Recent content by compressor

  1. C

    Kwa nini usachi simu ya mpenzio?

    Unaemchunguza haupo tayari kumpenda
  2. C

    Pwani! Kuna tatizo gani!

    ni swala la kushangaza sana,but imekuwa ni tabia kwa wanajamii wakiwaona watu wanapendana ama mwanaume kato zawadi kubwa,huwa tunatafuta kitu cha ajabu kuwasingizia,kwa mfano utasikia ah karogwa yule,au yule msichana anatoa tigo.mbona kuna mashoga kibao ambao hawajifichi na magari hawana?,kuna...
  3. C

    Pwani! Kuna tatizo gani!

    una uhakika? au ndivyo unavyosikia?
  4. C

    Msekwa Atoboa siri ya Butiama

    kwa dunia ya sasa watu wanaweza kuleta madai hewa kwa ajili ya kujilinda katika harakati zao za kisiasa,na wengi wanasema uongo,nadhani si vyema tuwe tunakubali kilakitu wanachosema wanasiasa kwa kuamini kwamba lisemwalo lipo.kama wana uhakika wawataje na si kurusha maneno tu,aliyosema mzee si...
  5. C

    Caught kissing on camera! do I need to bribe the IT guy?

    nashindwa kuelewa unaogopa nini kama atelezwa boss kwamba ulitaka kubakwa ndani ya elevator,picha zitajielezea,hakuna haja ya hongo hapo.kama ulitoa ushirikiano katika kula mate,utajijua mwenyewe.kwa hapa ulichosema ni ulikuwa unalazimishwa kwa hiyo ulionyesha upinzani
  6. C

    Natishiwa maisha

    Haya sasa kuwa mwema,kwa kuheshimu na kujenga ulichokianzisha,kumuenzi na kumfariji mwenzi wako kwa kuwa ana mapenzi ya kweli juu yako.Sio wema wa kuacha na kuanzisha kingine halafu baadae utatoka na kuleta sababu ulizosema hapo juu na utatuambia unataka kuwa mwema
  7. C

    Uvumi/Tetesi: Mtoto wa Kikwete (8) kugombea Uenyekiti Chipukizi?

    Kama wapiga kura wote ni watoto wa vigogo unaweza kuwa na wasiwasi,mwanao kama ana uwezo mwambie agombee wakulima wenzake watamchagua kama wakiona anafaa,kuwa mkulima ama mtoto wa kigogo hakumpi haki au kumuondolea haki aliyonayo katiak katiba ya nchi hii.ni vyema kukosoa lakini si vyema...
  8. C

    mdokozi...

    Naachana na Mbu kwakuwa hajaeleweka bado na hajajikosoa pia.Ni vyema nichangie kuhusu huyu dada kwa kuwa naona ni nzuri kuchangia.situation kama hiyo ni ngumu na inahitaji maamuzi magumu katika wakati sahihi.Kuna mambo mawili hapa ya kuzingatia. Maisha yanavyotakiwa kuwa na Maisha jinsi yalivyo...
  9. C

    Natishiwa maisha

    kukomaa si dawa kaka,huyu dada ni mwema hapaswi kuishi na mtu muovu,kwa sababu ni miezi minne tu ,ni vyema kumshauri aongeze ibada kumshukuru mungu kwa kumzindua mapema kwani angeingia nae ndani ya ndoa ingekuwa balaa,kukomaa na kicheche kutamtesa zaidi
  10. C

    Natishiwa maisha

    Jaribu kumuelezea kwamba mapenzi ndo yameshakwisha,na ndo unampango mwingine hivi sasa,mnasihi kwamba hata kama atajiua haitaleta mabadiliko yoyote katika maisha yako na yake ndo yatakuwa yameishia hapo,na pia mshawishi kwamba maisha yake hayatokuwa mazuri kama akiwa na wewe anahitaji kuwa na...
  11. C

    Licha ya kukimbia kero nyumbani, anaapa kamwe hatamuacha mkewe

    ilikuwa ni mtoto mapatano yao,mtoto ndo kashapatikana,baba hana mapenzi na mama,na mama hana mapenzi na baba.na hiyo njemba inampenda mwanae tu na si mkewe.mi nadhani ushauri mzuri ambao utakuwa na faida kwao ni kuwashauri hawa watu wajifunze kupendana kazi ambayo ni ngumu sana tena sana.kwa...
  12. C

    Kiss ya mdomo (denda)

    mungu akupe maisha marefu
  13. C

    Kiss ya mdomo (denda)

    teh teh teh teh teh furaha iliyoje,ni mwanzo mzuri kwa kweli.Asiyetaka kula denda dhanio la kwanza ni yeye ndie mwenye matatizo itakuwa vinginevyo iwapo tu atatoa sababu za msingi juu ya kile kinachomfanya ashindwe
Back
Top Bottom