Kaka umeongea ukweli mtupu,mwenye akili akusililize,nimetoka kwenye ujenzi karibuni,kila ulichoongea hapo ni ukweli,milion 50 kwa hiyo nyumba HUMALIZI.
Mwaka jana mwishoni nilikuwa na uhitaji wa Akaunti kwa ajili ya kuingiza vipesa fulani vinavyopita mara kwa mara.
Hivyo niliona vipesa hivi nivifungulie akaunti ya bank tofauti na ile nayotumia kila siku.
Nikaenda tawi la CRDB mkoani kwangu kwa ajili ya kufungua akaunti, kweli nilifungua...
Zanzibar ni pwani lakini kiswahili chao kuna maeneo kina Shida sana,Niliwahi kukaa na mzazibari sehemu alikuwa akiongea simuelewi kabisa anaongea nini. Nimezaliwa pwani,nimekulia pwani,hakuna sehemu utapata kiswahili sahihi kama pwani. Pwani ndio kwa waswahili. Mfano mmoja wa mpemba ndio uje...
Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.