Recent content by Crocodiletooth

  1. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Hata wakati wa nuhu walikuwepo pia!/ Msingi wa foundation na nguvu ya sala upo katika kurudia sala mara nyingi zaidi!,+ subira,maana mungu siyo mwanadamu,anaweza kukukinga kwa baya pia kwa sababu maalumu/ yaani akakupa dharura ambayo itakufanya usiondoke hapo ili upone kwenye ajali ile...
  2. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Nakupa kingine,sala ni sawa na foundation,unaposali unatengeneza strip moja!,unaporudia kusali mara kwa mara unatengeneza thick foundation,kama msingi mkubwa na mzito,tuachane na habari za mafuta na maji ya upako!,turejee katika msingi wa sala,unapokuwa unasali kama ndiyo msingi wako wa kila...
  3. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Usifanye zoezi hili maana tayari imeshashindikana kitambo sana kwa imani yako!...
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Unapotaka kwenda kuomba kazi mahala,ikiwa tayari umesha vaa mpaka viatu,na kunywa chai yako,isome zaburi ya 65 kwa nguvu na sauti, huku umeshika document zako,uimalize zaburi hiyo!,Tafadhali usiwe umekaa kitandani!....baada ya kuisoma nenda!, #Goodluck. #Sunday gift
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Na nyie wavulana siku hizi mna hofu ya kuharibiwa uvulana wenu?,basi hongera sana,pia mbegu zako ni za thamani sana acha kuzipoteza na kuzitupa vyooni!,zamani kuna waliopiga mahesabu,goli moja ni sana na nguvu ya kutembea kilometer 10,linda mbegu zako!
  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kansa ya Tezi Dume Inamtesa Rais Mstaafu wa USA Mzee Biden.Aombowe Huyu Hakuwa Rais wa Hovyo kama Trump

    Unasema tupige mashine,mashine zenyewe siku hizi maradhi kibao!,nguvu zimepungua,ukaja likwaa kubwa kuliko utamlaumu nani?, au ukamix gono,hiv na kaswende!, akina mama siku hizi wanatupangia,twende wapi?/ Kupiga master b, labda endapo,kama italazimika ufanye tendo la kila siku!🛑 -Master...
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Wewe ni mwanamke mtulivu huna pupa kabisa,kwa comment yangu nilitaraji eruption,lakini upo cool!,posible ulitendwa vibaya,hivyo hutaki mambo ya kugandana na mtu!,upo sawa kabisa!,bahati njema kwako!
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Hii inaitwa PPV, au pay per view!, aweze kukuhudumia!?....labda nikijisikia nije nakamua nalipa nasepa,baada ya wiki tena,na Tena na Tena
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Vina mamlaka kamili katika utendaji wao!...sasa nini maana ya kuanzishwa,vikawepo na kuaminiwa,vifanye kazi.
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Miongozo mipya jinsi ya kupima Tezi Dume

    Ok,thank you,hivyo ukianza kuona mkojo unatoka kwa taabu basi tuwahi? #TUNYWENI DAWA ZA KIMASAI MARA KWA MARA.
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Kwa sababu uchaguzi uliingia ghasia kwa kiasi fulani,nafikiri suala hili na mipangolio isukwe na tume maana wao ndiyo uratibu wao au kitu wanachokiratibu kiliingiwa na dosari ndogo ndogo basi ni dhahri Tume ya uchaguzi,na msajili wa vyama wakae waone wanaweka miiko na adhabu za aina gani kwa...
  12. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    ""Wenye akili zao wanafungua tu biashara,wale wanasubiri lissu atoke awakomboe!,hawa huku wamegeuzwa ngazi zao!""
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    IT'S WAS A MASSIVE BURGLARS YA WAFUASI WA CHADEMA!
  14. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Reason:- kulitokea ghasia za kihuni na vibaka,kistaarabu ni lazima tukae chini tutafakari na kuwekana sawa,kama kutakuwa na chama hakitaki kushiriki pia ni #Ruksa kutoshiriki.
Back
Top Bottom