Hii inanikamilishia Imani yangu kuwa maisha ni mtazamo wako binafsi.
Tabia pia ni mtazamo binafsi. Tabia njema kwa bwana Yule sio lazima iwe tabia njema kwa bwana Chee
Yani ameona mpaka atafute wa kumsapoti[emoji23][emoji23]
Kama kijana kaweza kutoka from scratch mpaka kanununuq just a V8 achana na mengine.
Huyu jamaa akasugue mguu na jiwe alale
Nakubaliana na wewe kabisa.
Pia ile kozi inayoendeshwa pale polisi mess, unalipa
1.10,000 kiingilio na kitabu na alama za barabarani
2.85,000 cheti
3. 3,500 kiti ulichokalia
Inasikitisha sana
Ni wazi hujasoma makala zilizopita na kuelewa.
Ila umeanza vizuri kwa kujiuliza. Sasa nakusihi ukazisome kisha utajieleimisha. Kuelewa na kutokuelewa itabaki juu yako.
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.