Hoja: Serikali ya viwanda Tanzania ni biashara kichaa, Viwanda havina manufaa kwa nchi wala wananchi

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,397
Wakati Mataifa Yaliyoendelea yakiwa kwenye mchakato wa kupunguza viwanda nchini mwao Kutokana na Madhara yatokanayo kuwa makubwa!

Sisi Tanzania ndio kwanza tunaongeza sera kuwa na utitiri wa viwanda kila kona nchini pasipo kuzingatia athari!

Watanzania wengi hatupendi kuchunguza athari katika kuliletea taifa maendeleo!
Ukiuliza "Serikali ya viwanda inafaida gani kwa inchi na wananchi?
Utajibiwa majibu mepesi tu kwamba " Watanzania tupende vya kwetu"

Nchi zilizoendelea ikiwemo marekani Wanahaha kupunguza Idadi ya viwanda angalau kwa 80% ili kuondoa athari ya uchafuzi wa mazingira jambo ambalo linachukua bajeti kubwa kupambana nalo!

Je; Kuna faida ya kuwa na Viwanda Tanzania?
Uanzishwaji wa viwanda hapa kwetu umejaa utapeli, hauna tija kwa wananchi wala kwa nchi?
Mfano;
  1. Bidhaa nyingi zitokanazo na viwanda vyetu hapa bongo Zinauzwa bei juu sana kuliko hata kuagizia Malaysia ...Je faida ya kuwa na kiwanda iko wapi?
  2. Wananchi wanaoajiliwa kwenye viwanda bongo wengi wao huchukuliwa vibarua na mwisho wao hudhulumiwa.. hapo faida iko wapi?
  3. Bidhaa zinazozalishwa katika viwanda vyetu nyingi zimechakachuliwa i.e kama ni nondo unene na urefu ni pungufu, bomba ni pungufu,misumari ni laini yaani kila kitu kimechakachuliwa
  4. Viwanda vyetu kwa wingi havijulikani hata majina, Zunguka maeneo mengi ya viwanda vingi havina hata mabango kuonesha vinazalisha nini, Lakini pamoja na hayo utaduaa zaidi kiwanda kama hiko unaambiwa kilifunguliwa na mbio za mwenge au kiongozi
  5. Viwanda vingi bongo Vinasajiliwa kwa kutengeneza Bidhaa flani, Lakini humo humo wanazalisha Bidhaa mbalimbali na TBS wanaidhinisha!
  6. Kutokana na uchafuzi wa mazingira, Sera za mwalimu nyerere walishauri Angalau kiwanda kiwe na eneo kubwa lenye uoto wa asili (pori) lisilopungua 5 heka hii yote ilikuwa lengo ni kulinda mazingira yasiathiliwe na utitiri wa viwanda
  7. Mfano; Mkoa wa pwani unasakiwa kuwa na viwanda zaidi ya 300, kwa DSM kinondoni viwanda ni karibu 200, Ilala viwanda kibao, temeke chungu mzima, Kigamboni plan inadaiwa kuwa na viwanda zaidi ya 200 Lakini Je, Kuna Hatua gani za kunusuru mazingira kwa faida ya wananchi? JIBU NI HAKUNA!
Hiyo inatokana na kuwa mipango ya utitiri wa viwanda visivyohitajika .

Kiwanda cha TAILIZI (Malumalu) cha chalinze kinauza Tailz bei kubwa kuliko kununua za South Afrika au Thailand

JE; Hiyo sera ya viwanda yanini sasa kama mwananchi hafaidiki?

  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kwasasa kama kuna ukwepaji kulipa kodi kwa viwanda?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kuwekeza viwanda karibu na makazi ya watu?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama hakuna Umeme wa kutosha?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama haitoi ajira kwa wananchi?

SI BORA TUNGEWEKEZA KWENYE ELIMU NA KATIBA MPYA BASI?

Mataifa makubwa yenyewe sahivi yanavidampo viwanda Afrika kutokana na uchafuzi wa mazingira kwao;

Sisi tunataka kila uchochoro kuwe na kiwanda, tena viwanda vyetu ni sawa na viwanda Bubu!
TUTACHELEWA SANA
 
Kunawatu sijui wamatumia tundu la kunyea kufikiria?

