Mkuu shida yao,siyo wa kweli,kwenye regulation zao wanasema mengine na kwenye utekelezaji wanafanya vingine,wanaweza kukuambia wanakupa 50 na riba wanakata mapema sana 10, na utarejesha baada ya siku 30,
-badala ya 40 wanakupa 30, IDADI unayodaiwa inabaki 50kamili,na muda wa kurejesha unakuwa...