Mkinga: Barrick walikodi kampuni kutoka SA kuibua makontena ya mchanga

Chukulia jumla ya dhahabu waipatayo kwa mwezi wastani A lakini kwenye makapi dhahabu haishi yote kuna vichache vinabakia sema B

A = 95%

B= 5%

Jumla kamili ya dhahabu

A + B = 95% + 5% =100%

yaani hiyo 95% wanaipata mgodini kama dhahabu na 5% inapatikana baada ya kurudia mabaki kwenye hayo makanikia.
Hadi utakapoachana na reference ya TL ndio utaelewa mwanana Labda....
Kwa waliowahi kufanya hizo kazi wanasema mfano kwa mwezi wanaweza kusafirisha hiyo inayodhaniwa 95% mara mbili kwa idadi ya kawaida mawe yasiyozidi mfano 30 hata ukitaka 60 Wakati wastani wa jiwe moja ni 12.1kg
Kulingana na Gold bar - Wikipedia

Kwa mwezi mwekezaji anasafirisha makontena 277 wastani. Kila kontena lina kilo nne za dhahabu. Utapata kupitia makontena tu wwnasafirisha tan zaidi ya Tani Moja, huku kupitia mawe kwa mwezi hazita fika hata 500kg.

Ndiomaana wenye migodi wanataka kufunga hadi mgodi mkubwa kwa kuzuia mchanga hali yao ni mbaya kimapato.

Note: basis ya hayo makadilio nimeassume nje ya ugunduzi wa tume ya rais bado Narudia Tena hicho alichokisema yule TL kina mashaka makubwa....
 
Hapo kuna a hidden fact.. Huenda yale makontena ni tofauti na yale ya kawaida yanayosafirishwa...huenda walitumia hayo kuiba madini wakastukiwa...
unaweza kuwa upo sahihi mkuu.
lakini tatizo ni kuwa unapofanya uchunguzi wa jinsi ile lazima kitu kinachoitwa "chain of custody" kizingatiwe.
kwenye arbitration hii kitu inazingatiwa sana.

hii ina maana moja tu - ufunguaji wa lile container na kulifunga tena kulitakiwa kuhusishe pande zote muhimu zifuatazo....

serekali & maajenti wake kwa upande mmoja;
Acacia & maajenti wake kwa upande wa pili;
na chombo huru (kilichokubaliwa na pande zote 2) kwa upande wa tatu.
 
Hata wenyewe hawajakataa kama yanathamani kubwa . Tena pamoja na sisi kugundua zaidi, wao yanawaingizia zaidi ya 50% ya kipato Chao cha mwezi. Kuzuia makontena ya acacia mining company Plc ni Sawa na kuziba pua isipumue kampuni hiyo yenye migodi tanzania tu. Kila kiumbe wa acacia anahisi maumivu makali ndio maana wamekuwa wapole...
Hapo ndio unamshangaa mtanzania anapoyaita takataka au magwangala ili kuhamisha magoli watu waache kujadili vitu vya msingi
We acha kuweka macho pembeni huku unaongea pumba.Zile tope zilizokamatwa wala hazina maana ni sawa na kile kitabu cha yule mzungu kilichomkera Jk kuwa watu wa kanda ya ziwa hula mabichwa ya samaki huku minofu yake ikisafirishwa nje.Ukweli wa hizi rasilimali Zetu wanaujua watu wa mwanza.Wazungu wamekaa kimya kwenye sakata la mchanga kwani bado wako bize kusafirisha vitofali vya DHAHABU huku wanawasikilizia kama mtakomaa na matope yenu wawaachie mkajengee nyumba za fito maana mkiwazuia mtamuuzia Nani kwani mna machine ya kuchenjulia nyinyi?
Hata wenyewe hawajakataa kama yanathamani kubwa . Tena pamoja na sisi kugundua zaidi, wao yanawaingizia zaidi ya 50% ya kipato Chao cha mwezi. Kuzuia makontena ya acacia mining company Plc ni Sawa na kuziba pua isipumue kampuni hiyo yenye migodi tanzania tu. Kila kiumbe wa acacia anahisi maumivu makali ndio maana wamekuwa wapole...
Hapo ndio unamshangaa mtanzania anapoyaita takataka au magwangala ili kuhamisha magoli watu waache kujadili vitu vya msingi
We acha kuweka macho pembeni huku unaongea pumba.Zile tope zilizokamatwa wala hazina maana ni sawa na kile kitabu cha yule mzungu kilichomkera Jk kuwa watu wa kanda ya ziwa hula mabichwa ya samaki huku minofu yake ikisafirishwa nje.Ukweli wa hizi rasilimali Zetu wanaujua watu wa mwanza.Wazungu wamekaa kimya kwenye sakata la mchanga kwani bado wako bize kusafirisha vitofali vya DHAHABU huku wanawasikilizia kama mtakomaa na matope yenu wawaachie mkajengee nyumba za fito maana mkiwazuia mtamuuzia Nani kwani mna machine ya kuchenju lia?
 
