Msaada: Mwajiri anataka nimlipe fedha ya likizo baada ya kuni terminate

Chemist boy

Member
Mar 24, 2018
55
54
Habari wakuu, Mimi nimekuwa terminated na kampuni fulani, baada ya kupewa termination benefits naambiwa natakiwa nirudishe kwa kampuni fedha ya likizo niliyochukua January, housing allowance pia niliyochukua January. Je, sheria inaruhusu kufanyika ayo? Msaada tafadhali
 
Umekuwa terminated lini na kwa sababu gani??tuanziee hapo then nikujibu swali lako
 
Umekuwa terminated lini na kwa sababu gani??tuanziee hapo then nikujibu swali lako
OK,nmekuwa terminated tangu tarehe 9 march,2018...sababu ni,kiongoz wangu alienishtak alienda kwa afisa mwajiri na kumuelezea hali ilivokuwa,wakati huo Mimi sikuwepo,baadae nikaitwa Mimi na afisa mwajiri,yeye anasema aliniita ili anisikilize ila baada ya kufika alianza kunihukumu bila kunisikiliza akiamini kiongozi wangu alkuwa sahihi,ilhali alikisea ndio maana at a kosa lenyewe nikakutwa sina hatia,kwa ivo baada ya kuona sijapewa haki ya kusikilizwa nikaamua kuondoka kwenye icho kikao
 
OK,nmekuwa terminated tangu tarehe 9 march,2018...sababu ni,kiongoz wangu alienishtak alienda kwa afisa mwajiri na kumuelezea hali ilivokuwa,wakati huo Mimi sikuwepo,baadae nikaitwa Mimi na afisa mwajiri,yeye anasema aliniita ili anisikilize ila baada ya kufika alianza kunihukumu bila kunisikiliza akiamini kiongozi wangu alkuwa sahihi,ilhali alikisea ndio maana at a kosa lenyewe nikakutwa sina hatia,kwa ivo baada ya kuona sijapewa haki ya kusikilizwa nikaamua kuondoka kwenye icho kikao

Ninachojuaa kuna ground za kusikiliza kesi mbali mbali thts why nikawa nakuuliza umefanya kosa gani mpkaa ukawa terminated,

Coz kama ungekuwa ni kosa la kawaida ninachojuaa kiongozi wako angekaa na ww akupe first warning,na kukupa ushauri namna ya kufanya ili kosa lisijirudie

Je hayo yalifanyikaa????na kama yalifanyikaaa mlipitiaa process gani?manake ninchojua mpkaa umekuwa terminated ni kuwa umefanya kosa kubwa so please nyoosha maelezo ili.nikupe muongozo
 
Chanzo kilikuwa hivi, Team leader aliniandikia sms asubuh kuwa natakiwa kuingia kazin night,wakat iyo siku kawaida Mimi huwa nakuwa off, ilikuwa jumatatu na mtu anaeingiaga night iyo juma tatu yupo na hakuwa na excuse kwa maana ya ugonjwa au emergency yeyote maana mi nilimpigia simu uyo mwenzangu akathibitisha hilo kuwa hakuwa na tatitzo,

Kumbe Team leader anasema alikaa kikao siku ya jumamosi na kubadili ratiba ya kazi,watu waliokuwepo kwenye hichi kikao wanasema hakusema kitu kama hicho,na hata tulipokuwa hearing nilipomtaka athibitishe hilo alishindwa, kwa iyo alibadili ratiba kwa utashi wake na bila kutupa taarifa,sasa siku ya shift yangu ilipofika ilkuwa jumatano,ndipo aliponitaka niandike maelezo kwa nini sikufika kazini iyo siku ya jumatatu,akaamua kulipeleka suala juu kwa production manager,

nikaitwa nikaeleza kama nilivoeleza hapo juu,boss akatupilia mbali hilo kosa na akamtaka hilo suala lihishe na tufanye kazi kama kawaida,kumbe Team leader ule uamuzi haukumridhisha ili hali alikubali yahishe mveke ya boss,ndipo alipoamua kwenda HR ofisi kushitaki,huko sasa nikaitwe,ile kufika tu uyo afisa mwajiri akaanga kama kunihukumu bila kunisikiliza,ina maana aliona yule Team leader yupo sahihi,aliniuliza maswaki kama,"iv utajisikiaje watu wakisema umekuwa terminated?

Hapo hata hajanisikiliza bado, nilipoomba nafasi ya kujieleza hakunipa,binafsi nilikereka nikaamua kuondoka nikawaacha wenyewe maana niliona hakuna haki pale, ndipo nikaitwa hearing,sasa hearing suala la kutofika kazini waliniona nimeonewa ivo wakaniambia sina hatia, sasa walinikuta na hatia kosa la pili hilo la kuondoka kwa uyo afisa mwajiri,na kukataa kuandika maelezo.
 
