MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,114
Wakuu, hizi ni tabia zangu tano za kipekee ambazo huwa zinanishangaza hata mimi-:
1. Nikiona simba mwenye njaa anamfukuza ngiri halafu akamkosa huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kuwa ngiri ameokoa maisha yake
2. Nikiona kobra mwenye njaa anamvizia panya halafu akamkosa huwa nafurahi sana badala ya kusikitika kuwa kobra amekosa mlo
3. Nikiona simba amemkamata chui na kumuua huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kuwa sasa maisha ya baadhi ya wanyama yatakuwa salama
4. Nikiona mangoose anamkamata kobra na kumuua huwa ninafurahi sana badala ya kusikitika kuwa maisha ya kobra yamepotea
5. Nikiona baboon anakamata swala na kula nyama au nikiona baboon anakula mayai ya ndege huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kuwa baboon anapata protein
Naomba maoni yenu kuhusu tabia zangu hizi
1. Nikiona simba mwenye njaa anamfukuza ngiri halafu akamkosa huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kuwa ngiri ameokoa maisha yake
2. Nikiona kobra mwenye njaa anamvizia panya halafu akamkosa huwa nafurahi sana badala ya kusikitika kuwa kobra amekosa mlo
3. Nikiona simba amemkamata chui na kumuua huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kuwa sasa maisha ya baadhi ya wanyama yatakuwa salama
4. Nikiona mangoose anamkamata kobra na kumuua huwa ninafurahi sana badala ya kusikitika kuwa maisha ya kobra yamepotea
5. Nikiona baboon anakamata swala na kula nyama au nikiona baboon anakula mayai ya ndege huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kuwa baboon anapata protein
Naomba maoni yenu kuhusu tabia zangu hizi