Recent content by CNM

  1. C

    Ushauri: Ndugu wamemgeuza mama yangu kama mgodi

    Pole sana aisee! Ushauri wa watu wote Jitahidi uufanyie kazi! Mama anahangaika na vitu vyake mwenyewe! Ushauri wangu kama unajitegemea; 1. Mchukue Mama kaa naye kwa muda, hapo ni rahisi kuchukua gari pia lake. 2. Mwambie Mama mdogo unataka nyumba ya Mama ili kwamba sasa hali ya kodi ya nyumba...
  2. C

    Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

    Welcome Anna! Jisikie Upo Nyumbani
  3. C

    Napata shaka kama ana mapenzi ya dhati kwangu

    Pole sana hapo umepata bahati mbaya! Ushauri mm nafikiri ungemwacha huyo mpya maana huwezi kukufanyia hivyo kwa mtu anayekupenda na utanyanyasika maisha yako yote! Ni afadhali Ubaki kwa kaka wa kwanza ambaye hata kama humpendi sana Ila Upo salama kwa maisha ya mapenzi Ila pia kwa afya yako ya...
  4. C

    Naweza kupata wapi drone nzuri?

    Elviejo naomba namba ya hilo Duka na mm nahitaji! Ahsante
  5. C

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Well said Sky Eclat...
  6. C

    Nini madhara ya mwanaume kukaa muda mrefu bila kufanya sex au faida zake ni zipi?

    Hakuna Shida yoyote! Muda wako ukifika wa kuhitaji kufanya utafanya. Faida ni kuwa na nidhamu na mambo ya sex. Vijana wengi wamekuwa wanachukulia sex kama Michezo ya Kila siku wakati inatakiwa ichukuliwa Kwa umuhimu umakini na furaha kwa mtu ambaye umemchagua ww kushiriki naye.
  7. C

    Nampenda boss wangu aliyeniajiri

    Well said Mshana Jr. Na zaidi epuka mapenzi ya ofcn yatakupotezea focus ya kazi na utaregret maisha yako yote
  8. C

    Magufuli afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa, Wilaya. Mulongo atemwa, Polepole ahamishiwa Ubungo..

    Mwenye orodha ya Wakurugenzi wa Halmashauri wapya please atupataie
  9. C

    Natafuta mwanaume mwenye malengo ya ndoa

    Urefu unaomanisha ni saize gani???
  10. C

    Mama yangu anachat na kuwatumia picha zangu watu nisiowajua

    Pole sana dada! Ukweli siku zote utakuweka huru! Kwanza msamehe mama, pili mpende mama, tatu tafuta namna ya kumwelimisha kuhusu mitandao na mwisho mueleeleze tatizo lake. Naamini atakuelewa!
  11. C

    Wazazi wananichanganya

    Pole sana dada! Fanya unachotaka kufanya Ni Jambo Jema ! Omba kwa Mungu maneno ya kuongea na mama ili aelewe nia njema yako.
  12. C

    PSPF-Nini Kinachoendelea?

    Watawaua wastaafu aisee
Back
Top Bottom