Je nimpe talaka au nifanyaje

majuto

Member
Dec 24, 2009
21
1
Mwenzangu anisikii kabisa, amekuwa mbishi umwambii kitu akifanye; anajibizana nami kama watoto,mwana mke wangu ni mchafu sana ina bidi wakati nikichoka nikubali kuwa mchafu kidogo, asafishi nyumba, jiko ni chafu, bafu chafu, ukiweka glass chini sebuleni inaweza kukaa wiki anaipita anaipiga teke na haikoti, si glasi tu kitu chochote, ukinunua vyakula na groceries ukaleta nyumbani anachofanya ni kuyachukua vitu na kutupa ndani ya makabati ukimuhuliza alipoweka kitu ajui. Na akisha weka kitu hakumbuki nini kaweka wapi hata mwaka unapita kitu hakijaguswa mpaka nifanye campeni ya kukagua kila kitu na kuweka nje ili nijue vilipo.
Fridge ni chafu, haipangwi vitu vinatupwa tu ndani yake bila hata kuoshwa vikitoka kwenye store. Chakula akipika nimemwambia siku nyingi inabidi kuya toa kwenye sufuria na kuweka kwenye makopo madogo ndo yawekwe kwenye fridge. Yeye akisha kula ana acha sufuria hapo hapo juu ya jiko bila hata kufunika na vijiko alivyotumia kuchotea chakula anaweka juu ya jiko hapo alafu anakwenda kulala, uki msema anachukua sufuria anaingiza ndani ya fridge na afuniki ingawa zipo wraping-makaratasi ya kufunika vyakula. Vyombo vina lala hapo kwenye sink mpaka kesho yake asubuhi.

Afui shuka mpaka ichafuke kweli au umwambie na akifua nguo au mashuka apigi pasi analundika hapo chini au popote pale alafu ana chambua mmoja baada ya nyingine na kupiga pasi akitaka kwenda sehemu alafu baada muda anarudi kuyafua tena unakuta ngua nyingine wala hazija valiwa zinafuliwa tena; Nimejaribu kuongea na kufundisha lakini asikii, aelewi au hajifunzi
Akilala nimeisha mwambia afunike nywele kwani anaweka dawa lakini afanyi hivyo mashuka na mito yote ina utomvu wa curls, watoto wanashindwa kupumua kwa sababu ya hewa nzito. Nimemnunulia cover ya nywele ya kulala lakini hajui alipo ziweka na ata kama ipo mpaka nimwambie kwa force ndo aweke.

Nnguo zake zina toa harufu mbaya nimemwambia kwa muda mrefu lakini asikii wala hafanyi jitihada kubadilika. Kupika ndo hajui kabisa anajua kupika chakula cha aina mmoja chakula cha mchuzi. Kupika Kuku wa mchuzi na nyama ya mchuzi hajui kupika hata andazi akipika vhapati utavunja meno ngumu kama jiwe. Nimeangalia kwenye internet siku mmoja nikiamka asubuhi nikapika kama mandazi 60 na yakawa mazuri kama ya mama nitilie na watoto wakayapenda lakini ukimwambia apike tena ingwa nimeandika kila kitu hawezi.Anayo internet 24 hours nyumbani
Nikitoka nje wala anipokei wala ani tengei chakula mezani labda kama wote tuko nyumbani ndo anapika alafu anaweka chakula mezani.
Wakati watu wakila yeye akai na watu mezani anakula peke yake, asubuhi namwacha analala wakati nakwenda kazini wala anipikii chai, napika mwenywe. Nawa ogesh watoto kabla ya kuwapeleka shule na kuwa tengea chai. Yeye akiamka anakwenda kwenye nywele za motto ndo anacho jua. Hamsaidii motto na assignment mpaka motto analia nikiingia kuwa mama hanisaidii. Hata kuwasomea watotoneno nalo ni shida nawakuta watoto wana nisubiri niwaombee ili walale yeye wakati huo analala.

Nimemwambia mke wangu awe incharge wa nyumba ajue matumizi yetu ya kila siku lakini hadi leo hajafanya na hajui tunatumia kiasi ghani au tunalipa bill kiasi gain kwa mwezi hajui
Nina ka imani kidogo kabla ya kwenda kulala nataka tisome biblia na kuomba lakini yeye kila siku akisha kula yuko kwenye TV mkitaka kuomba yeye anakwenda kulala.
Sijawahi kumwona mke wangu ameshika kitabu anasoma kitu ambacho ni kibaya sana
Siku nimetoka kazini ghafla nilisahau kitu nyumbani nikarudi nikakuta amekaa chumbani n a chai niliyo mwandalia Baba yangu anaye tutembelea hajamtolea sukari na kikombe anywe hivyo ikabidi nimpe Baba yangu chai. Kusudi baba asione tunashirikiana kumfanyia ubaya nikamuuliza kwa sauti kabisa kwanini hujampa baba chai?

Najua Biblia imeandika uache mke kwa Uasherati tu je hii si zaidi ya uasherati?

Mke wangu afanyi kazi ni mimi ndo naleta kila kitu sasa ni miaka mitano ila naelekea ukingoni. Nilikuwa msafi lakini naelekea kuwa mchafu. Mtoto akitoka shule amwambii akaoghe anamwambia utaoga kesho, dawa akipewa au ya watoto anakunywa mara mmoja tu alafu anatupa hapa mezani – Nifanyaje –Kukwepauchafu nemetoa nguo zangu zote kwenye makabati na kuyafungia kwenye sanduku na nimebadilisha namba ili niwe na nguo hata mmoja ya kutokea, kwani yeye hana nguo ya kutoka zote ni za sokoni na za kutokea
 
Bana Eh!! Hiyo peleka kunakohusika huku sio kabisa..Modes saidia hii mutu. Huyo manzi wako kama yuko hivyo? Ulijuanga lini hiyo habari? Si mlikuwanga ati boy and girl friend, hukujua hiyo maneno yote?? acha vuruga kichwa yetu weweeee...
 
majuto
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Thu Dec 2009
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

Msimlaumu huyu jamaa wandugu, bado ni mgeni sana!


This story is unnecessarily too long!


Sisi ni watu wazima na waelewa, na tungekuelewa hata kwa nusu tu ya maelezo yoote uliyoweka!..Naamini hata hivyo si hayo tu anayokufanyia, kuna mengi zaidi ambayo hujayaandika!...

Pole sana ndugu majuto, lakini kumwacha si suluhisho. Kama unampenda na ungependa tabia yake ibadilike na kuwa njema, basi umsaidie kwa kila hali ili muendeleze maisha yenu ya kawaida.

Wanasema tabia haina dawa, lakini mi naamini akifundishwa taratibu ataweza kubadilika japo kwa minimum!

Miaka mi5 bado ni mapema sana kwa ndoa, so still you have a chance to do something.
 
Pole yako Majuto.
unajua wanawake namna hii wanatokana na malezi huko kwao na pia hata wewe mwenyewe ulipo anza kumkaribisha kwa home yako hukutaka kujifunza juu yake.
Nainawezekana kabisa ulikua ni mtu wa kumpeleka kwenye take away everytime akija kwako.
Kwa mtu aliyezoea kufanyiwa kazi na house girl mpaka chupi yake ndo matatizo hayo.

Hivyo mvumilie na jaribu kukaa nae chini mzungumze taratibu atabadilika tu.

Ama uliletewa mke na wazazi wako,kwamba huyu oa la sivyo laana naiwe juu yako!!

japo intro hukutoa ulimpataje, basi yawezekana makosa makubwa yako kwako hukusoma alama za nyakati toka day one.
 
Mwenzangu anisikii kabisa, amekuwa mbishi umwambii kitu akifanye; anajibizana nami kama watoto,mwana mke wangu ni mchafu sana ina bidi wakati nikichoka nikubali kuwa mchafu kidogo, asafishi nyumba, jiko ni chafu, bafu chafu, ukiweka glass chini sebuleni inaweza kukaa wiki anaipita anaipiga teke na haikoti, si glasi tu kitu chochote, ukinunua vyakula na groceries ukaleta nyumbani anachofanya ni kuyachukua vitu na kutupa ndani ya makabati ukimuhuliza alipoweka kitu ajui. Na akisha weka kitu hakumbuki nini kaweka wapi hata mwaka unapita kitu hakijaguswa mpaka nifanye campeni ya kukagua kila kitu na kuweka nje ili nijue vilipo.
Fridge ni chafu, haipangwi vitu vinatupwa tu ndani yake bila hata kuoshwa vikitoka kwenye store. Chakula akipika nimemwambia siku nyingi inabidi kuya toa kwenye sufuria na kuweka kwenye makopo madogo ndo yawekwe kwenye fridge. Yeye akisha kula ana acha sufuria hapo hapo juu ya jiko bila hata kufunika na vijiko alivyotumia kuchotea chakula anaweka juu ya jiko hapo alafu anakwenda kulala, uki msema anachukua sufuria anaingiza ndani ya fridge na afuniki ingawa zipo wraping-makaratasi ya kufunika vyakula. Vyombo vina lala hapo kwenye sink mpaka kesho yake asubuhi.

Afui shuka mpaka ichafuke kweli au umwambie na akifua nguo au mashuka apigi pasi analundika hapo chini au popote pale alafu ana chambua mmoja baada ya nyingine na kupiga pasi akitaka kwenda sehemu alafu baada muda anarudi kuyafua tena unakuta ngua nyingine wala hazija valiwa zinafuliwa tena; Nimejaribu kuongea na kufundisha lakini asikii, aelewi au hajifunzi
Akilala nimeisha mwambia afunike nywele kwani anaweka dawa lakini afanyi hivyo mashuka na mito yote ina utomvu wa curls, watoto wanashindwa kupumua kwa sababu ya hewa nzito. Nimemnunulia cover ya nywele ya kulala lakini hajui alipo ziweka na ata kama ipo mpaka nimwambie kwa force ndo aweke.

Nnguo zake zina toa harufu mbaya nimemwambia kwa muda mrefu lakini asikii wala hafanyi jitihada kubadilika. Kupika ndo hajui kabisa anajua kupika chakula cha aina mmoja chakula cha mchuzi. Kupika Kuku wa mchuzi na nyama ya mchuzi hajui kupika hata andazi akipika vhapati utavunja meno ngumu kama jiwe. Nimeangalia kwenye internet siku mmoja nikiamka asubuhi nikapika kama mandazi 60 na yakawa mazuri kama ya mama nitilie na watoto wakayapenda lakini ukimwambia apike tena ingwa nimeandika kila kitu hawezi.Anayo internet 24 hours nyumbani
Nikitoka nje wala anipokei wala ani tengei chakula mezani labda kama wote tuko nyumbani ndo anapika alafu anaweka chakula mezani.
Wakati watu wakila yeye akai na watu mezani anakula peke yake, asubuhi namwacha analala wakati nakwenda kazini wala anipikii chai, napika mwenywe. Nawa ogesh watoto kabla ya kuwapeleka shule na kuwa tengea chai. Yeye akiamka anakwenda kwenye nywele za motto ndo anacho jua. Hamsaidii motto na assignment mpaka motto analia nikiingia kuwa mama hanisaidii. Hata kuwasomea watotoneno nalo ni shida nawakuta watoto wana nisubiri niwaombee ili walale yeye wakati huo analala.

Nimemwambia mke wangu awe incharge wa nyumba ajue matumizi yetu ya kila siku lakini hadi leo hajafanya na hajui tunatumia kiasi ghani au tunalipa bill kiasi gain kwa mwezi hajui
Nina ka imani kidogo kabla ya kwenda kulala nataka tisome biblia na kuomba lakini yeye kila siku akisha kula yuko kwenye TV mkitaka kuomba yeye anakwenda kulala.
Sijawahi kumwona mke wangu ameshika kitabu anasoma kitu ambacho ni kibaya sana
Siku nimetoka kazini ghafla nilisahau kitu nyumbani nikarudi nikakuta amekaa chumbani n a chai niliyo mwandalia Baba yangu anaye tutembelea hajamtolea sukari na kikombe anywe hivyo ikabidi nimpe Baba yangu chai. Kusudi baba asione tunashirikiana kumfanyia ubaya nikamuuliza kwa sauti kabisa kwanini hujampa baba chai?

Najua Biblia imeandika uache mke kwa Uasherati tu je hii si zaidi ya uasherati?

Mke wangu afanyi kazi ni mimi ndo naleta kila kitu sasa ni miaka mitano ila naelekea ukingoni. Nilikuwa msafi lakini naelekea kuwa mchafu. Mtoto akitoka shule amwambii akaoghe anamwambia utaoga kesho, dawa akipewa au ya watoto anakunywa mara mmoja tu alafu anatupa hapa mezani – Nifanyaje –Kukwepauchafu nemetoa nguo zangu zote kwenye makabati na kuyafungia kwenye sanduku na nimebadilisha namba ili niwe na nguo hata mmoja ya kutokea, kwani yeye hana nguo ya kutoka zote ni za sokoni na za kutokea
AGRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR!HHHHH
summary please!namna hii kweli mnatuchosha wachangiaji
 
Bana Eh!! Hiyo peleka kunakohusika huku sio kabisa..Modes saidia hii mutu. Huyo manzi wako kama yuko hivyo? Ulijuanga lini hiyo habari? Si mlikuwanga ati boy and girl friend, hukujua hiyo maneno yote?? acha vuruga kichwa yetu weweeee...

Reminds me of Nairobi...LOL!
 
Mwenzangu anisikii kabisa, amekuwa mbishi umwambii kitu akifanye; anajibizana nami kama watoto,mwana mke wangu ni mchafu sana ina bidi wakati nikichoka nikubali kuwa mchafu kidogo, asafishi nyumba, jiko ni chafu, bafu chafu, ukiweka glass chini sebuleni inaweza kukaa wiki anaipita anaipiga teke na haikoti, si glasi tu kitu chochote, ukinunua vyakula na groceries ukaleta nyumbani anachofanya ni kuyachukua vitu na kutupa ndani ya makabati ukimuhuliza alipoweka kitu ajui. Na akisha weka kitu hakumbuki nini kaweka wapi hata mwaka unapita kitu hakijaguswa mpaka nifanye campeni ya kukagua kila kitu na kuweka nje ili nijue vilipo.
Fridge ni chafu, haipangwi vitu vinatupwa tu ndani yake bila hata kuoshwa vikitoka kwenye store. Chakula akipika nimemwambia siku nyingi inabidi kuya toa kwenye sufuria na kuweka kwenye makopo madogo ndo yawekwe kwenye fridge. Yeye akisha kula ana acha sufuria hapo hapo juu ya jiko bila hata kufunika na vijiko alivyotumia kuchotea chakula anaweka juu ya jiko hapo alafu anakwenda kulala, uki msema anachukua sufuria anaingiza ndani ya fridge na afuniki ingawa zipo wraping-makaratasi ya kufunika vyakula. Vyombo vina lala hapo kwenye sink mpaka kesho yake asubuhi.

Afui shuka mpaka ichafuke kweli au umwambie na akifua nguo au mashuka apigi pasi analundika hapo chini au popote pale alafu ana chambua mmoja baada ya nyingine na kupiga pasi akitaka kwenda sehemu alafu baada muda anarudi kuyafua tena unakuta ngua nyingine wala hazija valiwa zinafuliwa tena; Nimejaribu kuongea na kufundisha lakini asikii, aelewi au hajifunzi
Akilala nimeisha mwambia afunike nywele kwani anaweka dawa lakini afanyi hivyo mashuka na mito yote ina utomvu wa curls, watoto wanashindwa kupumua kwa sababu ya hewa nzito. Nimemnunulia cover ya nywele ya kulala lakini hajui alipo ziweka na ata kama ipo mpaka nimwambie kwa force ndo aweke.

Nnguo zake zina toa harufu mbaya nimemwambia kwa muda mrefu lakini asikii wala hafanyi jitihada kubadilika. Kupika ndo hajui kabisa anajua kupika chakula cha aina mmoja chakula cha mchuzi. Kupika Kuku wa mchuzi na nyama ya mchuzi hajui kupika hata andazi akipika vhapati utavunja meno ngumu kama jiwe. Nimeangalia kwenye internet siku mmoja nikiamka asubuhi nikapika kama mandazi 60 na yakawa mazuri kama ya mama nitilie na watoto wakayapenda lakini ukimwambia apike tena ingwa nimeandika kila kitu hawezi.Anayo internet 24 hours nyumbani
Nikitoka nje wala anipokei wala ani tengei chakula mezani labda kama wote tuko nyumbani ndo anapika alafu anaweka chakula mezani.
Wakati watu wakila yeye akai na watu mezani anakula peke yake, asubuhi namwacha analala wakati nakwenda kazini wala anipikii chai, napika mwenywe. Nawa ogesh watoto kabla ya kuwapeleka shule na kuwa tengea chai. Yeye akiamka anakwenda kwenye nywele za motto ndo anacho jua. Hamsaidii motto na assignment mpaka motto analia nikiingia kuwa mama hanisaidii. Hata kuwasomea watotoneno nalo ni shida nawakuta watoto wana nisubiri niwaombee ili walale yeye wakati huo analala.

