LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,099
- 27,067
Wanasemaga MTU mzima hakosei anajisahau. Babu yangu amejisahau Sana.
NI age mate wa Mzee wetu Alhaji Ali Ibn Hassan Ibn Mwinyi.
Mama angu alitoka kijijini kwao na kuja Darusalama in the year 1974 baada kuolewa na Baba angu.
Fast forward. Last week he called my mother.
He insisted that he is so sick so that she should go to see him in the village.
Mama alipo enda.
" Mwanangu nime kuita . Mimi SASA hivi siku zangu za kuishi zimekaribia ukingoni. So nataka nikuonyeshe Mali zangu. Mashamba yangu na mipaka yangu ambayo nitakapo ondoka basi mtagawana na ndugu zako"
Kwa ufupi HUYU Mzee anataka mama angu ndio awe msimamizi WA Mali zake.
Mama anasema wakati babu ana waambia watoto wengine kwamba anataka Maza aende kumuona, mama alitoa ushauri kwanini wasiwepo na watoto wake wengine .. babu akasema " hapana mimi namtaka HUYU HUYU"
So mama alipofika kijijini akamchukua mmoja kati ya wadogo zake wa kike na kwenda nae Kwa babu ambae aliwaonyesha hizo Mali.
Baada ya hapo mama aliwapigia simu ndugu zake kuwajulisha Baba Yao alimuita Kwa sababu gani...
Ili asijenge picha MBAYA.
KWELI Mtu akizeeka anarudi kuwa kama mtoto.
Wewe babu kufanya kitu kama hiki huoni unamuweka mtoto wako kwenye hatari kubwa?
Unadhani watoto wako wengine watajisikia vipi?
Hujui upendo wa baba ndio upendo Wenye nguvu kuliko upendo wowote ule duniani?
Unaua na Ku huisha?
Yusufu aliuzwa utumwani na Nduguze Kwa sababu ya upendo WA Baba yake.
Kuna mamilioni ya watu duniani wanapitia matatizo makubwa na wengine wana uwawa na ndugu zao Kwa sababu ya wivu wa kupendwa na Baba zao.
I know my mother is Ur favourite child but Kwa hili umechemka.
I wish my father was around cause asinge ruhusu bi mkubwa kusafiri kuja kijijini Kwa sababu ya Huo upuuzi.
Bi mkubwa alinificha kuhusu hiyo Safari. Ningejua mapema nisinge mruhusu.
Sisi ngozi chafu tuna akili MBAYA Sana. Yani muda huu unaweza kukuta baadhi ya wajomba na mamaza wadogo wame gang up against my mother kwenye Vilinge vya WAGANGA na Wachawi...
Hahahahaha. personally am not afraid cause hakuna uchawi wowote ule Chini ya Jua ambao unaweza kumdhuru mama angu.. She is covered and protected by the Holy and Mighty Blood of Jesus Christ of Nazareth".
What am worried about may be this one:
If it happens that the oleman dies. Kwenye msiba, these fools may try to poison her. Zile sumu za asili zinazo fanya kazi taratibu...
Kwa sababu hiyo basi. If the thing happen. I shall never allow my mother to go there. I have the power to do so.
Or i shall command her to go there but not eat or drink anything therein.
I shall send with her some escorts and spies to make sure that she doesn't be poisoned in any manner whatsoever.
Should any bad thing happen to her i shall wipe out the entire family. I shall make sure that there is black out in the entire Mzee ....family and no one is left to tell..
Mzee kanikera KWELI HUYU.. sijui aliemwambia bi mkubwa ana shida na heka mbili za kijijini nani?
She is rich ( kibongo bongo) She got money and estates here in the Ds of M.
She got a lot of living to do.
Halafu Sisi waafrika watu WA ajabu Sana. Wewe binti yako ukishamuozesha anakuwa sio wako tena huyo. Anakuwa Chini ya mume wake.
Mambo ya urithi na Mali zako wanatakuwa wasimamie watoto wako WA kiume sio mtoto wako WA kike ambae Alisha olewaga toka enzi za Pontyo WA Pilato...
Babu yangu HUYU Ange enda shule angejifunzaga walau ile chemsha bongo inayo sema:
' UNA WATOTO WATATU, UNA NDIZI MBILI. KUNA MTOTO MMOJA UNAMPENDA KULIKO WENGINE NA UNATAKA APATE NDIZI KUBWA KULIKO WENZAKE BILA WENZAKE KUJUA".
JIBU LAKE NI : UTAWAPA WALE USIO WAPENDA NDIZI MOJA MOJA KISHA UTAWAAMBIA MKATIENI MWENZENU.. WAO WATAONA UNAWAPENDA WAO ZAIDI KUMBE UNAMPENDA MWENZAO..
HUYU Babu angetumia hata hekima hii ya darasa la tatu.
