AM Grain Store

AM Grain Store

Weweee unaposema viroba umenikumbusha mbali aiseeee...

Hivi unajua kazi ngumu ndo zinaongoza kwa mishahara ya kisheeeenziiiiiii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ,Leo Sina raha na simu macho yananiuma sana,,
Nitarudi uniadithie๐Ÿคฃ
 
Kipindi nasoma chuo nilianza biashara ndogo online, miaka hiyo ukipost kitu lazima uuze, mteja akiniomba animuandikie vitu alipie nachangamka kama nimetiwa ndimu!

Vijana sikuhizi sijui mkoje tu.
Titapigana humu ndani ujue ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
๐ŸŒพ AM GRAIN STORE - CHANIKA ๐ŸŒพ

Tunauza NAFAKA BORA jumla na reja reja kwa bei nafuu!
๐Ÿ“ Tupo: Chanika, Dar es Salaam
๐Ÿ“ฆ Tuna: Mahindi, Maharage, Mchele, Mafuta, Unga, nk.

โœ… Bei ya jumla kwa wafanyabiashara
โœ… Bei ya reja reja kwa matumizi ya nyumbani
โœ… Ubora umehakikishwa
โœ… Tunafanya na delivery ndani ya Chanika na maeneo jirani ya dar es saalam

Wasiliana nasi sasa: 0675545795
Karibuni sana ๐Ÿ™ Familia ya Jamii forum ku Sapport biashara ya kijana yenu

Vishu Mtata
View attachment 3647045
Hongera sana mkuu,nitakuwa mteja wako mkubwa hapo,""Piga kazi acha zungusha mikono ya chadema""
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom