Ok!,matusi kwetu ni manukato safi..
Mtu akikwambia nitakuua,nitakuibia,au nitakupiga,ni vizuri uende polisi ili uripoti vitisho hivyo!,ili ikaja kutokea umekufa,pengine si kwa kauli ile ya vitisho lakini pakuanzia patakuwa pamepatikana kwa familia ya marehemu.