Bidhaa kuuzwa bei kubwa ni sababu ya Monopoly. Siku viwanda vikiwa vya kutosha competition itakuwa kubwa sana na bei itashuka.

Nakumbuka hata kipind mitandao ya simu inaanza kuingia. Gharama zilikuwa kubwa sana. Nakumbuka sms 1 ilikuwa ni sh 100.
 
Kunawatu sijui wamatumia tundu la kunyea kufikiria?

Bidhaa kuuzwa bei kubwa ni sababu ya Monopoly. Siku viwanda vikiwa vya kutosha competition itakuwa kubwa sana na bei itashuka.

Nakumbuka hata kipind mitandao ya simu inaanza kuingia. Gharama zilikuwa kubwa sana. Nakumbuka sms 1 ilikuwa ni sh 100.
Monopoly ya kitu gani na utandawazi huu??
 
Wakati Mataifa Yaliyoendelea yakiwa kwenye mchakato wa kupunguza viwanda nchini mwao Kutokana na Madhara yatokanayo kuwa makubwa!

Sisi Tanzania ndio kwanza tunaongeza sera kuwa na utitiri wa viwanda kila kona nchini pasipo kuzingatia athari!

Watanzania wengi hatupendi kuchunguza athari katika kuliletea taifa maendeleo!
Ukiuliza "Serikali ya viwanda inafaida gani kwa inchi na wananchi?
Utajibiwa majibu mepesi tu kwamba " Watanzania tupende vya kwetu"

Nchi zilizoendelea ikiwemo marekani Wanahaha kupunguza Idadi ya viwanda angalau kwa 80% ili kuondoa athari ya uchafuzi wa mazingira jambo ambalo linachukua bajeti kubwa kupambana nalo!

Je; Kuna faida ya kuwa na Viwanda Tanzania?
Uanzishwaji wa viwanda hapa kwetu umejaa utapeli, hauna tija kwa wananchi wala kwa nchi?
Mfano;
  1. Bidhaa nyingi zitokanazo na viwanda vyetu hapa bongo Zinauzwa bei juu sana kuliko hata kuagizia Malaysia ...Je faida ya kuwa na kiwanda iko wapi?
  2. Wananchi wanaoajiliwa kwenye viwanda bongo wengi wao huchukuliwa vibarua na mwisho wao hudhulumiwa.. hapo faida iko wapi?
  3. Bidhaa zinazozalishwa katika viwanda vyetu nyingi zimechakachuliwa i.e kama ni nondo unene na urefu ni pungufu, bomba ni pungufu,misumari ni laini yaani kila kitu kimechakachuliwa
  4. Viwanda vyetu kwa wingi havijulikani hata majina, Zunguka maeneo mengi ya viwanda vingi havina hata mabango kuonesha vinazalisha nini, Lakini pamoja na hayo utaduaa zaidi kiwanda kama hiko unaambiwa kilifunguliwa na mbio za mwenge au kiongozi
  5. Viwanda vingi bongo Vinasajiliwa kwa kutengeneza Bidhaa flani, Lakini humo humo wanazalisha Bidhaa mbalimbali na TBS wanaidhinisha!
  6. Kutokana na uchafuzi wa mazingira, Sera za mwalimu nyerere walishauri Angalau kiwanda kiwe na eneo kubwa lenye uoto wa asili (pori) lisilopungua 5 heka hii yote ilikuwa lengo ni kulinda mazingira yasiathiliwe na utitiri wa viwanda
  7. Mfano; Mkoa wa pwani unasakiwa kuwa na viwanda zaidi ya 300, kwa DSM kinondoni viwanda ni karibu 200, Ilala viwanda kibao, temeke chungu mzima, Kigamboni plan inadaiwa kuwa na viwanda zaidi ya 200 Lakini Je, Kuna Hatua gani za kunusuru mazingira kwa faida ya wananchi? JIBU NI HAKUNA!
Hiyo inatokana na kuwa mipango ya utitiri wa viwanda visivyohitajika .

Kiwanda cha TAILIZI (Malumalu) cha chalinze kinauza Tailz bei kubwa kuliko kununua za South Afrika au Thailand

JE; Hiyo sera ya viwanda yanini sasa kama mwananchi hafaidiki?