Nimemwambia mke wangu awe incharge wa nyumba ajue matumizi yetu ya kila siku lakini hadi leo hajafanya na hajui tunatumia kiasi ghani au tunalipa bill kiasi gain kwa mwezi hajui
Nina ka imani kidogo kabla ya kwenda kulala nataka tisome biblia na kuomba lakini yeye kila siku akisha kula yuko kwenye TV mkitaka kuomba yeye anakwenda kulala.
Sijawahi kumwona mke wangu ameshika kitabu anasoma kitu ambacho ni kibaya sana
Siku nimetoka kazini ghafla nilisahau kitu nyumbani nikarudi nikakuta amekaa chumbani n a chai niliyo mwandalia Baba yangu anaye tutembelea hajamtolea sukari na kikombe anywe hivyo ikabidi nimpe Baba yangu chai. Kusudi baba asione tunashirikiana kumfanyia ubaya nikamuuliza kwa sauti kabisa kwanini hujampa baba chai?

Najua Biblia imeandika uache mke kwa Uasherati tu je hii si zaidi ya uasherati?

Mke wangu afanyi kazi ni mimi ndo naleta kila kitu sasa ni miaka mitano ila naelekea ukingoni. Nilikuwa msafi lakini naelekea kuwa mchafu. Mtoto akitoka shule amwambii akaoghe anamwambia utaoga kesho, dawa akipewa au ya watoto anakunywa mara mmoja tu alafu anatupa hapa mezani – Nifanyaje –Kukwepauchafu nemetoa nguo zangu zote kwenye makabati na kuyafungia kwenye sanduku na nimebadilisha namba ili niwe na nguo hata mmoja ya kutokea, kwani yeye hana nguo ya kutoka zote ni za sokoni na za kutokea

Huna tofauti na mke wangu ila wangu wangu ananipagawisha acrobatic zake usiku ndio maana hua simsemi kama wewe
 
kweli hii kali,Lakini fanya hivi,

1. Huyo kuna tatizo zaidi ya usafi,labda hujui au hujawa muwazi.Ni psychological problem/matatizo ya akili. ambayo inakimbilia kwenye uzembe,uchafu na uvivu.Mchunguzeujue ana tatizo gani,kisha tafuta wataalamu wa ushauri,wamshauri
2.Tafuta mama mmoja mwaminifu kanisani,kama akiwa mama mchungaji itakuwa nzuri zaidi,awe anakuja hapo nyumbani na kumpa semina ikiwezekana kwa vitendo.Na wakati mwingine atoke kwenda kuona nyumba za wenzie.
3.Mtafutie hausigeli au hausiboi
4.Jina lako la majuto linakufatilia,badilisha.
5.Vumilia huku ukiendelea kumuelekeza.
 
Mwenzangu anisikii kabisa, amekuwa mbishi umwambii kitu akifanye; anajibizana nami kama watoto,mwana mke wangu ni mchafu sana ina bidi wakati nikichoka nikubali kuwa mchafu kidogo, asafishi nyumba, jiko ni chafu, bafu chafu, ukiweka glass chini sebuleni inaweza kukaa wiki anaipita anaipiga teke na haikoti, si glasi tu kitu chochote, ukinunua vyakula na groceries ukaleta nyumbani anachofanya ni kuyachukua vitu na kutupa ndani ya makabati ukimuhuliza alipoweka kitu ajui. Na akisha weka kitu hakumbuki nini kaweka wapi hata mwaka unapita kitu hakijaguswa mpaka nifanye campeni ya kukagua kila kitu na kuweka nje ili nijue vilipo.
Fridge ni chafu, haipangwi vitu vinatupwa tu ndani yake bila hata kuoshwa vikitoka kwenye store. Chakula akipika nimemwambia siku nyingi inabidi kuya toa kwenye sufuria na kuweka kwenye makopo madogo ndo yawekwe kwenye fridge. Yeye akisha kula ana acha sufuria hapo hapo juu ya jiko bila hata kufunika na vijiko alivyotumia kuchotea chakula anaweka juu ya jiko hapo alafu anakwenda kulala, uki msema anachukua sufuria anaingiza ndani ya fridge na afuniki ingawa zipo wraping-makaratasi ya kufunika vyakula. Vyombo vina lala hapo kwenye sink mpaka kesho yake asubuhi.

