Recent content by Comet

  1. C

    Nini hasa kimeondoa Corona Tanzania?

    Viongozi wetu ni wacha Mungu, kumcha Mungu kunampa mtu maarifa. Viongozi wetu walifunuliwa hili mapena na Mwenyezi Mungu, na bila kuchelewa wakawahimiza watu wao kufanya maombi kimkakati (kumbuka walitoa siku tatu). Hakika maombi yana nguvu kuliko chochote. Maandiko matakatifu yanasema, ukiwa...
  2. C

    Haya maisha haya! Acheni tu

    Ni kweli kwenda chuo sio guarantee ya kutoboa maisha,lakini tusisahau kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kutokana na maelezo ya ndugu yetu, anaonyesha anamsaka elimu kwa udi na uvumba. Utagundua kuhangaika kote huko, nia ilikuwa ni kupata fedha ya kugharamia elimu, lakini kwa bahati mbaya mambo...
  3. C

    Ulishawahi kusikia sehemu ambayo hukutanisha Jangwa na Bahari?

    Vipi kuhusu jangwa la Sahara na bahari ya Mediterranean, havijakutana?
  4. C

    Uhai bila shauku ni kama mwanga unaomulikia Giza!

    Mleta mada hakumaanisha hivyo. Hofu sio shauku. Shauku ni matamanio ya kufikia/kutimiza malengo fulani katika maisha yako. Kwa mfano mtu anatamani amiliki gari nzuri, nyumba nzuri, au mwingine anatamani kuoa au kuolewa, na anafanya jitihada ili kufikia malengo hayo; hiyo ndio shauku. In other...
  5. C

    Roho ni nini na ipo sehemu gani ya mwili?

    Swali lako ni zuri sana, lakini umeruhusu uwigo mdogo katika kulijibu. Ungeruhusu watu wajibu katika mazingira yote mawili; yaani kiulimwengu huu tulionao na ulimwengu wa kiroho, hapo ndipo ungejuwa roho ni nini. Kwa mtazamo wangu swali lako linajibiwa vizuri kiulimwengu wa roho (imani), lakini...
  6. C

    Hoja: Serikali ya viwanda Tanzania ni biashara kichaa, Viwanda havina manufaa kwa nchi wala wananchi

    Wewe jamaaa yangu huna uzalendo kabisa, badala ya kupigia debe bidhaa zako unapigia za watu wengine, unashangaza sana. Nikuambie kitu; hata hao unaowaongelea walianza hivyohivyo, hawakuanza siku moja na kusimama imara siku hiyohiyo. Je, gari unaloliona leo unategemea the first invention lilikuwa...
  7. C

    Hoja: Serikali ya viwanda Tanzania ni biashara kichaa, Viwanda havina manufaa kwa nchi wala wananchi

    Naona umekurupuka kutoka usingizini na kuanza kuandika kilichokujia akilini mwako kwa wakati huo. Haiingii akilini unaposema eti USA wana mpango wa kupunguza viwanda kwa 80% wakati uchumi wao kwa 98% unategemea viwanda! Mimi nilidhani ungesema tumechelewa kukazia sera ya viwanda, badala yake...
  8. C

    Kwani ni lazima kila ibada atakayohudhuria Rais, azungumze?

    Inaonekana hufahamu nguvu ya viongozi wa mataifa. Viongozi wa mataifa wana mkono wa Mungu (soma kitabu cha Wafalme). Hivyo ni jambo jema sana kwa viongozi wa mataifa kuongea na watu wao na hata kuwatakia baraka wapatapo fursa, maana Mungu alisema nitawabariki utakaowabariki.
  9. C

    Dkt. Mwele Malecela afikisha 50k followers Twitter mara baada ya kuongelewa na Rais Magufuli

    Wewe ndio huelewi maana ya kumchamba mtu, nakushauri tafuta kamusi uangalie maana ya neno hili (elimu haina mwisho). Rais alibainisha uozo uliofanywa na huyo mtu na hivyo kuweka tahadhali au kuonya watu wasirudie makosa hayo.
  10. C

    Soma uzi huu ujifunze na uwafahamu vumbe wajulikana nao kama Alliens

    Umeambiwa wana akili 100 times ya akili ya binadamu. Kama binadamu wametengeneza rocket ya kuweza kufika Mars, sasa hawa Aliens ni mara mia zaidi ya uwezo huo! Umepata picha?
  11. C

    Babu kizaa mama kazingua sana, anataka kuleta mambo ya Yusufu na Nduguze

    Mkuu hili lisikutatize, it is a very simple issue to deal with. Kwa sasa bi mkubwa wako hili suala aliweke wazi kwa ndugu zake secretly (without the old man being aware). And when your grand’s life terminates (but we don’t wish so), your lovely mother will delegate to one of her brothers.
  12. C

    Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

    Usiangalie ulipojikwaa, songa mbele.... kuteleza sio kuanguka.
  13. C

    Kuhusu Sample, Mheshimiwa alitumia Formula ya GIGO

    You are talking illiterally, hizo machine zimekuwa programed kusoma sample za aina mbalimbali, na sio binadamu au wanyama tu, na kutoa majibu kulingana na information (data types) iliyoingizwa. Kwa mfano kama sample ni ya binadamu, majibu yatakuwa mawili, either positive au negative, lakini...
  14. C

    Planet Saturn

    Can you bring a proof on it
  15. C

    Kwanini mnashangaa mafenesi, mapapai na mbuzi kukutwa na COVID-19/Corona?

    Kama ulimsikiliza vizuri, na kumwelewa, mheshimiwa rais, hii issue aliielezea vizuri sana. Nahisi kwa upande wako hukumsikiliza A-Z alipokuwa anazungumzia suala hili, kwa hivyo ulimwelewa nusu nusu. Mheshimiwa rais alisema walitarget clean samples (uncontaminated), lengo likiwa ni kuangalia...
Back
Top Bottom