Recent content by Crocodiletooth

  1. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Siyo kila kitu ni cha kukipuuza!/ Upo sahihi ni jinsi mahakama itakavyopendekeza lakini kumbuka kuna ATHARI ZILITOKEA! Athari ndizo zinaleta mkwamo!,kusingekuwa na athari yoyote isingekuwa na uzito wowote,ingetolewa onyo tu.
  2. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Usijitoe akili mkuu,lissu ni kiongozi mkuu,kauli yake ni agizo moja kwa moja....(Titles yake kama mkuu wa chama siyo mchezo) Labda alikuwa ajitambui kama yeye ndiye mwenyekiti,na kauli yake huwa ni kauli yenye uzito. *Nakupa mfano,leo hii mwenyekiti wa chama ccm akikosea akatamka ""siipendi...
  3. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Mkuu hujui kiongozi akitamka neno,haraka utekelezaji huanza pengine hata bila yeye kutambua!.... (Underground work huanza mara moja zinazo husu utekelezaji)
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Ogopa neno,kibaya halirudi nyuma,kibaya zaidi,baada ya matamshi,""UOVU""Utokee!
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Do not take it easy!
  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    *Maneno yake kabla ya lolote kutokea, *maneno yenye nia na dhamira ovu, -Tutakinukisha -Uchaguzi tutauvuruga -Uchaguzi hautafanyika. -Tunajua tutauzuiaje! *Outcomes yake! -Uchaguzi ulikuwa na ghasia -Tafrani kubwa ikatokea -Mali za umma zikachomwa moto!
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania AM Grain Store

    Hongera sana mkuu,nitakuwa mteja wako mkubwa hapo,""Piga kazi acha zungusha mikono ya chadema""
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Ningelikuwa na mamlaka ya uongozi,ningehakikisha nakuwa na meli za uvuvi bahari kuu 10,nikahakikisha navua samaki wa kutosha,nikauzia watanzania kwa 5000/- tu kwa kilo moja!, watanzania wakafaidi rasilimali zao kwa bei poa #Vitoweo havikwepeki / #Kuna trillion 3-5 hapa kwenye fishing tu.
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Ubungo–Msewe bado tunanunua ndoo ya maji Sh 1,300 hadi 1,500

    Poleni sana huku mvuti Dondwe maji yanatiririka bombani bila kukatika!...
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Hata wakati wa nuhu walikuwepo pia!/ Msingi wa foundation na nguvu ya sala upo katika kurudia sala mara nyingi zaidi!,+ subira,maana mungu siyo mwanadamu,anaweza kukukinga kwa baya pia kwa sababu maalumu/ yaani akakupa dharura ambayo itakufanya usiondoke hapo ili upone kwenye ajali ile...
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Nakupa kingine,sala ni sawa na foundation,unaposali unatengeneza strip moja!,unaporudia kusali mara kwa mara unatengeneza thick foundation,kama msingi mkubwa na mzito,tuachane na habari za mafuta na maji ya upako!,turejee katika msingi wa sala,unapokuwa unasali kama ndiyo msingi wako wa kila...
  12. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Usifanye zoezi hili maana tayari imeshashindikana kitambo sana kwa imani yako!...
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ngoja leo nitoe Siri moja katika siri 1000 nilizo nazo!

    Unapotaka kwenda kuomba kazi mahala,ikiwa tayari umesha vaa mpaka viatu,na kunywa chai yako,isome zaburi ya 65 kwa nguvu na sauti, huku umeshika document zako,uimalize zaburi hiyo!,Tafadhali usiwe umekaa kitandani!....baada ya kuisoma nenda!, #Goodluck. #Sunday gift
Back
Top Bottom