Soma thread vizuriHabar zenu wakuu!
Naomba kuuliza ni hatua zipi za kuchukua ili kubadili jina kwani kuna mdogo wangu alimaliza shule akafaulu kwenda sekondaru lkn kwa kipindi hicho ulikuwa mdogo na shule ilikuwa ya kata hivyo alipekwa soma Kenya kwa miaka mitatu baadaye akarudi soma Tanzania.
Alirudia primary akapewa jina la mtu mwengine je anaweza kwenda mahakamani ku- retain his original names?
Naombeni kama inawezekana anatakiwa kuchukua hatua zipi!
Regards.
Hivyo vitabu umeisha vipata Mkuu?Naomba msaada kuvipata vitabu hivi
1. Dobson A.P. sales of goods and consumer credit. Sweet and Maxwell: London
2. Griffith M&I Griffith (2002). Law of purchasing and supply(3rd ed). PL. London
3. Binamungu C.S (2000). Business Law: Manual for students: Dar es salaam
Mwenyenavyo tafadhali anitumie...Mwakeyeddy@gmail.com
Vp unavyo?Hivyo vitabu umeisha vipata Mkuu?
Vp mkuu unacho cha Evidence: The Objection Method 5th ed?Mkuu Legal Dictionary zipo nyingi, anza na hizi kwanza. Ukitaka Blacks Law Dictionary ipo pia
Mkuu vppm yo email
TRA mpya
Public Service Act, 2002 na Employment and Labour Relations Act, 2004 zina kinzana kwenye likizo ya ugonjwa! Hivi ni ipi sahihi?!