Haya maisha haya! Acheni tu

Haya maisha haya! Acheni tu

Hapo niwaka 2014 uliandika uzi kwamba upo kidato cha tano na haujawahi kufanya mapenzi.

Then 2017, ukaandika uzi kwamba upo chuo mwaka wa kwanza.

Kisha 2017, ukaandika tena kwamba umefeli kidato cha nne na ukahitaji usaidiwe usifeli maisha.

Leo 2020 umekuja na uzi kwamba mwaka juzi (2018) ulichaguliwa kujiunga na chuo cha Mwenge huko Moshi.

Sasa nimejaribu kutafakari na nikajikuta ninapata mashaka kidogo mkuu, ebu nieleweshe pengine nisije nikawa ninakuwazia tofauti na nikachuma dhambi bure.View attachment 1510110View attachment 1510114View attachment 1510117View attachment 1510128
Internet haipotezi kumbukumbu.....
 
Hapo niwaka 2014 uliandika uzi kwamba upo kidato cha tano na haujawahi kufanya mapenzi.

Then 2017, ukaandika uzi kwamba upo chuo mwaka wa kwanza.

Kisha 2017, ukaandika tena kwamba umefeli kidato cha nne na ukahitaji usaidiwe usifeli maisha.

Leo 2020 umekuja na uzi kwamba mwaka juzi (2018) ulichaguliwa kujiunga na chuo cha Mwenge huko Moshi.

Sasa nimejaribu kutafakari na nikajikuta ninapata mashaka kidogo mkuu, ebu nieleweshe pengine nisije nikawa ninakuwazia tofauti na nikachuma dhambi bure.View attachment 1510110View attachment 1510114View attachment 1510117View attachment 1510128
Hawa wapumbavu ndo huwa wanafanya hata watu wengine wenye shida 'genuine' wasisaidike...Yaani matapeli yamejaa kila kona
 
Polee Sanaa ndugu...

Hyo mvua binafsi imeniathiri ktk kilimo changu cha mpunga huwez amini eka moja mtu unapata gunia 3 adi 2...

Kuna jamaa yngu nae alilima ufuta pande za Kilwa katoka patupu hajarudisha ata cent..

So,usijihisi vibaya ktk Hilo janga,ni janga la taifa kila mkulima limemgusa so usikate tamaa.

Sina kazi ya kukuajiri Ila nina mawazo ya kukupa ili ufikie malengo yake.
1:- Jipange urudi tena ktk kilimo cha maindi naamini unauzoefu wa kutosha ktk hcho kilimo,pia naamini mwakani ni mwaka hali ya hewa itakuwa shwari kwa wakulima hvyo usikate tamaa.

2:- Kabla hujafikiria kuajiriwa embu kaa chini fikiria wazo zuri la biashara ambayo utaweza kuiendesha upate chochote kitu,jaribu kuwa mbunifu kulingana na changamoto zinazokuzunguka.
Najua utasema tatizo mtaji Ila amini mtaji upo Ila tatizo mawazo.(money is all about an idea that why we have a business idea)

Tengeneza idea nzur ya biashara theni itengenezee business plan yako nzuri na iwe simple tu afu feel as if unaimiliki na unaiendesha hyo biashara...then washirkishe watu wako wa karibu kuhusu hyo idea yako ikiwezekana ata apa jf ilete watu wenye uzoefu nayo watakupa mwangaza.

3:- naomba uamini kwenda chuo si ndio kutoboa maisha...usijihisi mpweke hyo elimu uliyo nayo apo inatosha kwako kukuwezesha kutoboa life.

Mwisho Kama upo tayar kushare na mimi mawili matatu kuhusu idea mbalimbali za biashara ni pm mkuu...Mana nami nipo ktk kupambana japo namalizia degree yangu niingie mtaani kupambana kikamili.

Kama utapata pa kujishikiza nakuomba fungamana na vtu hivi.
1. Uamini
2.kujituma
3.subira (uvumilivu)
4.nidhamu

Ni kweli kwenda chuo sio guarantee ya kutoboa maisha,lakini tusisahau kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kutokana na maelezo ya ndugu yetu, anaonyesha anamsaka elimu kwa udi na uvumba. Utagundua kuhangaika kote huko, nia ilikuwa ni kupata fedha ya kugharamia elimu, lakini kwa bahati mbaya mambo hayakuwa kama alivyotegemea.

Kwenye nia kuna njia, ndugu yetu usikate tamaa, endelea kupambana, utafika utakako. Magumu uliyokutana nayo yasikukatishe tamaa, badala yake yakuimarishe uweze kusonga mbele. Kwa sisi wenye imani, hayo uliyopitia tunachukulia kama majaribu tu na kwamba Mungu hajakuacha. Yawezekana Mungu alikupitisha huko ili kukuepusha na jambo baya zaidi (kibinadamu, kuamini hili ni ngumu), lakini pia tunaamini mtu akianguka, husimama tena na kuendelea na safari.

Kwa hiyo ndugu yangu ninachotaka kusema hapa ni kuwa, kazania kutimiza unachoamini kutoka moyoni mwako. Kutokana na maelezo yako hapo juu, unaamini elimu ndiyo mkombozi wako, lakini ikajitokeza changamoto ya gharama, lakini kama una nia ya dhati, utaishinda changamoto hii na hatimaye kufikia malengo yako. Mungu awe pamoja nawe.
 
Niwatoe wasiwasi Ushimen na wengine. Kuna baadhi ya vipengele sijaviweka wazi kwa sababu ya privacy. Alafu sometime hii simu Kuna ndugu huwa wanaitumia. Ndo maana ile post ya kufeli kidato Cha nne imeandikwa na binti (rejea uisome vizuri).

Kama binadamu ukiona hivo lazima upate wasiwasi lkn Sina Nia mbaya.
Hata hivo sijaomba hela Kama hela nimeomba connection. Kwa lolote lile tutaandikishana kisheria na wadhamini watakuepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom