angesurubiwa kama yesu maana watu wazima na akili zao wanaongea kama wako kwenye ngoma ya mchiriku hili gazeti siku zake zinaweza kuwa zinahesabika =====
  14. C

    Lowassa ataja sababu ya TB Joshua kutohudhuria sherehe za kuapishwa Rais Magufuli

    wakurya sio wajinga wanawake kuoa waliona mbali ifikie hatua tuache kung'ang'ania kuajili mabaunsa na mabodigadi kutulinda umri ukishaenda sana akili zinakuwa za kitoto hata kuwaza tunawaza kama watoto wadogo ifikie hatua tuajili washauli watusaidie baadhi ya mambo.
  15. C

    Taarifa ya TCRA kuhusu zoezi la uzimaji wa simu bandia hapo kesho

    ukiona simu yako imezimwa leo fanya hivi mtafute bi mkubwa wako mkarishe chini ongea nae kwa ustaraabu wa hali ya juu akueleze kinagaubaga baba yako halisi ni nani inawezekana hata ww ni feki,
Back
Top Bottom