Habari zenu wanajamvi, nimevutiwa na bidhaa za kikuu katika mtandao wa FB. Lakini kinachonipa mashaka hawako tayari wajulikane wako wapi?
Msaada kwa mtu ambaye ameshanunua bidhaa katika App hii, nisije ingia kwenye DECI tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.