Recent content by clinician

  1. C

    Kutofautisha mchemsho na supu ni utapeli mkubwa uliobuniwa na wauza chakula

    Niliwah kwenda mgahawa mmoja pale Bunda, pamechangamka sana. Nikamuuliza mhudumu kuna supu ya ng'ombe? akaniambia mchemsho upo, mie kichwani nikajua mchemsho ndio supu, nikamwambie lete. Likaja bonge la bakuli limejaa mindizi na viazi na vipande vitatu vya nyama, nikala vipande vya nyama...
  2. C

    DOKEZO Matrafiki watatu wa Msolwa - Chalinze: Nina video yenu na sauti Live mkiomba na kupokea rushwa!

    Kaka umepotezewa muda, pesa kidogo na fedheha umepata. Kwa dunia ya sasa ya social media viongozi wetu wana act kwa mihemko sana, ukitoa hiyo video ikaenda viral hao trafic watapoteza zaidi, kuna uwezekano na familia zao na chain yote ya waliopo nyuma yao ikaathirika. Samehe, sahau. Hata wewe...
  3. C

    Ipi ruti rahisi zaidi ya kufika Butiama kutokea Dar es Salaam

    Ni kweli, ujio wa wageni utachangamsha wazanaki.
  4. C

    Ipi ruti rahisi zaidi ya kufika Butiama kutokea Dar es Salaam

    Mtoa mada kuwa makini, humu kuna watu hawajui kitu lakini wepesi kutoa ushauri, utapotea. Panda Bus zinazoenda Musoma au Tarime kutoka Dar, kuna Johanvia, Happy Nation, Abood na Allys hizi za Musoma, ya Tarime kuna Best Line. Kituo unachoshukia ni KIABAKARI, hapa ndio kuna njia panda ya kwenda...
  5. C

    Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

    mkuu huu uzi umeleta kujipa faraja kwa matatizo ya wenzako? ni kama vile huna habari ila furaha ya mwenzio kusadidika kufulia.
  6. C

    Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

    mafumbo uzi mzima, nini kimemkuta?
  7. C

    Ushauri kuhusu huyu mdogo wangu mkopo wa milion 100

    Anataka kukopa sababu anakopesheka? Au ana mipango anataka kufanya? ni mipango ipi? Akikopa ni sawa, asipokopa ni sawa, inategemea anataka kufanyia nini hiyo pesa. Ila kwa kujaribu kudadisi unachotaka kujua, Anaweza kukopa akafanyia maendeleo kama vile kujenga nyumba, ikiwa hana makazi, kununua...
  8. C

    Nafurahia magumu anayoyapitia Fella kuhusu afya yake na aliowasaidia kumtenga haswa chama kile

    Anaumwa nini Said Fela? Wamegombana na Diamond? Je kina Temba na Chege? Kina babu Tale? mbona wapo wengi wana uwezo wa kumsaidia? Nakataa kuombea mabaya watu wengine, hata mimi sijakamilika.
  9. C

    Utofauti huu wa umri kati ya wanandoa haukubaliki. Viongozi wa dini zingatieni maadili

    Mi nakuelewa sana mkuu, nina ideology kama zako, nilipata binti mzuri sana nikiwa na miaka 28 yeye 19, kuna mambo yalitokea tukaachana. Sasa sijapata mke wala mchumba baada ya yule, niko very selective, sasa hivi umri wangu ni Mid 30's nimepata binti ndio kwanza ana 18, sijawa serious nae, ila...
  10. C

    Prof. Abdallah Safari: Kiswahili sio lugha Taifa kwa mujibu wa sheria, tunatumia kimazoea tu

    Anataka nini yeye Safari? kuna madhara gani ya kuendelea kutumia kiswahili kimazoea? Kuna sheria inayotambua kama kichaga ni lugha ya wachaga?
  11. C

    Kutoka Gereza la Ukonga: Barua ya Tundu Lissu kwa Watanzania. Afafanua maana na athari nchi kuwa "banned" au kuwekewa "International restrictions"

    Mkuu Yule jamaa yako Habil na Kabil yuko wapi? anasemaje? nilihisi kuna kitu hakipo sawa kwa yule mtu, niliacha kumfuatilia, ila nipo curious kujua nini kinandelea kumhusu.
  12. C

    Utofauti huu wa umri kati ya wanandoa haukubaliki. Viongozi wa dini zingatieni maadili

    how is experience mkuu? mtarajiwa wangu nimemzidi miaka 18
  13. C

    Utofauti huu wa umri kati ya wanandoa haukubaliki. Viongozi wa dini zingatieni maadili

    Ni kweli, lakini kuna walakini, wanandoa wengi haswa wanaume wakizeeka, wanaanza kutafuta mabinti wadogo wa kuwatumia... uhitaji wa miili michanga ni mkubwa, ila sababu ya imani kama zako, watu wanajikaza, alafu wanafanya kimya kimya.
  14. C

    Utofauti huu wa umri kati ya wanandoa haukubaliki. Viongozi wa dini zingatieni maadili

    Pole, namaanisha gap la umri kati ya mwanaume na mwanamke liwe miaka mingapi ili ionekane ni sawa? tofauti ya miaka mingapi ni sawa na tofauti ipi ni too much?
  15. C

    Utofauti huu wa umri kati ya wanandoa haukubaliki. Viongozi wa dini zingatieni maadili

    Aisee kumbe na miaka yangu hii 40 nitafute mtoto wa miaka 20 nioe eti?
Back
Top Bottom