Recent content by Colleone

  1. Colleone

    Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

    Bado yupo au alifanikiwa kuondoka? tarehe 19 leo
  2. Colleone

    Chuo cha Uhasibu Arusha tuna hali mbaya sana sio kwa jinsi uongozi wa chuo unavyotupelekesha

    Aisee umenikumbusha mbali sana nilikua nakaa Hostel ya Mamuya pale jamaa walitukosakosa sana manake sie ndio tulikua batch ya mwisho mwisho kurudi Hostel siku ile jamaa wakawapiga vijana simu wakaenda Hostel ya mbele wakapiga vitu kibao
  3. Colleone

    Chuo cha Uhasibu Arusha tuna hali mbaya sana sio kwa jinsi uongozi wa chuo unavyotupelekesha

    hahaha nilikuepo hyo siku ya tukio mie nilikua hostel ya Mamuya tumetoka kuangalia game pale Megan Pub
  4. Colleone

    Offa ya Tshs 15000 kwa atakaenisaidia kurudisha fedha hii niliyotuma kimakosa

    kesho nicheck inbox ntakuangalizia issue yako kama alipata au hakuipata
  5. Colleone

    Taja jina la movie ulioitazama zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka

    Ocean 11,12&13 ScarFace, Godfather triology The lost valentine
  6. Colleone

    Arusha hakuna ukarimu kwa wateja

    hawa jamaa wameshazoeshana hivyo. mie nimekaa miaka minne Arusha. Mteja akienda dukan anamwambia mwenye duka nipe kitu flan wakat huku Dar tunasema naomba. ni tabia ambayo wamezoeshana na wenyewe wanasema mwenye pesa ndo mwenye kauli
  7. Colleone

    Mtoto wa marehemu Leyla Mtumwa alivyojaribu kuokoa maisha ya Mama yake

    Huyo Jamaa alieua nilimfahamu kupitia dada mmoja Hv ambae anaitwa Amitin alikua anafanya kazi Airtel na ndo mkewe alietorokea Dubai. Jamaa alikua anampiga sana yule Dada na ana wivu balaa plus kuna story niliskia kua pia anapenda kale kamchezo ka kuwaingilia kina Dada kinyume na maumbile. Baada...
  8. Colleone

    RC Makonda: Ukimpa ujauzito mwanamke mkoa wa Dar es Salaam ujipange

    Hii approach ni ngumu sana kwa maisha yetu watanzania sasa hivi. Anaekimbia hua haami mtaa anapotea mazima. So sidhan kama ni criminal case ya mtu kukamatwa na kuwekwa ndani kisa kakimbia mimba coz anaweza ikataa vilevile na wakashindwa ku prove. mwisho wa cku unakua umetumia muda nguvu na...
  9. Colleone

    Msaada: Mwajiri anataka nimlipe fedha ya likizo baada ya kuni terminate

    Very simple. tafuta mwanasheria fungua kesi. utalipwa hela nzuri sana. trust me. Hakuna muajili aliewah shida kesi ya unfair termination
  10. Colleone

    Mwigulu: Walimu tumieni fimbo kusimamia maadili ya wanafunzi

    Wakati nasoma Primary kuna mwalimu alikua anapenda sana kuchapa fimbo wanafunz. tukamaliza tukaondoka. Baadae tunakuja skia anahitaj msaada wa matibabu hakuna hata mmoja wa wanafunz aliowafundisha alikua tayari kumchangia kutokana na chuki aliyoijenga baina yake na wanafunzi.
  11. Colleone

    Airtel huu uhuni mliouanzisha unaleta matatizo kwenye jamii

    Kukusaidia tu Hata ukienda TCRA hutopata msaada kwa sababu as per TCRA line ikikaa zaidi ya siku 90 inakua recycled kwa sababu inakua inactive na hiyo ni regulation ya Tcra so Airtel hawajakosea. Ila kama laini yako ilikua na hela kama unavyosema hyo 4mill mie kwa ushauri tu nenda pale HQ...
  12. Colleone

    Msaada: Tairi zipi ni Bora na Imara?

    LingLong Goodride ziko poa kama una average budget. BF Goodrich pia kama ni mtu wa safari ndefu plus rough road sana
  13. Colleone

    Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

    Dah Kiloleni Tabora umenikumbusha mbali sana. enzi hizo tunatoroka tunaenda Rufita Club 1997 kushangaa swimming pool mkirud home tu ni kipigo cha hatari
Back
Top Bottom