Huyu ndo mhuni mkuu na dalali anayedalia mali za taifa wakishirikiana na yule bibi. Angalia jinsi alivyomptisha yule bibi kihuni tofauti na taratibu za Vege, Mungu ikikupendeza mwite na huyo, tushangilie kwa mara nyingine
Vijana wa 90s, 20s chukueni hii, itawasaidia. Ukishapata pisi ambayo unaiona hii ni ya kaweka ndani, na baada ya kuioa. KATU/KAMWE USIRUHUSU mwanamke wako akusimulie chochote about his past relationship(s). Ona sasa mwenzetu unataka kutengana na bloodline zako kisa past relations. Kuwa na hisia...
NRNE,Wa~ban na VPN, China wame~ban social network karibu zote ila maisha yanaendelea kwa VPN. Mazumbukuku ndo yanafikiri yaki~ban Social network yametukomoa, technology ya VPN ipo mbele zaidi uzwazwa wao.
The signs of an incomptent and half cooked leader, amewasiliana na Yesu lini mpaka akampa list ya watumishi wa shetani?, hakuwa amepewa ujumbe huo na Yesu mpaka walipoanza kumkosoa?, uraisi wa kuokota shida zake ndo hizi
Utakuja kulia, mfungulie biashara kwa jina lako....,Nilishalia ...baada ya kumfungulia biashara kw jina lake alinifukuza...nisikanyage kwenye hiyo biashara🎊
Ni zetu, wewe hela isiyo yako inakuwashia nini?, na zile tunazohonga wanawake nazo huwa unatuuliza?, Nimeamini hata mbogamboga moyoni mwao wanaiwaza CDM , midomo yenu inatamani kutamka CDM 24 hrs👇
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.