  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kwasasa kama kuna ukwepaji kulipa kodi kwa viwanda?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kuwekeza viwanda karibu na makazi ya watu?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama hakuna Umeme wa kutosha?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama haitoi ajira kwa wananchi?

SI BORA TUNGEWEKEZA KWENYE ELIMU NA KATIBA MPYA BASI?

Mataifa makubwa yenyewe sahivi yanavidampo viwanda Afrika kutokana na uchafuzi wa mazingira kwao;

Sisi tunataka kila uchochoro kuwe na kiwanda, tena viwanda vyetu ni sawa na viwanda Bubu!
TUTACHELEWA SANA
Una umasikini wa akili pamoja na wivu
 
Wakati Mataifa Yaliyoendelea yakiwa kwenye mchakato wa kupunguza viwanda nchini mwao Kutokana na Madhara yatokanayo kuwa makubwa!

Sisi Tanzania ndio kwanza tunaongeza sera kuwa na utitiri wa viwanda kila kona nchini pasipo kuzingatia athari!

Watanzania wengi hatupendi kuchunguza athari katika kuliletea taifa maendeleo!
Ukiuliza "Serikali ya viwanda inafaida gani kwa inchi na wananchi?
Utajibiwa majibu mepesi tu kwamba " Watanzania tupende vya kwetu"

Nchi zilizoendelea ikiwemo marekani Wanahaha kupunguza Idadi ya viwanda angalau kwa 80% ili kuondoa athari ya uchafuzi wa mazingira jambo ambalo linachukua bajeti kubwa kupambana nalo!

Je; Kuna faida ya kuwa na Viwanda Tanzania?
Uanzishwaji wa viwanda hapa kwetu umejaa utapeli, hauna tija kwa wananchi wala kwa nchi?
Mfano;
  1. Bidhaa nyingi zitokanazo na viwanda vyetu hapa bongo Zinauzwa bei juu sana kuliko hata kuagizia Malaysia ...Je faida ya kuwa na kiwanda iko wapi?
  2. Wananchi wanaoajiliwa kwenye viwanda bongo wengi wao huchukuliwa vibarua na mwisho wao hudhulumiwa.. hapo faida iko wapi?
  3. Bidhaa zinazozalishwa katika viwanda vyetu nyingi zimechakachuliwa i.e kama ni nondo unene na urefu ni pungufu, bomba ni pungufu,misumari ni laini yaani kila kitu kimechakachuliwa
  4. Viwanda vyetu kwa wingi havijulikani hata majina, Zunguka maeneo mengi ya viwanda vingi havina hata mabango kuonesha vinazalisha nini, Lakini pamoja na hayo utaduaa zaidi kiwanda kama hiko unaambiwa kilifunguliwa na mbio za mwenge au kiongozi
  5. Viwanda vingi bongo Vinasajiliwa kwa kutengeneza Bidhaa flani, Lakini humo humo wanazalisha Bidhaa mbalimbali na TBS wanaidhinisha!
  6. Kutokana na uchafuzi wa mazingira, Sera za mwalimu nyerere walishauri Angalau kiwanda kiwe na eneo kubwa lenye uoto wa asili (pori) lisilopungua 5 heka hii yote ilikuwa lengo ni kulinda mazingira yasiathiliwe na utitiri wa viwanda
  7. Mfano; Mkoa wa pwani unasakiwa kuwa na viwanda zaidi ya 300, kwa DSM kinondoni viwanda ni karibu 200, Ilala viwanda kibao, temeke chungu mzima, Kigamboni plan inadaiwa kuwa na viwanda zaidi ya 200 Lakini Je, Kuna Hatua gani za kunusuru mazingira kwa faida ya wananchi? JIBU NI HAKUNA!
Hiyo inatokana na kuwa mipango ya utitiri wa viwanda visivyohitajika .

Kiwanda cha TAILIZI (Malumalu) cha chalinze kinauza Tailz bei kubwa kuliko kununua za South Afrika au Thailand

JE; Hiyo sera ya viwanda yanini sasa kama mwananchi hafaidiki?

  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kwasasa kama kuna ukwepaji kulipa kodi kwa viwanda?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kuwekeza viwanda karibu na makazi ya watu?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama hakuna Umeme wa kutosha?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama haitoi ajira kwa wananchi?

