Recent content by Crocodiletooth

  1. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    @vodacom tunaomba maelezo kwanini mambo haya! LIPA SERVICES SHOULD NEVER BE RETURNABLE AT ALL CASES,KAMA MTU AMEKOSEA MUAMALA WA LIPA ILIPASWA AFIKE OFISINI KWENU KWA UTATUZI,BAADA YA PANDE ZOTE MBILI KUSIKILIZWA.
  2. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Mkwara wa Marekani: Eti Samia Suluhu anataka kumwaga Manyanga

    CHADEMA WAJINGA SANA JIANDAENI NA UCHAGUZI WA 2030 ACHENI POROJO ZA KIJINGA MIDA INAKWENDA KWA KASI SANA....
  3. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Naamini hakuwa amelipa ispokuwa alituma aina ya sms na wewe hukukagua hiyo sms
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Wimbi la watu kupeleka fedha kwenye kununua Bonds, Hisa, UTT, hatifungani, fixed deposits, je ni kitu kizuri au kibaya?

    Ukiweka fedha bank kama laki TANO,baada ya muda utaambiwa account yako imejifunga,tafadhani nenda kamwone Manager ikafungiliwe kwa kuweka akiba 😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Wakati DC wa Iringa Richard Kasesera akimwambia dereva wa Bajaj atulize Matako alichukuliwa hatua gani?

    KOSA LETU NI KUONA TAWALA ZOTE NI MOJA,HAPANA HATWENDI HIVYO,AWAMU YA SITA NI UTAWALA WA AINA YAKE,NI UTAWALA WA MAMA MLEZI,UTAWALA WA STAHA KATIKA KILA SEKTA,TABIA NZURI,LUGHA YA STAHA,MATUSI HAPANA,TUKOSOANE KWA LUGHA YA STAHA. N.b,someni alama za nyakati,kila awamu na kitabu chake.
  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania UKIMWI Upo: Siamini na mimi umenipata

    Ukimwi siyo kifo,kaza moyo songa mbele,lakini unatisha sana dah,pole sana.
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Tuendele na hadithi za #shany dada yetu aliyelowea huko nigeria/ Nigeria ukiwa mroho utakula hadi usivyokusudia kula ,tena jifanye unajua na unapenda kula nyama ,nikiendaga kwa wakwe zangu kuna sehemu wanauza mishkaki ya kila aina inavutia hatari Mishkaki ya mbwa,mishkaki ya nguruwe,mishkaki...
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Mkuu shida yao,siyo wa kweli,kwenye regulation zao wanasema mengine na kwenye utekelezaji wanafanya vingine,wanaweza kukuambia wanakupa 50 na riba wanakata mapema sana 10, na utarejesha baada ya siku 30, -badala ya 40 wanakupa 30, IDADI unayodaiwa inabaki 50kamili,na muda wa kurejesha unakuwa...
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Nigeria ni taifa kubwa afrika kumbuka,lenye wasomi wengi sana pia kumbuka,pia lenye rasilimali muhimu sana elewa,liliwahi pata watu wenye uchu kuliko chadema wakafanikiwa kupindua nchi,matokeo yake wakajinufaisha wakatajirika wakaenda zao,mnaigeria akabaki kapuku #wenye akili huenda na mifano...
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya kusisimua sana ya Jakaya Kikwete na Catherine Conrad

    Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na Mwanafunzi wa Udaktari kutokea Chuo Kikuu cha Kairuki, Catherine Conrad ikiwa ni miaka 18 imepita tangu alipomuona katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI). Dkt. Kikwete alikutana na Catherine, Novemba 14, 2008 akiwa na umri wa miaka...
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Katika nchi kila kitu ni lazima kiende ndiyo maana kunaawaziri kwa kila sekta na kuna badget kwa kila sekta/ maana yake kila jambo ni lazima liende kwa kadri ya makusudio yalivyowekwa!...(Kwa ufanisi)
  12. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Bila umeme stable,how could you run industry successful?,
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Akili za chadema hizi sizishangai,wao ndiye wenye akili sana 🙃
  14. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Nchi siyo familia yako ndugu,katika nchi kila kitu kinatakiwa kwenda,hayo unayofikiri wewe ni management ya kifamilia 🌀
  15. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Omkaazi iweee!🙃
Back
Top Bottom