Recent content by clinician

  1. C

    Kitenge: Ni ngumu Simba kupata point kwenye mechi zilizobakia

    Kwahiyo aliyeongea Ni kitenge au Nasri?
  2. C

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Asante kwa kunirekebisha,Sie watu wa Mbali Kilimanjaro yote tunaiona ni Moshi.
  3. C

    Habarini wakuu hivi nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi hadi finishings?

    Kaka umeongea ukweli mtupu,mwenye akili akusililize,nimetoka kwenye ujenzi karibuni,kila ulichoongea hapo ni ukweli,milion 50 kwa hiyo nyumba HUMALIZI.
  4. C

    Habarini wakuu hivi nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi hadi finishings?

    Mkuu una uhakika na hizo hesabu? umejenga nyumba karibuni?
  5. C

    CRDB mpo sawa kweli?

    Mwaka jana mwishoni nilikuwa na uhitaji wa Akaunti kwa ajili ya kuingiza vipesa fulani vinavyopita mara kwa mara. Hivyo niliona vipesa hivi nivifungulie akaunti ya bank tofauti na ile nayotumia kila siku. Nikaenda tawi la CRDB mkoani kwangu kwa ajili ya kufungua akaunti, kweli nilifungua...
  6. C

    Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Gen Mboma alitokea kamandi gani? Gen Mwamunyange alitokea kamandi gani? Gen Mkunda ametokea kamandi gani?
  7. C

    Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    Zanzibar ni pwani lakini kiswahili chao kuna maeneo kina Shida sana,Niliwahi kukaa na mzazibari sehemu alikuwa akiongea simuelewi kabisa anaongea nini. Nimezaliwa pwani,nimekulia pwani,hakuna sehemu utapata kiswahili sahihi kama pwani. Pwani ndio kwa waswahili. Mfano mmoja wa mpemba ndio uje...
  8. C

    Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    wali na ubwabwa ni viwili tofauti mkuu,vyote ni viswahili sanifu.
  9. C

    18 Powerful Truth you should know

    Hii nzuri sana
  10. C

    Nina wazo la biashara japo la naliuza

    Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?
  11. C

    Leo nimekula mihogo mitamu na laini kama keki maeneo ya Mbuyuni

    Hiyo ni Mong'onyo....alafu kuna ile inatoa Unga sijui ndio wanaita mfaransa
  12. C

    Kuna msanii mkali wa kupiga live kama Frida Amani?

    Kweli watu mnajua Watu aisee...we jamaa hivi bado unauza vitabu? nashukuru sana kwa Tajiri wa Babeli.,una kazi gani nzuri unaweza nipa recommendation.
Back
Top Bottom