SI BORA TUNGEWEKEZA KWENYE ELIMU NA KATIBA MPYA BASI?

Mataifa makubwa yenyewe sahivi yanavidampo viwanda Afrika kutokana na uchafuzi wa mazingira kwao;

Sisi tunataka kila uchochoro kuwe na kiwanda, tena viwanda vyetu ni sawa na viwanda Bubu!
TUTACHELEWA SANA
Mtoa mada umesema maneno ya kweli kabisa. Bora tuwaige cdm. Wao mapato yao yote huwekeza kwa mwenyekiti wao. Naye huwekeza kwa wabunge viti maalumu. Uwekezaji huo ni bora kuliko viwanda. Kwani tunaongeza idadi ya watanzania kwa njia rahisi
 
Mtoa mada umesema maneno ya kweli kabisa. Bora tuwaige cdm. Wao mapato yao yote huwekeza kwa mwenyekiti wao. Naye huwekeza kwa wabunge viti maalumu. Uwekezaji huo ni bora kuliko viwanda. Kwani tunaongeza idadi ya watanzania kwa njia rahisi
sioni sababu yakukimbilia viwanda Kama hatujajipanga
 
Akili za mijitu maskini na mivivu utaiona tu. Hta hiyo USA imefka hapo ilipo due to industrial revolution, ww unataka kuuhadaa umati hapa., kawaporokee wanao uko utengeneze generation yako ya umaskini wa kifikra.
 
Akili za mijitu maskini na mivivu utaiona tu. Hta hiyo USA imefka hapo ilipo due to industrial revolution, ww unataka kuuhadaa umati hapa., kawaporokee wanao uko utengeneze generation yako ya umaskini wa kifikra.
eleza faida ya viwanda iko wai Kama vilivyopo vina utapeli lukuki
 
eleza faida ya viwanda iko wai Kama vilivyopo vina utapeli lukuki
ndo walewale mnaotaka uwekeze leo uvune leoleo. Faida zipo nyngi in longrun, sera yenyewe hta muongo mmoja haina, mshaikatia tamaa, acha uzembe, mambo mazur yanahtaj muda na focus..
 
Wakati Mataifa Yaliyoendelea yakiwa kwenye mchakato wa kupunguza viwanda nchini mwao Kutokana na Madhara yatokanayo kuwa makubwa!

Sisi Tanzania ndio kwanza tunaongeza sera kuwa na utitiri wa viwanda kila kona nchini pasipo kuzingatia athari!

Watanzania wengi hatupendi kuchunguza athari katika kuliletea taifa maendeleo!
Ukiuliza "Serikali ya viwanda inafaida gani kwa inchi na wananchi?
Utajibiwa majibu mepesi tu kwamba " Watanzania tupende vya kwetu"

Nchi zilizoendelea ikiwemo marekani Wanahaha kupunguza Idadi ya viwanda angalau kwa 80% ili kuondoa athari ya uchafuzi wa mazingira jambo ambalo linachukua bajeti kubwa kupambana nalo!

