Viongozi wetu ni wacha Mungu, kumcha Mungu kunampa mtu maarifa. Viongozi wetu walifunuliwa hili mapena na Mwenyezi Mungu, na bila kuchelewa wakawahimiza watu wao kufanya maombi kimkakati (kumbuka walitoa siku tatu). Hakika maombi yana nguvu kuliko chochote.
Maandiko matakatifu yanasema, ukiwa...
Ni kweli kwenda chuo sio guarantee ya kutoboa maisha,lakini tusisahau kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kutokana na maelezo ya ndugu yetu, anaonyesha anamsaka elimu kwa udi na uvumba. Utagundua kuhangaika kote huko, nia ilikuwa ni kupata fedha ya kugharamia elimu, lakini kwa bahati mbaya mambo...
Mleta mada hakumaanisha hivyo. Hofu sio shauku. Shauku ni matamanio ya kufikia/kutimiza malengo fulani katika maisha yako. Kwa mfano mtu anatamani amiliki gari nzuri, nyumba nzuri, au mwingine anatamani kuoa au kuolewa, na anafanya jitihada ili kufikia malengo hayo; hiyo ndio shauku. In other...
Swali lako ni zuri sana, lakini umeruhusu uwigo mdogo katika kulijibu. Ungeruhusu watu wajibu katika mazingira yote mawili; yaani kiulimwengu huu tulionao na ulimwengu wa kiroho, hapo ndipo ungejuwa roho ni nini. Kwa mtazamo wangu swali lako linajibiwa vizuri kiulimwengu wa roho (imani), lakini...
Wewe jamaaa yangu huna uzalendo kabisa, badala ya kupigia debe bidhaa zako unapigia za watu wengine, unashangaza sana. Nikuambie kitu; hata hao unaowaongelea walianza hivyohivyo, hawakuanza siku moja na kusimama imara siku hiyohiyo. Je, gari unaloliona leo unategemea the first invention lilikuwa...
Naona umekurupuka kutoka usingizini na kuanza kuandika kilichokujia akilini mwako kwa wakati huo. Haiingii akilini unaposema eti USA wana mpango wa kupunguza viwanda kwa 80% wakati uchumi wao kwa 98% unategemea viwanda!
Mimi nilidhani ungesema tumechelewa kukazia sera ya viwanda, badala yake...
Inaonekana hufahamu nguvu ya viongozi wa mataifa. Viongozi wa mataifa wana mkono wa Mungu (soma kitabu cha Wafalme). Hivyo ni jambo jema sana kwa viongozi wa mataifa kuongea na watu wao na hata kuwatakia baraka wapatapo fursa, maana Mungu alisema nitawabariki utakaowabariki.
Wewe ndio huelewi maana ya kumchamba mtu, nakushauri tafuta kamusi uangalie maana ya neno hili (elimu haina mwisho). Rais alibainisha uozo uliofanywa na huyo mtu na hivyo kuweka tahadhali au kuonya watu wasirudie makosa hayo.
Umeambiwa wana akili 100 times ya akili ya binadamu. Kama binadamu wametengeneza rocket ya kuweza kufika Mars, sasa hawa Aliens ni mara mia zaidi ya uwezo huo! Umepata picha?
Mkuu hili lisikutatize, it is a very simple issue to deal with. Kwa sasa bi mkubwa wako hili suala aliweke wazi kwa ndugu zake secretly (without the old man being aware). And when your grand’s life terminates (but we don’t wish so), your lovely mother will delegate to one of her brothers.
You are talking illiterally, hizo machine zimekuwa programed kusoma sample za aina mbalimbali, na sio binadamu au wanyama tu, na kutoa majibu kulingana na information (data types) iliyoingizwa. Kwa mfano kama sample ni ya binadamu, majibu yatakuwa mawili, either positive au negative, lakini...
Kama ulimsikiliza vizuri, na kumwelewa, mheshimiwa rais, hii issue aliielezea vizuri sana. Nahisi kwa upande wako hukumsikiliza A-Z alipokuwa anazungumzia suala hili, kwa hivyo ulimwelewa nusu nusu.
Mheshimiwa rais alisema walitarget clean samples (uncontaminated), lengo likiwa ni kuangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.