Hata wakati wa nuhu walikuwepo pia!/
Msingi wa foundation na nguvu ya sala upo katika kurudia sala mara nyingi zaidi!,+ subira,maana mungu siyo mwanadamu,anaweza kukukinga kwa baya pia kwa sababu maalumu/ yaani akakupa dharura ambayo itakufanya usiondoke hapo ili upone kwenye ajali ile...
Nakupa kingine,sala ni sawa na foundation,unaposali unatengeneza strip moja!,unaporudia kusali mara kwa mara unatengeneza thick foundation,kama msingi mkubwa na mzito,tuachane na habari za mafuta na maji ya upako!,turejee katika msingi wa sala,unapokuwa unasali kama ndiyo msingi wako wa kila...
Unapotaka kwenda kuomba kazi mahala,ikiwa tayari umesha vaa mpaka viatu,na kunywa chai yako,isome zaburi ya 65 kwa nguvu na sauti, huku umeshika document zako,uimalize zaburi hiyo!,Tafadhali usiwe umekaa kitandani!....baada ya kuisoma nenda!,
#Goodluck.
#Sunday gift
Na nyie wavulana siku hizi mna hofu ya kuharibiwa uvulana wenu?,basi hongera sana,pia mbegu zako ni za thamani sana acha kuzipoteza na kuzitupa vyooni!,zamani kuna waliopiga mahesabu,goli moja ni sana na nguvu ya kutembea kilometer 10,linda mbegu zako!
Unasema tupige mashine,mashine zenyewe siku hizi maradhi kibao!,nguvu zimepungua,ukaja likwaa kubwa kuliko utamlaumu nani?, au ukamix gono,hiv na kaswende!, akina mama siku hizi wanatupangia,twende wapi?/
Kupiga master b, labda endapo,kama italazimika ufanye tendo la kila siku!🛑
-Master...
Wewe ni mwanamke mtulivu huna pupa kabisa,kwa comment yangu nilitaraji eruption,lakini upo cool!,posible ulitendwa vibaya,hivyo hutaki mambo ya kugandana na mtu!,upo sawa kabisa!,bahati njema kwako!
Kwa sababu uchaguzi uliingia ghasia kwa kiasi fulani,nafikiri suala hili na mipangolio isukwe na tume maana wao ndiyo uratibu wao au kitu wanachokiratibu kiliingiwa na dosari ndogo ndogo basi ni dhahri Tume ya uchaguzi,na msajili wa vyama wakae waone wanaweka miiko na adhabu za aina gani kwa...
Reason:- kulitokea ghasia za kihuni na vibaka,kistaarabu ni lazima tukae chini tutafakari na kuwekana sawa,kama kutakuwa na chama hakitaki kushiriki pia ni #Ruksa kutoshiriki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.