Je; Kuna faida ya kuwa na Viwanda Tanzania?
Uanzishwaji wa viwanda hapa kwetu umejaa utapeli, hauna tija kwa wananchi wala kwa nchi?
Mfano;
  1. Bidhaa nyingi zitokanazo na viwanda vyetu hapa bongo Zinauzwa bei juu sana kuliko hata kuagizia Malaysia ...Je faida ya kuwa na kiwanda iko wapi?
  2. Wananchi wanaoajiliwa kwenye viwanda bongo wengi wao huchukuliwa vibarua na mwisho wao hudhulumiwa.. hapo faida iko wapi?
  3. Bidhaa zinazozalishwa katika viwanda vyetu nyingi zimechakachuliwa i.e kama ni nondo unene na urefu ni pungufu, bomba ni pungufu,misumari ni laini yaani kila kitu kimechakachuliwa
  4. Viwanda vyetu kwa wingi havijulikani hata majina, Zunguka maeneo mengi ya viwanda vingi havina hata mabango kuonesha vinazalisha nini, Lakini pamoja na hayo utaduaa zaidi kiwanda kama hiko unaambiwa kilifunguliwa na mbio za mwenge au kiongozi
  5. Viwanda vingi bongo Vinasajiliwa kwa kutengeneza Bidhaa flani, Lakini humo humo wanazalisha Bidhaa mbalimbali na TBS wanaidhinisha!
  6. Kutokana na uchafuzi wa mazingira, Sera za mwalimu nyerere walishauri Angalau kiwanda kiwe na eneo kubwa lenye uoto wa asili (pori) lisilopungua 5 heka hii yote ilikuwa lengo ni kulinda mazingira yasiathiliwe na utitiri wa viwanda
  7. Mfano; Mkoa wa pwani unasakiwa kuwa na viwanda zaidi ya 300, kwa DSM kinondoni viwanda ni karibu 200, Ilala viwanda kibao, temeke chungu mzima, Kigamboni plan inadaiwa kuwa na viwanda zaidi ya 200 Lakini Je, Kuna Hatua gani za kunusuru mazingira kwa faida ya wananchi? JIBU NI HAKUNA!
Hiyo inatokana na kuwa mipango ya utitiri wa viwanda visivyohitajika .

Kiwanda cha TAILIZI (Malumalu) cha chalinze kinauza Tailz bei kubwa kuliko kununua za South Afrika au Thailand

JE; Hiyo sera ya viwanda yanini sasa kama mwananchi hafaidiki?

  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kwasasa kama kuna ukwepaji kulipa kodi kwa viwanda?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kuwekeza viwanda karibu na makazi ya watu?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama hakuna Umeme wa kutosha?
  • Hiyo Sera ya viwanda yanini kama haitoi ajira kwa wananchi?

SI BORA TUNGEWEKEZA KWENYE ELIMU NA KATIBA MPYA BASI?

Mataifa makubwa yenyewe sahivi yanavidampo viwanda Afrika kutokana na uchafuzi wa mazingira kwao;

Sisi tunataka kila uchochoro kuwe na kiwanda, tena viwanda vyetu ni sawa na viwanda Bubu!
TUTACHELEWA SANA

Naona umekurupuka kutoka usingizini na kuanza kuandika kilichokujia akilini mwako kwa wakati huo. Haiingii akilini unaposema eti USA wana mpango wa kupunguza viwanda kwa 80% wakati uchumi wao kwa 98% unategemea viwanda!

Mimi nilidhani ungesema tumechelewa kukazia sera ya viwanda, badala yake wewe unasema tuachane nayo, are you conscious? Umeongelea bidhaa kama misumali, vigae, mabati, na nyinginezo, je hivi navyo tuagize nje? Hizi nchi tunazoziita ‘’ the big 20’’ zilifika hapo kutokana na viwanda.

Tatizo lingine nililoliona kwako, unalinganisha walipofikia wenzetu na tulipofika sisi. Mimi nadhani huu ni mwanzo tu, hatupaswi kujilinganisha na wenzetu walioanza miongo mingi iliyopita. Umeongelea kuhusu ubora wa bidhaa zetu, tutazidi kuboresha kulingana na tekinolojia yetu inavyoongezeka. And for sure we are improving.

Jambo la msingi hapa ni kujiandaa ni namna gani tutakabiliana na hewa ukaa (carbon), kama ulivyodokezea. Kwa bahati nzuri mamlaka inayohusika na mazingira (NEMC) iko macho na inatuelekeza jinsi ya kukabiliana na hili ikiwa ni pamoja na kupanda miti (hata viongozi wa ngazi za juu, akiwemo Rais mwenyewe wamesisiza hili). Hii itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupunguza air pollution.
 
ndo walewale mnaotaka uwekeze leo uvune leoleo. Faida zipo nyngi in longrun, sera yenyewe hta muongo mmoja haina, mshaikatia tamaa, acha uzembe, mambo mazur yanahtaj muda na focus..
mda gan? unafaham Viwanda vya mabati bongo vina miaka mingapi? unafaham Viwanda vya nondo bongo vina miaka mingapi!? huo mda unaoutaka ni upi? Mbona vinachakachua na bei ya bidhaa bado ipo juu kuliko kuagiza nje?
kwanini bidhaa za kutoka nje ni bei nafuu na imara kuliko bidhaa inayozalishwa hapa?
Yanini kuwa na kiwanda faida iko wapi?
 
