Kibaya kabisa ni viongozi almost wote wa chadema except MWENYEKITI,wote wameoza na wote hawafai,sifahamu mwenyekiti atafanyaje kazi endapo atatoka nje maana timu nzima imeoza!
-Nafasi ya heche itamfaa apewe jike dume!..
-katibu mkuu apewe Golugwa!
Ili kuwakatisha tamaa wale viherehere waisoutakia mema muungano wetu ipo haja ya dhati na thabiti ya kuona ni jinsi gani tutafanya ili muungano huu,tuupigilie msumari wa mwisho ili nia na akili za wale wachache wasioutakia mema muungano,nia zao za hovyo zisiweze kufikirika kwa namna yoyote ile...
Aisee,issue za mapenzi kwa sasa zipo beyond sana, bint alikusoma mapema sana,yupo na mtu wa aina gani!, so alifanya makusudi kukutafuna vilivyo! Hata issue za mademu,wenyewe hawapendi mtu mwenye maneno mengi,wengi tena pisi kali,wanapenda uweke dau mapema, ----I wanna chill with you!, off course...
Tuwe tu wakweli unguja na pemba ziliachwa nyuma kupita kiasi,tuwe wakweli haswa,kwa dhati,
Rais mpendwa ducturi SSH, Ona namna ya kuuimarisha yaani kuufunga kabisa na funguo yake uitupe katika kina cha bahari.
YANGU NI HAYO KWA LEO!
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
KUNA MIGONGANO YA KIMASLAHI KATI YA LEMA NA HECHE WOTE WAPO NDANI KABISA YA CHAMA,WANA SOURCES ZOTE ZA KILA KINACHOENDELEA NDANI YA CHAMA,KILA NENO LA MMOJA WAO KWA MWINGINE NI KWELI TUPU,
MANGE / HAWEZI KUWA NA INFOS SAHIHI ZA KIPI KIPO NDANI YA CHAMA.KWA WAKATI HUU.
Kabla hujaingia kwenye siasa,na unataka uwe fame,itakulazimu ufanye scenerio yoyote ili uwekwe ndani,ndipo sasa utaonekana mpigania haki,scenerio ndiyo watanzania wanataka waione ndiyo wakutambue kama mzalendo na mpigania haki....more movie scenerio to came!
Ulimi, wetu na mawazo yetu kwa asilimia kubwa almost 90% ndiyo,hutengeneza channel ya mfumo wetu wa maisha,tukumbuke binadamu kwa jinsi alivyoumbwa ana uungu kwa 5-10, katika matendo yake na maisha yake ya siku kwa siku,kauli zake azitoazo huweza kutengeneza effect fulani hasa pale anapozidi...
Kusema ukweli imekuwa jambo baya?,lema amesema kweli tupu bwana HECHE yeye alipotaka pasiport alipiga tu simu,ndani ya siku mbili STH lilimletea passport,kwani hili ni jambo baya na wengi tukalifahamu na kuona muunganiko uliopo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.