hii shule ndiyo ilivyo kuchagua watoto wa viongozi kuenda kushiriki katika mashindano mbalimbali. nakumbuka kulikuwa na lile shindano la kuimba ambalo lilikuwa linajumuisha mataifa zaidi ya 100, lilikuwa likifanyika uturuki kila mwaka, hakuna mtoto wa kiongozi ambaye hakuwahi kuenda hata kama...
sauti zikitokea nyumba za ibada ndiyo zinakuwa kelele! ila zikitokea sehemu nyingine zinakuwa burudani! binadamu! subiri wengine watasema kelele zinatokea msikitini.
"In the same way the men also abandoned natural relations with women and were inflamed with lust for one another. Men committed shameful acts with other men, and received in themselves the due penalty for their error". Romans 1:27
"Indeed, those who like that immorality should be spread...
tarehe 30 mwezi huu narudi baada ya safari yangu ndefu kutafuta elimu(5yrs). nawaahidi nitaweka tangazo humu la ajira kwa wenye kuhitaji. kwa wale wenye kutafuta ajira kuweni tayari. MUNGU YU MWEMA
bahati mbaya, mara nyingi huwa inatumika katika mambo ambayo kwa macho ya kawaida ya ubinadamu yanaona kuwa jambo fulani lingetokea/linatokea/ linataa kutokea, matokeo ya jambo hilo ikiwa likitokea basi matokeo yake yatakuwa mazuri ama yataleta faida. lakini sababu jambo halijatokea basi...
kuna wengine humu wanasema wakenya wana roho mbaya na wanachukia watz lakini ukiwa nje ya tz ni bora ukutane na Kenyans kuliko watz. watz ni waongo waongo, wanafiki na chuki wenyewe kwa wenyewe. roho mbaya wala haina utaifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.