Nmekuelewa mkuu... Wasiwasi wangu ndo hapo sasa maana nawaza tu ile kamati data zake ilizitoa wapi... Kama kweli ni kwenye zile kontena basi ujue hapo kuna wizi ulifanyika na vinginevyo kuna kiini macho
Habar za kuvumishwa tushazoeshwa kwa sababu baadae unakuta inakua ya Kwel.... So hamna namna nyingine... Wabongo ukiwakosoa huna budi na ww uliekosoa kukosolewa.... Wajanja wamenielewa
Yangu macho.... Mtajane tu list ikifika mwisho msituambie mmewapeleka mahakamani.... Mtuambie mmewafanya nn... Maana hata huko watakutana tu wanajuana... Ikaishia hewani
Helo wana jf habarini za muda huu. Mtu kaniachia gari lake kwa kua tu najua kuendesha. Ila sasa nimeendesha mpaka limeishiwa mafuta. Nataka kwenda kuweka mafuta ila sijui ni petrol /aina gani? "sijawahi jaza gari yeyote mafuta "
Nisaidieni.... Nikifika kituo cha kujaza niseme nn. Jamaa siwez...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.