Hongera Mzee Mwanakijiji tulikuwa tumejiandaa hata kama kuna walamba miguu ya mafisadi wakiomba fadhila zao za kitambo kidogo tu na wengine wengi ambao hawajajua haki zao wanakukatisha tama sisi tupo nyuma yako. Kwa taarifa yao tu ni kwamba msimo wetu umewatetemesha serikali kilaza na wamefyata...
Bw. SAANANE na Mwita MARANYA. Uwezo wakuzuia kusambaa kwa matumizi ya madawa ya kulevya nchini mwetu upo mikononi mwa viongozi wetu na wanaouwezo huo.
Shida ya viongozi wetu ni ushamba umewajaa, kila eneo wanadhani litawasaidia wao na ama jamaa zao.., nao jamaa kuwafaa wao baadae. Msingi upo...
Shida nyingine hii MED-MTWIRO ! Umefoka povu lakutosha bure. Kumbe unaonekana bado unahitaji elimu ya mapinduzi, hujui watanzania kwanini hawataki uongozi wa CCM na kauli yoyote yenye uzuri kutoka kwao. CHARITY BIGINS AT HOME.. unajua maana ya huu msemo? Kigwangala hajasema chochote...
Napata shida sana kukutana na watu wenye mawazo kama yako HAMY-D. Twajua kunamaslahi unaweza kuwanayo na chama chako Tawala. Ebu jipe nafasi walau kidogo ufanye tafakari ya kina ya hali ya nchi yako zuri ya Tanzania siku ikawa na uongozi wenye nia njema kabisa ya upendo kwa nchi na watu wake...
Iringa na majina kuanza na I ni kutokana na lugha ya kihehe kutaja maeneo kwa kuazia na neno KWI....,mfana; kwihala mana yake porini. Hivyo Kwi.. ikitafsiriwa kiswahili kw inaondolewa na kubakiwa na I. MNYALU ORIGINAL. Nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.