Mwenzangu anisikii kabisa, amekuwa mbishi umwambii kitu akifanye; anajibizana nami kama watoto,mwana mke wangu ni mchafu sana ina bidi wakati nikichoka nikubali kuwa mchafu kidogo, asafishi nyumba, jiko ni chafu, bafu chafu, ukiweka glass chini sebuleni inaweza kukaa wiki anaipita anaipiga teke na haikoti, si glasi tu kitu chochote, ukinunua vyakula na groceries ukaleta nyumbani anachofanya ni kuyachukua vitu na kutupa ndani ya makabati ukimuhuliza alipoweka kitu ajui. Na akisha weka kitu hakumbuki nini kaweka wapi hata mwaka unapita kitu hakijaguswa mpaka nifanye campeni ya kukagua kila kitu na kuweka nje ili nijue vilipo.
Fridge ni chafu, haipangwi vitu vinatupwa tu ndani yake bila hata kuoshwa vikitoka kwenye store. Chakula akipika nimemwambia siku nyingi inabidi kuya toa kwenye sufuria na kuweka kwenye makopo madogo ndo yawekwe kwenye fridge. Yeye akisha kula ana acha sufuria hapo hapo juu ya jiko bila hata kufunika na vijiko alivyotumia kuchotea chakula anaweka juu ya jiko hapo alafu anakwenda kulala, uki msema anachukua sufuria anaingiza ndani ya fridge na afuniki ingawa zipo wraping-makaratasi ya kufunika vyakula. Vyombo vina lala hapo kwenye sink mpaka kesho yake asubuhi.
Afui shuka mpaka ichafuke kweli au umwambie na akifua nguo au mashuka apigi pasi analundika hapo chini au popote pale alafu ana chambua mmoja baada ya nyingine na kupiga pasi akitaka kwenda sehemu alafu baada muda anarudi kuyafua tena unakuta ngua nyingine wala hazija valiwa zinafuliwa tena; Nimejaribu kuongea na kufundisha lakini asikii, aelewi au hajifunzi
Akilala nimeisha mwambia afunike nywele kwani anaweka dawa lakini afanyi hivyo mashuka na mito yote ina utomvu wa curls, watoto wanashindwa kupumua kwa sababu ya hewa nzito. Nimemnunulia cover ya nywele ya kulala lakini hajui alipo ziweka na ata kama ipo mpaka nimwambie kwa force ndo aweke.
Nnguo zake zina toa harufu mbaya nimemwambia kwa muda mrefu lakini asikii wala hafanyi jitihada kubadilika. Kupika ndo hajui kabisa anajua kupika chakula cha aina mmoja chakula cha mchuzi. Kupika Kuku wa mchuzi na nyama ya mchuzi hajui kupika hata andazi akipika vhapati utavunja meno ngumu kama jiwe. Nimeangalia kwenye internet siku mmoja nikiamka asubuhi nikapika kama mandazi 60 na yakawa mazuri kama ya mama nitilie na watoto wakayapenda lakini ukimwambia apike tena ingwa nimeandika kila kitu hawezi.Anayo internet 24 hours nyumbani
Nikitoka nje wala anipokei wala ani tengei chakula mezani labda kama wote tuko nyumbani ndo anapika alafu anaweka chakula mezani.
Wakati watu wakila yeye akai na watu mezani anakula peke yake, asubuhi namwacha analala wakati nakwenda kazini wala anipikii chai, napika mwenywe. Nawa ogesh watoto kabla ya kuwapeleka shule na kuwa tengea chai. Yeye akiamka anakwenda kwenye nywele za motto ndo anacho jua. Hamsaidii motto na assignment mpaka motto analia nikiingia kuwa mama hanisaidii. Hata kuwasomea watotoneno nalo ni shida nawakuta watoto wana nisubiri niwaombee ili walale yeye wakati huo analala.
Nimemwambia mke wangu awe incharge wa nyumba ajue matumizi yetu ya kila siku lakini hadi leo hajafanya na hajui tunatumia kiasi ghani au tunalipa bill kiasi gain kwa mwezi hajui
Nina ka imani kidogo kabla ya kwenda kulala nataka tisome biblia na kuomba lakini yeye kila siku akisha kula yuko kwenye TV mkitaka kuomba yeye anakwenda kulala.
Sijawahi kumwona mke wangu ameshika kitabu anasoma kitu ambacho ni kibaya sana
Siku nimetoka kazini ghafla nilisahau kitu nyumbani nikarudi nikakuta amekaa chumbani n a chai niliyo mwandalia Baba yangu anaye tutembelea hajamtolea sukari na kikombe anywe hivyo ikabidi nimpe Baba yangu chai. Kusudi baba asione tunashirikiana kumfanyia ubaya nikamuuliza kwa sauti kabisa kwanini hujampa baba chai?
Najua Biblia imeandika uache mke kwa Uasherati tu je hii si zaidi ya uasherati?
