Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 4,032
- 6,926
Section 161 of LMA inaongelea kuhusu presumption of marriage..."dhan kama mmefunga ndoa". Ikifanikiwa kuthibitishwa kama basi inachukuliwa kama mlifunga ndoa na taratibu zote za kuachana zinafuatwa kama ilivyo kwa wanandoa. Sheria inaangalia uwepo wa viashiria vifuatavyoSi kweli hao ni mtu na mzazi mwenzie sio wanandoa.Taratibu ziko tofauti
1) Mmeishi pamoja kwa miaka miwili au zaid
2) Majirani wanawatbua kama ni mume na mke
3)hamkua na formal marriage/ harusi/ shangwe za harusi
Ikithibitika hio my friend, taratibu zote za talaka zitafuatwa kama kwa watu waliofunga ndoa.