Recent content by code4494

  1. C

    Je unajua siri hii kuhusu mafanikio

    Upo sahihi ,nakumbuka wakati nipo chuo bado nilikuwa nakaa nyumbani, Nilikuwa nasoma huku nafanya biashara ndogo ndogo hvyo kiuchumi sikuwa vibaya,niliweza kujilipia ada mwenyewe na kujikimu kwa kiasi chake... Kuna siku nimerudi nyumbani asubuhi nimepiga ugimbi haswa nipo hoi ,sasa nataka...
  2. C

    Said Fella: Watanzania naombeni mnichangie nikatibiwe India, Yamoto Band hawapokei simu zangu

    Nadhani pia wasanii wetu na watu maarufu huwa wanajulikana ila umaarufu wao hauendani na uhalisia wa kipato chao. Labda kwa hawa wanaochipukia sasa wanaweza wakawa wamejifunza kwa waliowatangulia
  3. C

    Gawio kwa wanahisawa NICOL

    Mwaka 2003 marehemu mama yangu,alitununulia hisa za NICOL mimi na dada yangu, Chaa ajabu nilienda mwaka juzi 2023 nikakuta hakuna faida yoyote tokea tulivyowekewa na mama,na hatukuwahi kuchukua gawio lolote.. Nilivunjika moyo sitaki kusikia kabisa hili swala
  4. C

    Record ya kipekee kwa timu ya Simba Sc, Camara kipa wa Simba anadaka first eleven ya Guinea na Manula kipa wa Simba anadaka first eleven ya Stars

    Ni wakati wa Aishi Manula kuwa katika 1st eleven kwenye club yake kwa uhai na maendeleo ya mpira katika taifa letu
  5. C

    Njooni tusemezane. Sheria gani inakataza watu kuchangishana? Waziri Mkuu yupo sahihi kumkamata Niffer?

    Nadhani tungenza na Steve Nyerere kipindi cha msiba wa Kanumba kama fundisho yasingetokea yote haya
  6. C

    Njooni tusemezane. Sheria gani inakataza watu kuchangishana? Waziri Mkuu yupo sahihi kumkamata Niffer?

    Sidhani km huyu binti alikuwa anajibizana na PM Kabla ya kauli ya PM kwamba akamatwe kulikuwa na kurushiana vijembe na watesi wake hasa wale wanaofanya biashara kama yake, huku wakidai ni tapeli hzo pesa haziendi kwa wahusika zinaenda mfukoni kwake Mbaya zaidi hapo ametoka kuzindua duka Lake...
  7. C

    Anayesema Yanga imeshuka anatumia moyo badala ya ubongo kufikiri

    Ukizungumilzia swala la waamuzi ni homa kwenye ligi yetu,killa timu imeshaonja kadhia hii, Shida inakuja kwa mashabiki ,timu yako ikinufahika na maamuzi ya referee hakuna shabiki atakae kemea hilo swala,ila ikitokea timu yako ndio imeonewa basi inakua kelele mwanzo mwisho..... Kwa kumaalizia kwa...
  8. C

    Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Hongera sana mkuu,endelea kutupa updated tuzidi kuimarika km darasani
  9. C

    Kuagiza mabasi ya mwendokasi ya dizeli baada ya kukamilika kwa Bwawa la Nyerere itakuwa ni kipimo cha ujinga kwa Watanzania

    Kuna lecturer aliwahi kuniambia,ukiwa umetokea familia masikini then ukubwani ukapata uongozi,basi ni rahisi kurubuniwa kwa fedha ndogo tu ikasababisha uipoteze jamii yako yote
Back
Top Bottom