Mimi hapa nataabika na TECNO N8 yangu, ukiwasha data inapata moto wa hatari[emoji3][emoji3][emoji3] tiba yake ni kutoa betri utulie kama nusu saa..Tecno hoyeee
Najisikia Furaha sana Kuungana Nanyi ndugu Zangu Katika Jukwaa hili adhimu la JF hii Leo. Naombeni mnipokee kwani naamini jukwaa hili ni chumvi ya Maarifa mapya na chakula cha Ubongo pia..Asanteni
Inawezekana Kabisa Mkuu wewe Kapambane shule niliosoma kulikua na watu kibao kama wewe na walikua na usongo mbaya na wakatusua vibaya mnooo. So wewe kasome mkuu A Level cyo complicated kama O Level aisee. Kasome
Hahah..mtoa uzi umenichekesha kwahiyo hilo dege lililopita mngurumo wake ndo umekufanya uandike huu uzi? Au unadhani vita ni mngurumo wa dege la miaka ya 1880's? Unaomba lipite Arusha wakati kule kumbuka kuna chuo cha kijeshi kinacho heshimika barani Afrika na kama kupita zinapita sana jaribu...
Hahahah..millioni tano aisee mbona kama ni bajeti ya kumtunza yule faru fausta!! Sasa hapo mtoto ndo kwanza ana nyonya anataka 5 millions, je akianza kula msosi si ndo atataka bajeti ya 10 millions
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.