Niliwah kwenda mgahawa mmoja pale Bunda, pamechangamka sana. Nikamuuliza mhudumu kuna supu ya ng'ombe? akaniambia mchemsho upo, mie kichwani nikajua mchemsho ndio supu, nikamwambie lete. Likaja bonge la bakuli limejaa mindizi na viazi na vipande vitatu vya nyama, nikala vipande vya nyama...
Kaka umepotezewa muda, pesa kidogo na fedheha umepata. Kwa dunia ya sasa ya social media viongozi wetu wana act kwa mihemko sana, ukitoa hiyo video ikaenda viral hao trafic watapoteza zaidi, kuna uwezekano na familia zao na chain yote ya waliopo nyuma yao ikaathirika. Samehe, sahau. Hata wewe...
Mtoa mada kuwa makini, humu kuna watu hawajui kitu lakini wepesi kutoa ushauri, utapotea.
Panda Bus zinazoenda Musoma au Tarime kutoka Dar, kuna Johanvia, Happy Nation, Abood na Allys hizi za Musoma, ya Tarime kuna Best Line. Kituo unachoshukia ni KIABAKARI, hapa ndio kuna njia panda ya kwenda...
Anataka kukopa sababu anakopesheka? Au ana mipango anataka kufanya? ni mipango ipi?
Akikopa ni sawa, asipokopa ni sawa, inategemea anataka kufanyia nini hiyo pesa. Ila kwa kujaribu kudadisi unachotaka kujua, Anaweza kukopa akafanyia maendeleo kama vile kujenga nyumba, ikiwa hana makazi, kununua...
Anaumwa nini Said Fela? Wamegombana na Diamond? Je kina Temba na Chege? Kina babu Tale? mbona wapo wengi wana uwezo wa kumsaidia?
Nakataa kuombea mabaya watu wengine, hata mimi sijakamilika.
Mi nakuelewa sana mkuu, nina ideology kama zako, nilipata binti mzuri sana nikiwa na miaka 28 yeye 19, kuna mambo yalitokea tukaachana. Sasa sijapata mke wala mchumba baada ya yule, niko very selective, sasa hivi umri wangu ni Mid 30's nimepata binti ndio kwanza ana 18, sijawa serious nae, ila...
Mkuu Yule jamaa yako Habil na Kabil yuko wapi? anasemaje? nilihisi kuna kitu hakipo sawa kwa yule mtu, niliacha kumfuatilia, ila nipo curious kujua nini kinandelea kumhusu.
Ni kweli, lakini kuna walakini, wanandoa wengi haswa wanaume wakizeeka, wanaanza kutafuta mabinti wadogo wa kuwatumia... uhitaji wa miili michanga ni mkubwa, ila sababu ya imani kama zako, watu wanajikaza, alafu wanafanya kimya kimya.
Pole, namaanisha gap la umri kati ya mwanaume na mwanamke liwe miaka mingapi ili ionekane ni sawa? tofauti ya miaka mingapi ni sawa na tofauti ipi ni too much?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.