Naona umekurupuka kutoka usingizini na kuanza kuandika kilichokujia akilini mwako kwa wakati huo. Haiingii akilini unaposema eti USA wana mpango wa kupunguza viwanda kwa 80% wakati uchumi wao kwa 98% unategemea viwanda!

Mimi nilidhani ungesema tumechelewa kukazia sera ya viwanda, badala yake wewe unasema tuachane nayo, are you conscious? Umeongelea bidhaa kama misumali, vigae, mabati, na nyinginezo, je hivi navyo tuagize nje? Hizi nchi tunazoziita ‘’ the big 20’’ zilifika hapo kutokana na viwanda.

Tatizo lingine nililoliona kwako, unalinganisha walipofikia wenzetu na tulipofika sisi. Mimi nadhani huu ni mwanzo tu, hatupaswi kujilinganisha na wenzetu walioanza miongo mingi iliyopita. Umeongelea kuhusu ubora wa bidhaa zetu, tutazidi kuboresha kulingana na tekinolojia yetu inavyoongezeka. And for sure we are improving.

Jambo la msingi hapa ni kujiandaa ni namna gani tutakabiliana na hewa ukaa (carbon), kama ulivyodokezea. Kwa bahati nzuri mamlaka inayohusika na mazingira (NEMC) iko macho na inatuelekeza jinsi ya kukabiliana na hili ikiwa ni pamoja na kupanda miti (hata viongozi wa ngazi za juu, akiwemo Rais mwenyewe wamesisiza hili). Hii itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupunguza air pollution.
mi nazani umeandika kutetea ugali may be uko kwenye sekta hii; lakini UKWELI ni kwamba huwezi kuwa na Viwanda pasipo sera, Huwezi kuwa na Viwanda pasipo wataalam, Huwezi kuwa na Viwanda pasipo kuzingatia standard ya kimataifa,
ngoja nikupe mfano!
MTAALAM AKIANDAA B.O.Q ya ujenzi akitumia bidhaa za kibongo anakuwa kwenye risk kuwa nje ya bajeti kwa 20%
yaani Kama bajeti itakuwa 100mil basi loss itakuwa 20% ukitumia bidhaa za ndani!
ndiyo maana moja ya condition ya wakandaras kwenye miradi mikubwa huja na vifaa vyao!
 
mi nazani umeandika kutetea ugali may be uko kwenye sekta hii; lakini UKWELI ni kwamba huwezi kuwa na Viwanda pasipo sera, Huwezi kuwa na Viwanda pasipo wataalam, Huwezi kuwa na Viwanda pasipo kuzingatia standard ya kimataifa,
ngoja nikupe mfano!
MTAALAM AKIANDAA B.O.Q ya ujenzi akitumia bidhaa za kibongo anakuwa kwenye risk kuwa nje ya bajeti kwa 20%
yaani Kama bajeti itakuwa 100mil basi loss itakuwa 20% ukitumia bidhaa za ndani!
ndiyo maana moja ya condition ya wakandaras kwenye miradi mikubwa huja na vifaa vyao!

Wewe jamaaa yangu huna uzalendo kabisa, badala ya kupigia debe bidhaa zako unapigia za watu wengine, unashangaza sana. Nikuambie kitu; hata hao unaowaongelea walianza hivyohivyo, hawakuanza siku moja na kusimama imara siku hiyohiyo. Je, gari unaloliona leo unategemea the first invention lilikuwa hivyo?
 
Wewe jamaaa yangu huna uzalendo kabisa, badala ya kupigia debe bidhaa zako unapigia za watu wengine, unashangaza sana. Nikuambie kitu; hata hao unaowaongelea walianza hivyohivyo, hawakuanza siku moja na kusimama imara siku hiyohiyo. Je, gari unaloliona leo unategemea the first invention lilikuwa hivyo?
unauhakika walianza hivi? hivi unajua maana ya uzalendo? Vitu vikiwa vibovu uzalendo unatoka wapi? yaani umuuzie mtu kitu kibovu bei ghali eti anunue tu kisa uzalendo? ajabu Sana wee kiumbe
 
Back
Top Bottom