Babu kanikera sana HUYU..
NI age mate wa Mzee wetu Alhaji Ali Ibn Hassan Ibn Mwinyi.
Mama angu alitoka kijijini kwao na kuja Darusalama in the year 1974 baada kuolewa na Baba angu.
Fast forward. Last week he called my mother.
He insisted that he is so sick so that she should go to see him in the village.
Mama alipo enda.
" Mwanangu nime kuita . Mimi SASA hivi siku zangu za kuishi zimekaribia ukingoni. So nataka nikuonyeshe Mali zangu. Mashamba yangu na mipaka yangu ambayo nitakapo ondoka basi mtagawana na ndugu zako"
Kwa ufupi HUYU Mzee anataka mama angu ndio awe msimamizi WA Mali zake.
Mama anasema wakati babu ana waambia watoto wengine kwamba anataka Maza aende kumuona, mama alitoa ushauri kwanini wasiwepo na watoto wake wengine .. babu akasema " hapana mimi namtaka HUYU HUYU"
So mama alipofika kijijini akamchukua mmoja kati ya wadogo zake wa kike na kwenda nae Kwa babu ambae aliwaonyesha hizo Mali.
Baada ya hapo mama aliwapigia simu ndugu zake kuwajulisha Baba Yao alimuita Kwa sababu gani...
Ili asijenge picha MBAYA.
KWELI Mtu akizeeka anarudi kuwa kama mtoto.
Wewe babu kufanya kitu kama hiki huoni unamuweka mtoto wako kwenye hatari kubwa?
Unadhani watoto wako wengine watajisikia vipi?
Hujui upendo wa baba ndio upendo Wenye nguvu kuliko upendo wowote ule duniani?
Unaua na Ku huisha?
Yusufu aliuzwa utumwani na Nduguze Kwa sababu ya upendo WA Baba yake.
Kuna mamilioni ya watu duniani wanapitia matatizo makubwa na wengine wana uwawa na ndugu zao Kwa sababu ya wivu wa kupendwa na Baba zao.
I know my mother is Ur favourite child but Kwa hili umechemka.
I wish my father was around cause asinge ruhusu bi mkubwa kusafiri kuja kijijini Kwa sababu ya Huo upuuzi.
Bi mkubwa alinificha kuhusu hiyo Safari. Ningejua mapema nisinge mruhusu.
Sisi ngozi chafu tuna akili MBAYA Sana. Yani muda huu unaweza kukuta baadhi ya wajomba na mamaza wadogo wame gang up against my mother kwenye Vilinge vya WAGANGA na Wachawi...
Hahahahaha. personally am not afraid cause hakuna uchawi wowote ule Chini ya Jua ambao unaweza kumdhuru mama angu.. She is covered and protected by the Holy and Mighty Blood of Jesus Christ of Nazareth".
What am worried about may be this one:
If it happens that the oleman dies. Kwenye msiba, these fools may try to poison her. Zile sumu za asili zinazo fanya kazi taratibu...
Kwa sababu hiyo basi. If the thing happen. I shall never allow my mother to go there. I have the power to do so.
Or i shall command her to go there but not eat or drink anything therein.
I shall send with her some escorts and spies to make sure that she doesn't be poisoned in any manner whatsoever.
Should any bad thing happen to her i shall wipe out the entire family. I shall make sure that there is black out in the entire Mzee ....family and no one is left to tell..
Mzee kanikera KWELI HUYU.. sijui aliemwambia bi mkubwa ana shida na heka mbili za kijijini nani?
She is rich ( kibongo bongo) She got money and estates here in the Ds of M.
She got a lot of living to do.
Halafu Sisi waafrika watu WA ajabu Sana. Wewe binti yako ukishamuozesha anakuwa sio wako tena huyo. Anakuwa Chini ya mume wake.
Mambo ya urithi na Mali zako wanatakuwa wasimamie watoto wako WA kiume sio mtoto wako WA kike ambae Alisha olewaga toka enzi za Pontyo WA Pilato...
Babu yangu HUYU Ange enda shule angejifunzaga walau ile chemsha bongo inayo sema:
' UNA WATOTO WATATU, UNA NDIZI MBILI. KUNA MTOTO MMOJA UNAMPENDA KULIKO WENGINE NA UNATAKA APATE NDIZI KUBWA KULIKO WENZAKE BILA WENZAKE KUJUA".
JIBU LAKE NI : UTAWAPA WALE USIO WAPENDA NDIZI MOJA MOJA KISHA UTAWAAMBIA MKATIENI MWENZENU.. WAO WATAONA UNAWAPENDA WAO ZAIDI KUMBE UNAMPENDA MWENZAO..
HUYU Babu angetumia hata hekima hii ya darasa la tatu.
Babu kanikera sana HUYU..