Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...nilipokuwa 'kijijini' nilihadithiwa visa vingi vya kusikitisha, kimojawapo ni hiki;
...utaishije ishije au kumvumilia mke/mume 'kibaka'?... yaani, ukishtuka yeye tayari keshapunguza salio kwenye account zako kwakuwa tu anaijua pin number na wapi unaweka ATM cards zako,...
au,
...kufumba na kufumbua vidani, hereni na pete za mke zilizokuwa kwenye dressing table 'zinapotezwa' katika mazingira ya kutatanisha. Ukimuuliza mtu kama huyo anakuwa mkaaali, eti unamdhania yeye mwizi akuibie ili iweje!
Kama si yeye nani mwingine sasa?
...Kwa mtizamo wenu, hatua gani makhsusi zinazofaa kuchukuliwa na wenye matatizo ya ndoa aina hii, ukizingatia vitu hivyo 'vinapotezwa' ilhali wenye access ya vitu hivyo ni wenza tu?
...utaishije ishije au kumvumilia mke/mume 'kibaka'?... yaani, ukishtuka yeye tayari keshapunguza salio kwenye account zako kwakuwa tu anaijua pin number na wapi unaweka ATM cards zako,...
au,
...kufumba na kufumbua vidani, hereni na pete za mke zilizokuwa kwenye dressing table 'zinapotezwa' katika mazingira ya kutatanisha. Ukimuuliza mtu kama huyo anakuwa mkaaali, eti unamdhania yeye mwizi akuibie ili iweje!
Kama si yeye nani mwingine sasa?
...Kwa mtizamo wenu, hatua gani makhsusi zinazofaa kuchukuliwa na wenye matatizo ya ndoa aina hii, ukizingatia vitu hivyo 'vinapotezwa' ilhali wenye access ya vitu hivyo ni wenza tu?