Recent content by Crocodiletooth

  1. Crocodiletooth

    PostGE2025 Nipo mkoa X ila gari za jeshi zimeshakuja ina maana D9 wamejua ni kweli

    Unanishangaza kutumia neno Rais fake, Dr Samia ndiye Rais wetu halali kabisa,tuwe makini sana na wachochezi.
  2. Crocodiletooth

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    *SEREKALI ITAFAKARI SUALA HILI KWA UMAKINI, HEKIMA NA KWA KINA, NA PENGINE ITOE TU OVYO KWA MAMLAKA ZA JF KUHUSU KUDHIBITI HABARI MBALI MBALI, INATOSHA! *....... .
  3. Crocodiletooth

    Historia ya Sheikh Hussein Bin Mahmoud al-Ghassany

    MAJINA YAKE NA MAHALI ALIPOZALIWA Al-Allamah Shaykh: Hussein bin Mahmud bin Hussein bin Abubakar Al-Ghassany Al-shadhily Al-yashrutwiy. Babake: Shaykh Mahmud Al-Ghassany. Mamake: Mwana Mwema bint Hajji Musa bin Ahmad Musa. Shaykh Hussein Al-ghassany alizawa Kilwa kisiwani Tanganyika...
  4. Crocodiletooth

    CCM haina wanachama milioni 13

    CCM ina wanachama 15ml.+,Waliotawanyika kila pembe ya nchi, ambao wangeitaji kuhudhuria mikutano lakini usafiri unawakwaza hivyo chama huwasaidia kufika kwenye mikutano! CDM, ina wapiga dili wa mijini WALIOVURUGWA!
  5. Crocodiletooth

    Watu wengi ambao wanawapinga mafasadi ni kwamba hawajapata hiyo nafasi ya kufisadi ila sisi waafrica (Watu weusi) kiasili ni wapigaji na wezi .

    NASHUKURU UMELIELEWA HILI MWAFRIKA NI MPIGAJI BY NATURE VILIO VYA WOTE WANAOLALAMA NI VYA KUKOSA UPENYO ILI WAPIGE, HATA POLEPOLE ALIPOKUWA ANATAKA KULETA LIKAMPUNI LAKE KUTOKA CUBA ALILOKUWA AMEJIWEKEA PASENTI ZAKE ZA KUTOSHA KUPIGWA BAN, NDIPO UCHUNGU MKALI UNAMPATA, ALIKUWA AMEJIWEKEA FUNGU...
  6. Crocodiletooth

    Natafuta mwekezaji tufanye biashara

    Uza gari. Why stress!
  7. Crocodiletooth

    GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    NAUNGA MKONO HOJA, RAIS WETU MPENDWA APUMZIKE JAPO WIKI MBILI
  8. Crocodiletooth

    GE2025 Rais Mwinyi wa Zanzibar: Nitakopa na Nitarejesha Mikopo. Nitaondoka Madarakani Bila Kuacha Deni Hata Senti 5

    NA HUKU BARA NI BORA SUALA ILO LIKAIGWA KWANI NI JEMA,ZNZ WATAWEZA KWANINI BARA TUSHINDWE?
  9. Crocodiletooth

    Rolls Royce Festival in Dar 2025

    Dogo sana sana, Brain symmetrical,kitaaluma tuna pima deni,then tunaangali tunachokusanya, Kwa utaalamu wa ndani kabisa hiko ndicho tunachotazama sisi tuliosomea fedha kiwango cha kimataifa,infact tanzania hukusanya kodi trilion 27-30+,kwa miezi mitatu,tuna kuja ku weigh deni kuu la taifa,ambalo...
  10. Crocodiletooth

    Nimesoma page ya Mange ya Instagram, kuna ma Royce rolls na ma Bugatti acha kabisa, nimejiona mimi ni bure kabisa

    Humo serekalini kugumu sana binafsi naandika hivi lakini sina ule wivu mkali,napajua jinsi palivyofyeka mzazi wangu!
  11. Crocodiletooth

    Nimesoma page ya Mange ya Instagram, kuna ma Royce rolls na ma Bugatti acha kabisa, nimejiona mimi ni bure kabisa

    Tumeuza naye tayre sana hapo kariakoo,sikukuu st,ni kijana mkarimu sana pia Hana makubwa,labda yaote!
  12. Crocodiletooth

    Nimesoma page ya Mange ya Instagram, kuna ma Royce rolls na ma Bugatti acha kabisa, nimejiona mimi ni bure kabisa

    Kibaya unaweza dhania ni watu waliofanya kazi Kwa kuhenyeka na bidii kubwa,la hasha ni ridhki fill #minyati😃😃😃
  13. Crocodiletooth

    Nimesoma page ya Mange ya Instagram, kuna ma Royce rolls na ma Bugatti acha kabisa, nimejiona mimi ni bure kabisa

    Lakini October tuka ✔️ Mali na fahari ni mambo ya muda mfupi sana, na sote tutapita. Hakuna kitakachobakia. Allah, tunaomba nusra zako. Waache uroho na ulafi, uwaamshe. Inaumiza kweli sana, lakini wewe Allah ndiye mjuzi wa sisi tunaolala njaa, na unafahamu kwa nini unatulaza njaa. Siri na...
Back
Top Bottom