mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,846
- 3,482
wacha muziki uendelee
Nawewe inaonekana ni drug dealer pia,,,Mbona unapaniki ambacho Polisi wanatimiza wajibu wao baada ya kupewa maelekezo na Mkuu wa Mkoa Makonda sitoshangaa watuhumiwa kuachiwa huru kwa kukosekana ushahidi kutokana Makonda kukurupuka .Vita
ya madawa ya kulevya hajaanza
leo
acha uongo weweJua hili vizuri ww uliye lala fofofoo na mdomo wako uko waziii na nzi wanakuingia
1: Hakuna busara ktk kupambana na madawa ya kulevya.. hawa ni watu hatari sana
2: Hakuna Brand inajengwa kwa madawa ya kulevya.. hakuna brand ya hela haramu, hakuna ndio maana uchunguzi unaendelea mkali, jua hakuna aliyehukumiwa.. ila Mh. RC na Polisi, hadi wakuite polisi wana habari zoooooote, kuwa unahusika kwa 100%, mbona wengi tu hawajaitwa..? so hadi uitwe polisi, wana full data unahusikaje na madawa ya kulevya..
Hivi kama Mama Wema akiulizwa mwanae anafanya shughuli gani halali ya kumuingizia kipato atajibu nini. Hivi haoni fedheha kwa mwanae kuwa na shughuli isiyo halali?!Hao ndugu nao ni wapungufu wa akili kweli kweli.....yan mtoto hana kazi yakueleweka lakini anamiliki pesa nyingi then mzazi unashindwa hata kuhoji anazipata vipi then siku anakuja kudakwa ndio unaanza kujiliza.....kama inawezekana na wao wawekwe ndani tu.
Msaniimmoja tu ndio namkatalia kwani anajituma na anappata pesa yake kihalali!Tusiwahukumu watu kwa hisia, lazima suala hili lishughulikiwe kwa kulinda haki za watuhumiwa ili ikithibitika hawahusiki na matumizi ya dawa hizo, iwe ni rahisi kwao kurejesha heshima yao,
hapo simu zao tu zitatoa majibu ktk uchunguzi....watu wasichukulie ili swala kimchezomchezoMbona unapaniki ambacho Polisi wanatimiza wajibu wao baada ya kupewa maelekezo na Mkuu wa Mkoa Makonda sitoshangaa watuhumiwa kuachiwa huru kwa kukosekana ushahidi kutokana Makonda kukurupuka .Vita ya madawa ya kulevya hajaanza leo