Recent content by Crocodiletooth

  1. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kuna habari zingine ukizisikia inabidi ukae kimya kwanza. Hii ya Godbless Lema kuanzia pole ya msiba na kuishi Sea Cliff Hotel miezi 2 inafikirisha...

    Kibaya kabisa ni viongozi almost wote wa chadema except MWENYEKITI,wote wameoza na wote hawafai,sifahamu mwenyekiti atafanyaje kazi endapo atatoka nje maana timu nzima imeoza! -Nafasi ya heche itamfaa apewe jike dume!.. -katibu mkuu apewe Golugwa!
  2. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar kwa udongo bado haitoshi, kuna la kufanya zaidi

    Ili kuwakatisha tamaa wale viherehere waisoutakia mema muungano wetu ipo haja ya dhati na thabiti ya kuona ni jinsi gani tutafanya ili muungano huu,tuupigilie msumari wa mwisho ili nia na akili za wale wachache wasioutakia mema muungano,nia zao za hovyo zisiweze kufikirika kwa namna yoyote ile...
  3. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Aisee,issue za mapenzi kwa sasa zipo beyond sana, bint alikusoma mapema sana,yupo na mtu wa aina gani!, so alifanya makusudi kukutafuna vilivyo! Hata issue za mademu,wenyewe hawapendi mtu mwenye maneno mengi,wengi tena pisi kali,wanapenda uweke dau mapema, ----I wanna chill with you!, off course...
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tafiti zaonyesha Watanganyika na Wazanzibari hawautaki Muungano. Kura zipigwe upya ili wananchi waamue kuuvunja au ubakie

    Tuwe tu wakweli unguja na pemba ziliachwa nyuma kupita kiasi,tuwe wakweli haswa,kwa dhati, Rais mpendwa ducturi SSH, Ona namna ya kuuimarisha yaani kuufunga kabisa na funguo yake uitupe katika kina cha bahari. YANGU NI HAYO KWA LEO! ^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amtuhumu Lema kuishi sea cliff kwa miezi miwili sasa

    KUNA MIGONGANO YA KIMASLAHI KATI YA LEMA NA HECHE WOTE WAPO NDANI KABISA YA CHAMA,WANA SOURCES ZOTE ZA KILA KINACHOENDELEA NDANI YA CHAMA,KILA NENO LA MMOJA WAO KWA MWINGINE NI KWELI TUPU, MANGE / HAWEZI KUWA NA INFOS SAHIHI ZA KIPI KIPO NDANI YA CHAMA.KWA WAKATI HUU.
  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiwa kwenye siku zao(Hedhi) wanakuwa hatari kwenye mazao na watoto wachanga!

    Acha na mimi niungane na wengi ni imani tu, maana zakwako changanya na zakuambiwa,just sort out!....
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Hawa waheshimiwa wetu sioni hata umaana wa kuja maeneo haya,but let see!..
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    LISSU ndiye stirling halisi hawa akina heche ni movies pranks!...
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Janeth Rithe: Sasa hivi ukiingia kwenye siasa ujikane tu nafsi yako, kuna watu wamejifunza kuua na sisi tunatakiwa kujifunza kufa

    Kabla hujaingia kwenye siasa,na unataka uwe fame,itakulazimu ufanye scenerio yoyote ili uwekwe ndani,ndipo sasa utaonekana mpigania haki,scenerio ndiyo watanzania wanataka waione ndiyo wakutambue kama mzalendo na mpigania haki....more movie scenerio to came!
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Huyu jamaa anatuzuga tu,yupo beneth na vigogo wa CCM,tumemuelewa na tumemtambua vizuri.
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tuyalinde mawazo yetu,tukatae kauli hasi,ni sumu kali,inayotengeneza mawimbi ambayo ni lazima yafuate njia hiyo hiyo!,kama agizo!

    Ulimi, wetu na mawazo yetu kwa asilimia kubwa almost 90% ndiyo,hutengeneza channel ya mfumo wetu wa maisha,tukumbuke binadamu kwa jinsi alivyoumbwa ana uungu kwa 5-10, katika matendo yake na maisha yake ya siku kwa siku,kauli zake azitoazo huweza kutengeneza effect fulani hasa pale anapozidi...
  12. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    GAME BOARD WALISAJILI KWA NAMNA GANI KAMPUNI FAKE ZISIZO NA UWEZO KAMA HII?,LAWAMA ZOTE KWA GAME BOARD!
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Unahitaji mitambo? Heavy Industrial equipment in Agriculture, Construction, Mining and Industries. Karibu tuwasiliane 0754247000. Ubungo Dar es salaam

    Excavator mnauzaje? Au Down payment mnapokea kiasi gani? Ili mtu akilipa achukuwe amalizie polepole!
  14. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Uaminifu wa Wachaga kwenye upinzani unashuka, viongozi wachache wanaponza kabila zima kuonekana kujali maslahi tu, hawana msimamo wala uzalendo.

    Kusema ukweli imekuwa jambo baya?,lema amesema kweli tupu bwana HECHE yeye alipotaka pasiport alipiga tu simu,ndani ya siku mbili STH lilimletea passport,kwani hili ni jambo baya na wengi tukalifahamu na kuona muunganiko uliopo?
Back
Top Bottom