Recent content by CoolestKing

  1. CoolestKing

    Muonekano mpya wa Bob Junior unatia mashaka kidogo

    Duh so sad kwakweli... nimemfananisha na Demu flani ivii wa kikorea
  2. CoolestKing

    Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

    Tuanzeni kumlaumu kocha;), au muda bado?
  3. CoolestKing

    Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

    Amunike Kazingua sana
  4. CoolestKing

    Hivi mwanamke akisema mimi na wewe basi huwa anamaanisha kweli?

    Duh Nimerudia kusoma kama Mara 7 lakini sijaelewa
  5. CoolestKing

    Khee birthday yangu leo

    Happy Birthday Mkuu, Kila la heri kwenye Mishe Zako
  6. CoolestKing

    Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

    Inawezekana hawa Tp mazembe wanatumia lile vumbi lao
  7. CoolestKing

    Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

    Ni Kweli mkuu, hicho kitu nimekiona kwenye ngoma zake za hivi karibuni.. ubunifu ni Zero kabisa hata Discipline ya kazi saivi Imepungua sana, Kingine Management yake inaogopa kumchana
  8. CoolestKing

    Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

    Lil kesh,Olamide na Phyno wa Nigeria ngoma zao wanatumia sana Igbo na Yoruba language, lakini ngoma zao nazielewa kinoma na zinavuka border hata wasio elewa lyrics wana-enjoy... tafuta sababu nyingine
  9. CoolestKing

    Sakata la Pierre Liquid; Shilole aomba Radhi

    Shilole na Paulo ni Makubwa jinga I've never ever seen in my life
  10. CoolestKing

    Sakata la Pierre Liquid; Shilole aomba Radhi

    Shilole na Paulo ni Makubwa jinga I've never seen in my life
  11. CoolestKing

    Miaka 5 ya Anniversary ya Reginald Mengi na Jackline Mengi wote wafunguka

    Hongera kwao.. Alafu tupunguze chuki na roho mbaya maana zinaleta sumu mwilini
  12. CoolestKing

    Riwaya: Mkono Wa Chuma

    mdogo mdogo hatimae nimewakuta, ngoja nisubiri japokuwa I'm not good at waiting... Btw story Kali sana
Back
Top Bottom