Kwanini mama akuhusishe kwenye vita ya wazazi wakati wewe ni mtoto wa damu wa ukoo huo? Jenga kwa babu bila kumshirikisha mama maana ukiacha na wakati ulikwisharopoka, utaelewekaje na baba yako pamoja na babu?
Pole sana. Kama Babu alishakufa, tumza hela kimya kimya bila kumshirikisha baba wala mama, waache wagombane,wakichoka karabati kwa Babu baadae bila kuwashirikisha. Hata wakijua baadae usijali, Baba ni wa kwako na mama ni wako pia, ukizifuata tofauti zao utajikuta unashindwa kuelewa kwa kuelekea. Kingine ni kuwa, mama anapaswa kutambua kuwa wewe si mtoto mdogo ingawa amekuzaa na una maamuzi pia,hivyo muonyeshe kuwa nia yako ni kuwaunganisha na si kuwatenga kwa kuwaonyesha upendo bila kubagua kama mtu mwenye akili timamu na alie na maamuzi binafsi.Babu alishakufa.
Bila shaka umegundua umimi wa mama mzazi wako, angetamani vyote umfanyie yeye.kimsingi dhamira ya moyo wako iko sahihi sana, isikilize nia ya dhati iliyo ndani ya moyo wako. mama yako mzazi iko siku atakuja kujua ubaya wa anacho taka kupandikiza kwako. Mungu ndio anajua unacho waza kuwa ni chema, endelea na wazo ulilo nalo.hongera sana.Habari za w.end wapendwa.Samahani naomba ushauri.Mimi ni binti (umri 25) niliyetoka kwenye familia ya hali ya kati hivyo pesa kidogo ninayo pata hua napenda kuwafanyia jambo la kuwafurahisha wazazi wangu.
Ikumbukwe mim ndo mkubwa na wazazi wangu wanaishi pamoja
Shida inakuja pale unapotaka kufanya jambo,m hupenda kuwashirikisha wote japo kuna mda mama nampendelea zaidi.
Sasa nilitaka malizia ujenzi kwa babu/upande wa baba,maana baba alijenga akaishia sehem na wadogo zake hawampi support.
Ndipo nifanye ukarabati nyumban kwa babu wa mama na ya wazaz(siyo kwamba ni mbaya kama ni depreciation bas ni 10%-15%).
Lakin mama kanijia juu kwanini nataka kutengeneza kwa babu mimi ni mjukuu sitakiwi kugusa kule.kaongea maneno mengi sana hadi na naumia.
Nimejaribu kumweleza kua m nyumbani ntazidi kuhudumia ila nguvu nyingi nitupie kwa babu kwanza,hanielewi.Ananikumbusha tu jinsi ndugu wa upande wa baba walivyo mtesa afu m naenda tena kuwasaidia.
Hapo hapo baba anasema yaani mwanangu ukinipa support hapo tu basi m ntakua na amani sana.
Jamani nifanye wakubwa zangu.sipendi na sitaki hili jambo lilete mpasuko kati ya wazazi au mm na wao..
samahan kwa mwandiko mbaya
Wapo hai.ila kwakua hawafanyi na mm ninauwezo wa kufanya basi nikae tu kwa kigezo cha ujukuu..hapana kwangu haingii akilini ndunguHii ishu mimi nimeiangalia kwa jicho la tatu, nimegundua mama yupo sahihi kwa mtazamo wa kwake,
Labda nikuulize, ndugu wa baba ako wapo hai pia?
Nitarudi baadae.
Yangu yataisha nikifa ndugu..maana kujijenga hua hakuishi.japo kwa sehem teyarWe ushafanya yako tayari???
Pesa ni yako na maamuzi ni yako. Bila ya babu hata wewe usingezaliwa. Mama atabaki kuwa mama siku zote. Fanya unachotaka kufanya, mama atatulia siku ukihamia kufanya ukarabati upande wake.Habari za w.end wapendwa.Samahani naomba ushauri.Mimi ni binti (umri 25) niliyetoka kwenye familia ya hali ya kati hivyo pesa kidogo ninayo pata hua napenda kuwafanyia jambo la kuwafurahisha wazazi wangu.
Ikumbukwe mim ndo mkubwa na wazazi wangu wanaishi pamoja
Shida inakuja pale unapotaka kufanya jambo,m hupenda kuwashirikisha wote japo kuna mda mama nampendelea zaidi.
Sasa nilitaka malizia ujenzi kwa babu/upande wa baba,maana baba alijenga akaishia sehem na wadogo zake hawampi support.
Ndipo nifanye ukarabati nyumban kwa babu wa mama na ya wazaz(siyo kwamba ni mbaya kama ni depreciation bas ni 10%-15%).
Lakin mama kanijia juu kwanini nataka kutengeneza kwa babu mimi ni mjukuu sitakiwi kugusa kule.kaongea maneno mengi sana hadi na naumia.
Nimejaribu kumweleza kua m nyumbani ntazidi kuhudumia ila nguvu nyingi nitupie kwa babu kwanza,hanielewi.Ananikumbusha tu jinsi ndugu wa upande wa baba walivyo mtesa afu m naenda tena kuwasaidia.
Hapo hapo baba anasema yaani mwanangu ukinipa support hapo tu basi m ntakua na amani sana.
Jamani nifanye wakubwa zangu.sipendi na sitaki hili jambo lilete mpasuko kati ya wazazi au mm na wao..
samahan kwa mwandiko mbaya