brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Siku Kama ya Leo mwaka 2015 mfanyabiasha maarufu mzee Mengi na mrembo Jackline Ntuyabaliwe walifunga ndoa na kubahatika kupata watoto.
Wakitimiza miaka 5 kwenye ndoa wanandoa hao wamefunguka mtandaoni kuonyesha hisia zao kwa Kila mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakitimiza miaka 5 kwenye ndoa wanandoa hao wamefunguka mtandaoni kuonyesha hisia zao kwa Kila mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app