Mke wangu afanyi kazi ni mimi ndo naleta kila kitu sasa ni miaka mitano ila naelekea ukingoni. Nilikuwa msafi lakini naelekea kuwa mchafu. Mtoto akitoka shule amwambii akaoghe anamwambia utaoga kesho, dawa akipewa au ya watoto anakunywa mara mmoja tu alafu anatupa hapa mezani Nifanyaje Kukwepauchafu nemetoa nguo zangu zote kwenye makabati na kuyafungia kwenye sanduku na nimebadilisha namba ili niwe na nguo hata mmoja ya kutokea, kwani yeye hana nguo ya kutoka zote ni za sokoni na za kutokea
Fridge ni chafu, haipangwi vitu vinatupwa tu ndani yake bila hata kuoshwa vikitoka kwenye store. Chakula akipika nimemwambia siku nyingi inabidi kuya toa kwenye sufuria na kuweka kwenye makopo madogo ndo yawekwe kwenye fridge. Yeye akisha kula ana acha sufuria hapo hapo juu ya jiko bila hata kufunika na vijiko alivyotumia kuchotea chakula anaweka juu ya jiko hapo alafu anakwenda kulala, uki msema anachukua sufuria anaingiza ndani ya fridge na afuniki ingawa zipo wraping-makaratasi ya kufunika vyakula. Vyombo vina lala hapo kwenye sink mpaka kesho yake asubuhi.
Afui shuka mpaka ichafuke kweli au umwambie na akifua nguo au mashuka apigi pasi analundika hapo chini au popote pale alafu ana chambua mmoja baada ya nyingine na kupiga pasi akitaka kwenda sehemu alafu baada muda anarudi kuyafua tena unakuta ngua nyingine wala hazija valiwa zinafuliwa tena; Nimejaribu kuongea na kufundisha lakini asikii, aelewi au hajifunzi
Akilala nimeisha mwambia afunike nywele kwani anaweka dawa lakini afanyi hivyo mashuka na mito yote ina utomvu wa curls, watoto wanashindwa kupumua kwa sababu ya hewa nzito. Nimemnunulia cover ya nywele ya kulala lakini hajui alipo ziweka na ata kama ipo mpaka nimwambie kwa force ndo aweke.
Nnguo zake zina toa harufu mbaya nimemwambia kwa muda mrefu lakini asikii wala hafanyi jitihada kubadilika. Kupika ndo hajui kabisa anajua kupika chakula cha aina mmoja chakula cha mchuzi. Kupika Kuku wa mchuzi na nyama ya mchuzi hajui kupika hata andazi akipika vhapati utavunja meno ngumu kama jiwe. Nimeangalia kwenye internet siku mmoja nikiamka asubuhi nikapika kama mandazi 60 na yakawa mazuri kama ya mama nitilie na watoto wakayapenda lakini ukimwambia apike tena ingwa nimeandika kila kitu hawezi.Anayo internet 24 hours nyumbani
Nikitoka nje wala anipokei wala ani tengei chakula mezani labda kama wote tuko nyumbani ndo anapika alafu anaweka chakula mezani.
Wakati watu wakila yeye akai na watu mezani anakula peke yake, asubuhi namwacha analala wakati nakwenda kazini wala anipikii chai, napika mwenywe. Nawa ogesh watoto kabla ya kuwapeleka shule na kuwa tengea chai. Yeye akiamka anakwenda kwenye nywele za motto ndo anacho jua. Hamsaidii motto na assignment mpaka motto analia nikiingia kuwa mama hanisaidii. Hata kuwasomea watotoneno nalo ni shida nawakuta watoto wana nisubiri niwaombee ili walale yeye wakati huo analala.
Nimemwambia mke wangu awe incharge wa nyumba ajue matumizi yetu ya kila siku lakini hadi leo hajafanya na hajui tunatumia kiasi ghani au tunalipa bill kiasi gain kwa mwezi hajui
Nina ka imani kidogo kabla ya kwenda kulala nataka tisome biblia na kuomba lakini yeye kila siku akisha kula yuko kwenye TV mkitaka kuomba yeye anakwenda kulala.
Sijawahi kumwona mke wangu ameshika kitabu anasoma kitu ambacho ni kibaya sana
Siku nimetoka kazini ghafla nilisahau kitu nyumbani nikarudi nikakuta amekaa chumbani n a chai niliyo mwandalia Baba yangu anaye tutembelea hajamtolea sukari na kikombe anywe hivyo ikabidi nimpe Baba yangu chai. Kusudi baba asione tunashirikiana kumfanyia ubaya nikamuuliza kwa sauti kabisa kwanini hujampa baba chai?
Najua Biblia imeandika uache mke kwa Uasherati tu je hii si zaidi ya uasherati?
Mke wangu afanyi kazi ni mimi ndo naleta kila kitu sasa ni miaka mitano ila naelekea ukingoni. Nilikuwa msafi lakini naelekea kuwa mchafu. Mtoto akitoka shule amwambii akaoghe anamwambia utaoga kesho, dawa akipewa au ya watoto anakunywa mara mmoja tu alafu anatupa hapa mezani Nifanyaje Kukwepauchafu nemetoa nguo zangu zote kwenye makabati na kuyafungia kwenye sanduku na nimebadilisha namba ili niwe na nguo hata mmoja ya kutokea, kwani yeye hana nguo ya kutoka zote ni za sokoni na za kutokea