Recent content by clinician

  1. C

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T - CAMS unahusishwa na familia ya Samia

    Wao wanaingiza kupitis bandari ipi? Nimesikia kuna show room Dar wanachukua gari Zambia, ni kweli?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T - CAMS unahusishwa na familia ya Samia

    Kaka nipo nje ya mada, kuna jamaa kaniambia Zambia kuna soko la Magari bei nafuu sana kulinganisha na Tz. Ananiambia kuna jamaa kachukua Vanguard Toyota mpaka TZ kwa around 22m mpaka usajili. Je hilo soko lipo kwa loophole ipi?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nipe namba nikubless vocha boss.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Heri ununue kwa Mswahili anaekupiga faida mara 3 na kujitetea pesa inabaki nchini au ununue kwa Mchina kwa bei rafiki huku akituma pesa kwao?

    Akili za mtoa mada ni kwamba tukubali kupigwa ili wafanyabiashara wapate hela ya kuizungusha. Hajaongelea kuhusu wewe mnunuzi kubana pesa kwa kununua kwa mchina ili na wewe hiyo pesa inayobaki ule nyama uende na kitambaa cheupe.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Interlocking Bricks

    Nzuri, uimara wake upoje?
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa Bongo Fleva kwanini mnapiga kelele wakati wa kuimba?

    Mimi nilihisi labda waliopo ukumbuni walikuwa wanasikia vizuri kuliko sisi wa kwenye TV.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Wakili Peter Kibatala

    Activist.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

    Kuna wimbo wa dini wa zamani sana una hiyo line, "kwani miaka elfu kwetu kwa bwana ni sawa na siku moja" Kama mtu anaujua anipe jina
  9. C

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa Reggae Bongo Kupuuzwa na Fid Q na Madee Miaka 30 Bongo fleva

    mtoa mada anamuongelea Hardmad ila ni kama vile kaparamia uzi anashindwa hata kuweka basic info. Fid Q kamjibu kuwa wasanii wameshakuwa wengi asubiri tour zijazo. Sema jamaa kumuacha jau sana, nasikia na belle 9 hayupo.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Ushuru wa Tesla Model 3 ya 2019 ni karibia theruthi ya Ushuru wa Toyota Crown ya mwaka huo huo. #EV4Everybody!

    Kaka kwa huu ushuru mpya SUV gani imeshuka bei kwa hizi tulizozoea?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa DAR ES SALAAM kuna TAPELI WA JUICE wacha nikufahamishe;-

    Bro labda hujaishi mikoa ya Dar na Pwani.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa DAR ES SALAAM kuna TAPELI WA JUICE wacha nikufahamishe;-

    Bro labda hujaishi mikoa ya Dar na Pwani.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa DAR ES SALAAM kuna TAPELI WA JUICE wacha nikufahamishe;-

    Ila mambo ya Dar bwana yanachekesha, huyo mtu nimeanza kumsikia miaka na miaka, lakini hakuna hatua zozote mnazomchukulia. Mtu yupo, mnamjua, mna ushahidi wa uhalifu, alafu kikubwa mnaweza kufanya ni kulalamika mitandaoni, serious?
  14. C

    JamiiForums Tanzania BYD Dolphin EV Morogoro Road ikiendeshwa na mdada wa Jamiiforums! EV4Everybody!

    Kaka nje ya mada, unaionaje Nissan Qashqai? kwanini hizi gari sio nyingi bongo? naweza kumiliki nje ya Dar?
Back
Top Bottom