Ni Kweli mkuu, hicho kitu nimekiona kwenye ngoma zake za hivi karibuni.. ubunifu ni Zero kabisa hata Discipline ya kazi saivi Imepungua sana, Kingine Management yake inaogopa kumchana
Lil kesh,Olamide na Phyno wa Nigeria ngoma zao wanatumia sana Igbo na Yoruba language, lakini ngoma zao nazielewa kinoma na zinavuka border hata wasio elewa lyrics wana-enjoy... tafuta sababu nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.