Afui shuka mpaka ichafuke kweli au umwambie na akifua nguo au mashuka apigi pasi analundika hapo chini au popote pale alafu ana chambua mmoja baada ya nyingine na kupiga pasi akitaka kwenda sehemu alafu baada muda anarudi kuyafua tena unakuta ngua nyingine wala hazija valiwa zinafuliwa tena; Nimejaribu kuongea na kufundisha lakini asikii, aelewi au hajifunzi
Akilala nimeisha mwambia afunike nywele kwani anaweka dawa lakini afanyi hivyo mashuka na mito yote ina utomvu wa curls, watoto wanashindwa kupumua kwa sababu ya hewa nzito. Nimemnunulia cover ya nywele ya kulala lakini hajui alipo ziweka na ata kama ipo mpaka nimwambie kwa force ndo aweke.

Nnguo zake zina toa harufu mbaya nimemwambia kwa muda mrefu lakini asikii wala hafanyi jitihada kubadilika. Kupika ndo hajui kabisa anajua kupika chakula cha aina mmoja chakula cha mchuzi. Kupika Kuku wa mchuzi na nyama ya mchuzi hajui kupika hata andazi akipika vhapati utavunja meno ngumu kama jiwe. Nimeangalia kwenye internet siku mmoja nikiamka asubuhi nikapika kama mandazi 60 na yakawa mazuri kama ya mama nitilie na watoto wakayapenda lakini ukimwambia apike tena ingwa nimeandika kila kitu hawezi.Anayo internet 24 hours nyumbani
Nikitoka nje wala anipokei wala ani tengei chakula mezani labda kama wote tuko nyumbani ndo anapika alafu anaweka chakula mezani.
Wakati watu wakila yeye akai na watu mezani anakula peke yake, asubuhi namwacha analala wakati nakwenda kazini wala anipikii chai, napika mwenywe. Nawa ogesh watoto kabla ya kuwapeleka shule na kuwa tengea chai. Yeye akiamka anakwenda kwenye nywele za motto ndo anacho jua. Hamsaidii motto na assignment mpaka motto analia nikiingia kuwa mama hanisaidii. Hata kuwasomea watotoneno nalo ni shida nawakuta watoto wana nisubiri niwaombee ili walale yeye wakati huo analala.

Nimemwambia mke wangu awe incharge wa nyumba ajue matumizi yetu ya kila siku lakini hadi leo hajafanya na hajui tunatumia kiasi ghani au tunalipa bill kiasi gain kwa mwezi hajui
Nina ka imani kidogo kabla ya kwenda kulala nataka tisome biblia na kuomba lakini yeye kila siku akisha kula yuko kwenye TV mkitaka kuomba yeye anakwenda kulala.
Sijawahi kumwona mke wangu ameshika kitabu anasoma kitu ambacho ni kibaya sana
Siku nimetoka kazini ghafla nilisahau kitu nyumbani nikarudi nikakuta amekaa chumbani n a chai niliyo mwandalia Baba yangu anaye tutembelea hajamtolea sukari na kikombe anywe hivyo ikabidi nimpe Baba yangu chai. Kusudi baba asione tunashirikiana kumfanyia ubaya nikamuuliza kwa sauti kabisa kwanini hujampa baba chai?

Najua Biblia imeandika uache mke kwa Uasherati tu je hii si zaidi ya uasherati?

Mke wangu afanyi kazi ni mimi ndo naleta kila kitu sasa ni miaka mitano ila naelekea ukingoni. Nilikuwa msafi lakini naelekea kuwa mchafu. Mtoto akitoka shule amwambii akaoghe anamwambia utaoga kesho, dawa akipewa au ya watoto anakunywa mara mmoja tu alafu anatupa hapa mezani – Nifanyaje –Kukwepauchafu nemetoa nguo zangu zote kwenye makabati na kuyafungia kwenye sanduku na nimebadilisha namba ili niwe na nguo hata mmoja ya kutokea, kwani yeye hana nguo ya kutoka zote ni za sokoni na za kutokea

...uliminya jicho moja ulipomchumbia na kumuoa, yakubidi sasa uyafunge yote mawili upate kuishi naye.

