Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kwa hiyo hicho kinachowaambukiza watu na wakawa dhaifu ni nini?
Kipo au ni hisia tu?
Kama hisia mbona mtoto aambukizwa toka kwa mzazi na aonyesha dalili mpaka apatiwa matibabu, je mtoto nae anapataje hizo stress za hisia ya ugonjwa?
OG12,
 
Ooohhh
Kumbe issue ni chanzo?
Ugonjwa upo mazee, RAIA wanaugua balaa.
Unaweza kuwa na TB na hayo magonjwa mengine ila usiwe na Ukimwi mkuu.

Lakini hoja ya msingi hapa ilikuwa chanzo cha UKIMWI kuwa sio HIV virus kama inavyosemwa. Hapa ndo hoja ya Deception inaingia... Hakuna mtu anakataa uwepo wa UKIMWI
 
Uzuri ni kuwa, maneno na maoni kama haya, hayachangii kumfanya huyu "passenger virus" awe "mhalifu" wa kuangamiza CD4

HIV/AIDS IS A DEADLY HYPOTHESIS IN A MEDICAL HISTORY
Nani anaeharibu hizo kinga za mwili?
Na huyu VVU nae anaingiaje? Anamfikiaje mwanadamu, hana madhara kama tunavoaminishwa?
Iweje mgonjwa wa kawaida wa tuberculosis ambae hana VVU akatibika kirahisi kuliko mwenye VVU? VIVYO HIVYO KWA MAGONJWA MENGINE, kuna tofauti kubwa sana kati ya MTU anaeugua ugonjwa wowote na hana maambukizi na yule mgonjwa mwenye maambukizi.....nini kinachangia ikiwa VVU ni deadly virus?
 
Nani anaeharibu hizo kinga za mwili?
Na huyu VVU nae anaingiaje? Anamfikiaje mwanadamu, hana madhara kama tunavoaminishwa?
Iweje mgonjwa wa kawaida wa tuberculosis ambae hana VVU akatibika kirahisi kuliko mwenye VVU?
VIVYO HIVYO KWA MAGONJWA MENGINE,kuna tofauti kubwa sana kati ya MTU anaeugua ugonjwa wowote na hana maambukizi na yule mgonjwa mwenye maambukizi.....nini kinachangia ikiwa VVU ni deadly virus?

Ni wazi hujasoma makala zilizopita na kuelewa.

Ila umeanza vizuri kwa kujiuliza. Sasa nakusihi ukazisome kisha utajieleimisha. Kuelewa na kutokuelewa itabaki juu yako.

Ahsante
 
Ni wazi hujasoma makala zilizopita na kuelewa.

Ila umeanza vizuri kwa kujiuliza. Sasa nakusihi ukazisome kisha utajieleimisha. Kuelewa na kutokuelewa itabaki juu yako.

Ahsante
Hakuna ubaya ukanielewesha hapa kwa ufupi kisha nipatie link nikazisome kwa urefu zaidi
Asante
 
Kwa hiyo hicho kinachowaambukiza watu na wakawa dhaifu ni nini?
Kipo au ni hisia tu?
Kama hisia mbona mtoto aambukizwa toka kwa mzazi na aonyesha dalili mpaka apatiwa matibabu, je mtoto nae anapataje hizo stress za hisia ya ugonjwa?

Hapa kuna uwezekano WA kuanza kurudia mambo kwa kila anayeuona huu Uzi!

Maswali yako yote yamejibiwa na post za juu!!!!

Ngoja ninywe juice ntakuja kujibu,Mimi kama mwanafunZ WA #Deception
 
Jibu kiufupi, Uzi mrefu kuanza kuupekua sio sport sport mazeee....kwa faida ya wachelewaji tujibie tu
Hapa kuna uwezekano WA kuanza kurudia mambo kwa kila anayeuona huu Uzi!

Maswali yako yote yamejibiwa na post za juu!!!!

Ngoja ninywe juice ntakuja kujibu,Mimi kama mwanafunZ WA #Deception
 
  • Thanks
Reactions: B51
1.Ukimwi hauambukizwi.

2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono.

3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari, mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.

Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu, kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo, ukweli utabaki palepale.

Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe. Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza. Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo, kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

Naendelea kukusoma kwa upya kabisa mkuu
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom