Recent content by contractor_

  1. C

    Hivi wadada mna vyupi (nguo za ndani) za mtoko!?

    picha na majina ni kitambi na mimba. tooooooofautu
  2. C

    Natafuta rafiki wa kiume

    kama single hadi 35 kuna shida
  3. C

    Kuhusu TBC Kutangaza wongo na Kumlisha Maneno Rais wa Marekani Donald Trump

    it make so much sense aina ya waandishi wa habari wa TZ waliopewa vyeti na huyu kiazi. copy paste.
  4. C

    Taifa linalishwa uongo, sio Trump wala Magufuli

    Trump huyu huyu asojua kama FBI wamemtap (na sio tapp..mind spellings) ila anaamini ni Obama. ameshidwa hata kuuliza.eo amjue magu? watz tumerogwa.
  5. C

    Makonda, Sirro; What goes around comes around

    hii ungefuta tu for your own good!
  6. C

    Gazeti Jamhuri: Ridhiwani ndie mtoto wa kigogo kwenye list ya tatu; sasa nae kuchunguzwa

    Makada hadi sasa ni wanne (hapa sina uhakika na wamiliki wa hizo casino na mahotel wapo chama kipi) Manji, Zungu, Wema, Riz1 Upinzani 1 Mbowe hii inaonyesha wazi kuwa nani ngada inawaweka mjini
  7. C

    Waziri Mkuu Majaliwa: Viroba marufuku kuzalishwa wala kutumiwa kuanzia Machi 01, 2017

    kabla ya viroba miaka ya 1992 vijana walikuwa na akili sana eeh?
  8. C

    Familia ya Wema, Diamond wapiga kambi polisi Dar kujua hatima ya watoto wao

    si walinufaika na tuliimba nao? wacha waisome tu. Zamu yao sasa.
  9. C

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Usikariri, siasa sio sawa na kwenda darasani kusoma ufaululu... siasa ni kamari pia, ndomaana unaona wapo wanaoshindwa wanafilisika na wanao pata pasi kutumia hata senti. CDM haitavurugika hata kidogo, na opportunist Zitto na ACT yake hawatakuwa chama kikuu cha upinzani 2020. Usikariri. Kama...
  10. C

    Kila nikiikumbuka ESCROW siitaki kuisikia CCM!

    1. Katiba ya wananchi imebadilishwa kuwa katiba ya ccm.
  11. C

    Pongezi kwa CHADEMA kwa kutoa elimu ya Uraia

    Neno! walifanya operations za kutosha, kuanzia Sangara hadi M4C... CCM wamewekeza kwenye UJINGA wa watanzania. na to be honest hawana mpango wowote wa kututoa kwenye ujinga huu...coz ni mtaji wao
  12. C

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    Poor argument! 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu
  13. C

    Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

    Mbona hii hapa ni kidogo sana asee? wamechakachua unaweza ukalia... hiki chama sio mchezo ni shetani
  14. C

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    what a sad news... RIP mzee Makaidi
Back
Top Bottom