Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,141
- 1,982
Salaam wanaJF
Katika taarifa yao ya habari ya tarehe27/11/2016, kituo cha ITV kilitangaza kuhusu kuungua kwa Shule ya Sekondari Tweyambe iliyoko Misenyi Mkoani Kagera.Bweni la wanafunzi liliteketea kwa moto lakini hakuna aliyepoteza maisha.Uchunguzi wa awali ulibaini kuwa bweni hilo halikuteketea kwa moto unaotokana na hitilafu ya umeme kwa kuwa wanatumia Solar.
Katika taarifa yao ya habari ya tarehe27/11/2016, kituo cha ITV kilitangaza kuhusu kuungua kwa Shule ya Sekondari Tweyambe iliyoko Misenyi Mkoani Kagera.Bweni la wanafunzi liliteketea kwa moto lakini hakuna aliyepoteza maisha.Uchunguzi wa awali ulibaini kuwa bweni hilo halikuteketea kwa moto unaotokana na hitilafu ya umeme kwa kuwa wanatumia Solar.