BTW, mapungufu yake yapo ndani ya uwezo wako, ...angekuwa mwasherati tungekuwa tushakuzika.
 
kweli hii kali,Lakini fanya hivi,

1. Huyo kuna tatizo zaidi ya usafi,labda hujui au hujawa muwazi.Ni psychological problem/matatizo ya akili. ambayo inakimbilia kwenye uzembe,uchafu na uvivu.Mchunguzeujue ana tatizo gani,kisha tafuta wataalamu wa ushauri,wamshauri
2.Tafuta mama mmoja mwaminifu kanisani,kama akiwa mama mchungaji itakuwa nzuri zaidi,awe anakuja hapo nyumbani na kumpa semina ikiwezekana kwa vitendo.Na wakati mwingine atoke kwenda kuona nyumba za wenzie.
3.Mtafutie hausigeli au hausiboi
4.Jina lako la majuto linakufatilia,badilisha.
5.Vumilia huku ukiendelea kumuelekeza.

Hajafundwa huyo!!? Kabila gani?? Ni mtoto pekee kwao au wa mwisho?? Pole sana kaka Mjuto!! Nafkiri huo ushauri hapo juu utakusaidia sana ukiutilia maanani!!!
 
Kaka Majuto

Kama ni kweli hiyo ni kali ila kila mtu ana mapungufu yake.. Je kuanzia mnaoana yupo hivi mpaka leo? Mawasiliano yenu mazuri yaani kumwelezea hivi vitu vinavyokukera abadilike au umsaidie kubadilika?
Isijekuwa unaelezea yote hapa wakati hujafanya bidii zozote za kumrekebisha hapo kwenye mji wenu..
 
Kaka Majuto

Kama ni kweli hiyo ni kali ila kila mtu ana mapungufu yake.. Je kuanzia mnaoana yupo hivi mpaka leo? Mawasiliano yenu mazuri yaani kumwelezea hivi vitu vinavyokukera abadilike au umsaidie kubadilika?
Isijekuwa unaelezea yote hapa wakati hujafanya bidii zozote za kumrekebisha hapo kwenye mji wenu..
ndugu yangu upo?
 
we mwenyewe si ndo ulikula kiapo Mbele ya Mungu kwamba mpaka kifo kiwatenganishe?. nadhani kama ulikuwa umekaa nae kwa muda mrefu ukamsoma vizuri ulifahamu wazi tabia yake kabla hamjaoona.
Vumilia naye tuu, ila unatakiwa uwe mkali kwake ili akuheshimu na afuate maelekezo yako.
ukiwa unamwabia mke wangu jamani mbona hujafanya hivi au vile hatakuwa akusikilizi kamwe, mpigishe rigwaride siku moja
 
Pole sana Mzee. Matatizo kama hayo ni ya kawaida katika ndoa kutokana na tofauti ya malezi na makuzi. ni jukumu lako kutafuta njia muafaka ya kumuelekeza nini cha kufanya, hata ikibidi kuwatumia wataalamu. Atarekebishika.
Huna tofauti na mke wangu ila wangu wangu ananipagawisha acrobatic zake usiku ndio maana hua simsemi kama wewe
 
Pole sana Mzee. Matatizo kama hayo ni ya kawaida katika ndoa kutokana na tofauti ya malezi na makuzi. ni jukumu lako kutafuta njia muafaka ya kumuelekeza nini cha kufanya, hata ikibidi kuwatumia wataalamu. Atarekebishika.
We Kapongo (A.K.A Kadoda a.k.a kabeberu)...... hiyo ya kusema "Matatizo kama hayo ni ya kawaida katika ndoa" ndiyo inayotufanya tufe na TAI shingoni. Cha msingi ashirikishe ndugu wa mkewe katika kutatua hili.
 
Majuto,
thread hii naona ni ya kweli yamekukuta. Pole sana lakini yaelekea hamkuwa na muda wa uchumba. Kama ulikuwepo basi mlikalia kumegana tu bila kuchunguzana tabia. Unavuna ulichopanda. Anyway pole
 
Back
Top Bottom