Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,209
Na wewe umeamini? wajinga ndio waliwao
habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akilala naye kitanda kimoja na jini akija akashindwa kujua nani ni nani je?
Mwanamke anatafuta sababu ya kuachana na jamaaIngekuwa mimi naachana nae kabisa,maana hamna kitu kama hicho mwanamke kuliwa na jinni,hayo ni mambo ya kufikirika tu,achana nae, wanawake wamejaa dumia nzima.
Akithubutu kulala naye tu kitanda kimoja basi utelezi utahamia nyumani kwakeKaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....
Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.
Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
[emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Akithubutu kulala naye tu kitanda kimoja basi utelezi utahamia nyumani kwake
Hiyo sio ishu kubwa . Ni suala la kiroho ambalo linatatulika kabisa. Mwambie mpz wako aende kwenye vikundi vya maombi wamuombee na hiyo hali haitarudi tena. Kuna pepo la hofu (ambalo kazi yake ndo hiyo kufanya mambo mabaya kupitia ndoto.habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae
hahaaaMuandalie fumanizi mapema,au unasubiri apate mimba?
mkuu unatka kumponza kijana wawatu sio bure ..huyo jini akitokea atawala wote viboga yeye mpka huyo demu wakeKaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....
Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.
Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......