Recent content by Crocodiletooth

  1. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Mouth perfume
  2. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Ukahidi haulipi?,nitishie utanikata mapanga,niripoti tishio, halafu miezi mitano mbele nikatwe kweli mapanga uone kesi itakuwaje?
  3. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Komazeni shingo atakula mvua za kweli shauri yenu!..
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    KWA ROHO SAFI TENA NYEUPE NAIOMBA MAHAKAMA NA DPP WAONE HILI NA KWA HEKIMA APEWE ONYO JUU YA KAULI ZAKE NA AWE HURU,LAKINI SI HURU KABISA HAPANA CHINI YA UANGALIZI MAALUM KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO! #IKAWE HIVYO AMEN.
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Ok!,matusi kwetu ni manukato safi.. Mtu akikwambia nitakuua,nitakuibia,au nitakupiga,ni vizuri uende polisi ili uripoti vitisho hivyo!,ili ikaja kutokea umekufa,pengine si kwa kauli ile ya vitisho lakini pakuanzia patakuwa pamepatikana kwa familia ya marehemu.
  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    ""Kila kitu huanza kwa wazo,wazo kuelekea kwenye nia,nia upelekea kwenye kauli/neno,kauli/neno hupeleka signal kwa watekelezaji,kauli ya kiongozi ni agizo ""
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Siyo kila kitu ni cha kukipuuza!/ Upo sahihi ni jinsi mahakama itakavyopendekeza lakini kumbuka kuna ATHARI ZILITOKEA! Athari ndizo zinaleta mkwamo!,kusingekuwa na athari yoyote isingekuwa na uzito wowote,ingetolewa onyo tu.
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Usijitoe akili mkuu,lissu ni kiongozi mkuu,kauli yake ni agizo moja kwa moja....(Titles yake kama mkuu wa chama siyo mchezo) Labda alikuwa ajitambui kama yeye ndiye mwenyekiti,na kauli yake huwa ni kauli yenye uzito. *Nakupa mfano,leo hii mwenyekiti wa chama ccm akikosea akatamka ""siipendi...
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Mkuu hujui kiongozi akitamka neno,haraka utekelezaji huanza pengine hata bila yeye kutambua!.... (Underground work huanza mara moja zinazo husu utekelezaji)
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Ogopa neno,kibaya halirudi nyuma,kibaya zaidi,baada ya matamshi,""UOVU""Utokee!
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Do not take it easy!
  12. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    *Maneno yake kabla ya lolote kutokea, *maneno yenye nia na dhamira ovu, -Tutakinukisha -Uchaguzi tutauvuruga -Uchaguzi hautafanyika. -Tunajua tutauzuiaje! *Outcomes yake! -Uchaguzi ulikuwa na ghasia -Tafrani kubwa ikatokea -Mali za umma zikachomwa moto!
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania AM Grain Store

    Hongera sana mkuu,nitakuwa mteja wako mkubwa hapo,""Piga kazi acha zungusha mikono ya chadema""
  14. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Ningelikuwa na mamlaka ya uongozi,ningehakikisha nakuwa na meli za uvuvi bahari kuu 10,nikahakikisha navua samaki wa kutosha,nikauzia watanzania kwa 5000/- tu kwa kilo moja!, watanzania wakafaidi rasilimali zao kwa bei poa #Vitoweo havikwepeki / #Kuna trillion 3-5 hapa kwenye fishing tu.
  15. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Ubungo–Msewe bado tunanunua ndoo ya maji Sh 1,300 hadi 1,500

    Poleni sana huku mvuti Dondwe maji yanatiririka bombani bila kukatika!...
Back
Top Bottom