Kweli nimeamini watanzania wengi wetu ni malimbukeni. Tunaacha kujadir mambo ya msingi kwa jamii zima, et tunasimama kwa masilah ya mtu mmoja Kweli! Kweli! Kweli!. Hebu tuweni seriouz bwana, huyo muhariri mbona hukuja na hoja hizi before? Leo hii ndo umeligundua hili?. Alafu nani aliye kwambia vyeti ndo vinafanya kazi au kuongoza vizr? Kaka/dada uongozi ni wito, acheni afanye kazi yake. Fikra ndo ukombozi pekee, na maendeleo yako, acha kunyumbishwa, simama. Nawasilisha
Uhakiki wa vyeti haukuanzia kwa RC Makonda,
uhakiki wa vyeti ni kampeni ya serikali hivyo RC kama kiongozi wa serikali mkoani,
anastahili kuwa safi katika hilo.
'' ondoa kwanza boriti kwenye jicho lako...........''