Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,873
- 2,736
Muda wa miezi minne nimekutana na huyu binti. Anasema ananipenda kuliko! Mi ni kila kitu kwake. Bila mi hawezi ishi. Haoni faida ya kuishi bila mimi na ipo siku nitaelewa anachosema. Anatishia kujiua ninapotaka kumwacha. Kifupi nahitaji mahusiano mengine yatakayojenga ndoa. Nawasikiliza wadau. Pia kama kuna right candidate humu ani pm (dame). Tujue pa kuanzia