Upo sahihi ,nakumbuka wakati nipo chuo bado nilikuwa nakaa nyumbani,
Nilikuwa nasoma huku nafanya biashara ndogo ndogo hvyo kiuchumi sikuwa vibaya,niliweza kujilipia ada mwenyewe na kujikimu kwa kiasi chake...
Kuna siku nimerudi nyumbani asubuhi nimepiga ugimbi haswa nipo hoi ,sasa nataka...
Nadhani pia wasanii wetu na watu maarufu huwa wanajulikana ila umaarufu wao hauendani na uhalisia wa kipato chao.
Labda kwa hawa wanaochipukia sasa wanaweza wakawa wamejifunza kwa waliowatangulia
Mwaka 2003 marehemu mama yangu,alitununulia hisa za NICOL mimi na dada yangu,
Chaa ajabu nilienda mwaka juzi 2023 nikakuta hakuna faida yoyote tokea tulivyowekewa na mama,na hatukuwahi kuchukua gawio lolote..
Nilivunjika moyo sitaki kusikia kabisa hili swala
Sidhani km huyu binti alikuwa anajibizana na PM
Kabla ya kauli ya PM kwamba akamatwe kulikuwa na kurushiana vijembe na watesi wake hasa wale wanaofanya biashara kama yake, huku wakidai ni tapeli hzo pesa haziendi kwa wahusika zinaenda mfukoni kwake
Mbaya zaidi hapo ametoka kuzindua duka Lake...
Ukizungumilzia swala la waamuzi ni homa kwenye ligi yetu,killa timu imeshaonja kadhia hii,
Shida inakuja kwa mashabiki ,timu yako ikinufahika na maamuzi ya referee hakuna shabiki atakae kemea hilo swala,ila ikitokea timu yako ndio imeonewa basi inakua kelele mwanzo mwisho.....
Kwa kumaalizia kwa...
Kuna lecturer aliwahi kuniambia,ukiwa umetokea familia masikini then ukubwani ukapata uongozi,basi ni rahisi kurubuniwa kwa fedha ndogo tu ikasababisha uipoteze jamii yako yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.