Chanzo kilikuwa hivi,Team leader aliniandikia sms asubuh kuwa natakiwa kuingia kazin night,wakat iyo siku kawaida Mimi huwa nakuwa off,ilikuwa jumatatu na mtu anaeingiaga night iyo juma tatu yupo na hakuwa na excuse kwa maana ya ugonjwa au emergency yeyote maana mi nilimpigia simu uyo mwenzangu akathibitisha hilo kuwa hakuwa na tatitzo,kumbe Team leader anasema alikaa kikao siku ya jumamosi na kubadili ratiba ya kazi,watu waliokuwepo kwenye hichi kikao wanasema hakusema kitu kama hicho,na hata tulipokuwa hearing nilipomtaka athibitishe hilo alishindwa,kwa iyo alibadili ratiba kwa utashi wake na bila kutupa taarifa,sasa siku ya shift yangu ilipofika ilkuwa jumatano,ndipo aliponitaka niandike maelezo kwa nini sikufika kazini iyo siku ya jumatatu,akaamua kulipeleka suala juu kwa production manager,nikaitwa nikaeleza kama nilivoeleza hapo juu,boss akatupilia mbali hilo kosa na akamtaka hilo suala lihishe na tufanye kazi kama kawaida,kumbe Team leader ule uamuzi haukumridhisha ili hali alikubali yahishe mveke ya boss,ndipo alipoamua kwenda HR ofisi kushitaki,huko sasa nikaitwe,ile kufika tu uyo afisa mwajiri akaanga kama kunihukumu bila kunisikiliza,ina maana aliona yule Team leader yupo sahihi,aliniuliza maswaki kama,"iv utajisikiaje watu wakisema umekuwa terminated?hapo hata hajanisikiliza bado,nilipoomba nafasi ya kujieleza hakunipa,binafsi nilikereka nikaamua kuondoka nikawaacha wenyewe maana niliona hakuna haki pale,ndipo nikaitwa hearing,sasa hearing suala la kutofika kazini waliniona nimeonewa ivo wakaniambia sina hatia,sasa walinikuta na hatia kosa la pili hilo la kuondoka kwa uyo afisa mwajiri,na kukataa kuandika maelezo.

Kwa nini uliondoka bila kumsikiliza mshitaki/HR wako?? Hivi watu wote tungekuwa kama wewe tungeweza kutatua migogoro?? Kwa jinsi ilivyo kesi lazima urudishe huo mpunga wa allowance.
 
Chanzo kilikuwa hivi, Team leader aliniandikia sms asubuh kuwa natakiwa kuingia kazin night,wakat iyo siku kawaida Mimi huwa nakuwa off, ilikuwa jumatatu na mtu anaeingiaga night iyo juma tatu yupo na hakuwa na excuse kwa maana ya ugonjwa au emergency yeyote maana mi nilimpigia simu uyo mwenzangu akathibitisha hilo kuwa hakuwa na tatitzo,

Kumbe Team leader anasema alikaa kikao siku ya jumamosi na kubadili ratiba ya kazi,watu waliokuwepo kwenye hichi kikao wanasema hakusema kitu kama hicho,na hata tulipokuwa hearing nilipomtaka athibitishe hilo alishindwa, kwa iyo alibadili ratiba kwa utashi wake na bila kutupa taarifa,sasa siku ya shift yangu ilipofika ilkuwa jumatano,ndipo aliponitaka niandike maelezo kwa nini sikufika kazini iyo siku ya jumatatu,akaamua kulipeleka suala juu kwa production manager,

nikaitwa nikaeleza kama nilivoeleza hapo juu,boss akatupilia mbali hilo kosa na akamtaka hilo suala lihishe na tufanye kazi kama kawaida,kumbe Team leader ule uamuzi haukumridhisha ili hali alikubali yahishe mveke ya boss,ndipo alipoamua kwenda HR ofisi kushitaki,huko sasa nikaitwe,ile kufika tu uyo afisa mwajiri akaanga kama kunihukumu bila kunisikiliza,ina maana aliona yule Team leader yupo sahihi,aliniuliza maswaki kama,"iv utajisikiaje watu wakisema umekuwa terminated?

Hapo hata hajanisikiliza bado, nilipoomba nafasi ya kujieleza hakunipa,binafsi nilikereka nikaamua kuondoka nikawaacha wenyewe maana niliona hakuna haki pale, ndipo nikaitwa hearing,sasa hearing suala la kutofika kazini waliniona nimeonewa ivo wakaniambia sina hatia, sasa walinikuta na hatia kosa la pili hilo la kuondoka kwa uyo afisa mwajiri,na kukataa kuandika maelezo.
Ulionesha " dharau" kwa kiongozi wako. Fungus shauri, na siku ikifika ukatae kwamba hukuondoka kwa dharau. No evidence.
 
Uzi wa namna hii huwa sipendi unipite.
USHAURI: Sijajua kama ulishawahi kuajiriwa mahali pengine, kimsingi jifunze kuheshimu wakubwa wako wakazi na ukihisi umeonewa zipo taratibu za kulalamika sio kwa jinsi ulivyo fanya kuanzia kukataa kuingia kazini na kukimbia kikao. JIREKEBISHE

Nenda CMA lakini jipange.
Likizo ni haki yako hata kama kweli ulikuwa na makosa.
 
Kwa nini uliondoka bila kumsikiliza mshitaki/HR wako?? Hivi watu wote tungekuwa kama wewe tungeweza kutatua migogoro?? Kwa jinsi ilivyo kesi lazima urudishe huo mpunga wa allowance.
Kuna kitu nafikiri hujakielewa,nafikiri ata ungekua ww, tayar mtu anakuuliza swali kama utajisikiaje ukiwa terminated?na hajakusikiliza sasa ungekua ww ungekaa ili update nn?wakt tayr mazngira yalionesha amedhamiria termination
 
Back
Top Bottom