We acha kuweka macho pembeni huku unaongea pumba.Zile tope zilizokamatwa wala hazina maana ni sawa na kile kitabu cha yule mzungu kilichomkera Jk kuwa watu wa kanda ya ziwa hula mabichwa ya samaki huku minofu yake ikisafirishwa nje.Ukweli wa hizi rasilimali Zetu wanaujua watu wa mwanza.Wazungu wamekaa kimya kwenye sakata la mchanga kwani bado wako bize kusafirisha vitofali vya DHAHABU huku wanawasikilizia kama mtakomaa na matope yenu wawaachie mkajengee nyumba za fito maana mkiwazuia mtamuuzia Nani kwani mna machine ya kuchenjulia nyinyi?

We acha kuweka macho pembeni huku unaongea pumba.Zile tope zilizokamatwa wala hazina maana ni sawa na kile kitabu cha yule mzungu kilichomkera Jk kuwa watu wa kanda ya ziwa hula mabichwa ya samaki huku minofu yake ikisafirishwa nje.Ukweli wa hizi rasilimali Zetu wanaujua watu wa mwanza.Wazungu wamekaa kimya kwenye sakata la mchanga kwani bado wako bize kusafirisha vitofali vya DHAHABU huku wanawasikilizia kama mtakomaa na matope yenu wawaachie mkajengee nyumba za fito maana mkiwazuia mtamuuzia Nani kwani mna machine ya kuchenju lia?
Ungekuwa na mahaba na taarifa rasmi na official audited financial publications za hao unaowaita wazungu wa migodi hasa hiyo miwili zipo free online utagundua wewe tu ndio unaita yele makitu matope. Wenyewe watakushangaa sijui utakuwa umebugia maharage ya wapi...

Taarifa hizo huwa hawawawekei watanzania ila wanawawekea mabillionea waliowekeza humo mitaji yao ambao juzi waliitwa London kupewa updates za biashara zao na zinawekwa kuwavutia wengine pia.
Wewe ni moja ya watu watakaonufaika kielimu na Maamuzi mazuri aliyochukua Rais siku hili sakata likifika ukingoni
 
Wanajua yana hela ndefu ndio sababu lkn mwanasheria msomi Lissu ambaye hajui hata symbol ya copper kuwa ni Cu anasema ripoti ni rubbish
mkuu...Lissu yupo sahihi kabisa kwa 100%. opinion yake imetokana na a well informed briefing kutoka kwa watu wanaoyajua haya mambo in depth and breadth.

binafsi mchakato pamoja na ufundi wa kupima viwango vya madini ndani ya mchanga navijua kwa undani sana.
tunaojua tunashindwa kuelewa ile kamati hata sijui ilipata wapi/vipi yale majibu yake na sijui kama walikuwa anticipative kwenye implications za walichokuwa wanakifanya.
msomi yeyote anayejitambua huwa anajiongeza - ile kamati hata haikujiongeza. kwa nini - wanajua wao wenyewe!

Huwa napata kichefuchefu huyu mtu anapotajwa kwenye mambo ya msingi. Huyo Lissu ni kuwadi mzoefu wa mafisadi.
 
Ni kweli, contena ilionesha ina thamani ya sh milion 40 na baada bandari kushindwa kuopoa walikubali kuilipa Barrick thamani ya mchanga ambazo ni Tshs 40 ml, Barrick wakataa wakakodi mitambo wakalipa karibia Tshs bilion 4.5 kuopoa contena yenye thamani ya Tshs 40ml.
Halafu serikali ikaona ni sawa hilo kontena lilikuwa na thamani ya 40ml na likaachwa liendelee na safari.

Kama ulichoandika ni kweli Basi safi sana. Nchi ya majiniasi inayoongozwa na majiniasi
 
unaweza kuwa upo sahihi mkuu.
lakini tatizo ni kuwa unapofanya uchunguzi wa jinsi ile lazima kitu kinachoitwa "chain of custody" kizingatiwe.
kwenye arbitration hii kitu inazingatiwa sana.

hii ina maana moja tu - ufunguaji wa lile container na kulifunga tena kulitakiwa kuhusishe pande zote muhimu zifuatazo....

serekali & maajenti wake kwa upande mmoja;
Acacia & maajenti wake kwa upande wa pili;
na chombo huru (kilichokubaliwa na pande zote 2) kwa upande wa tatu.
Nmekuelewa mkuu... Wasiwasi wangu ndo hapo sasa maana nawaza tu ile kamati data zake ilizitoa wapi... Kama kweli ni kwenye zile kontena basi ujue hapo kuna wizi ulifanyika na vinginevyo kuna kiini macho
 
Namsikiliza mzee Mkinga akiongelea mada kuhusu hatua za Rais Magufuli kudhibiti wizi wa madini katika kipindi cha JE TUTAFIKA? Kinachoendeshwa na Makwahia wa Kuhenga.Chanel ten

Mkinga anasema kuwa barrick waliwahi kudondosha makontena ya mchanga pale bandari ya Tanga na kulazimika kukodi kampuni kutoka South Africa kwa dola milioni mbili ili kuja kuyaopoa.
Hoja yako ni nin?
Dola mil 2 ni sawa na bilion 4!Wao wanasema kontena moja wanapata mil 300,kama yalizama 100,maana yake ni bil 30 zimezama!
 
Ungekuwa na mahaba na taarifa rasmi na official audited financial publications za hao unaowaita wazungu wa migodi hasa hiyo miwili zipo free online utagundua wewe tu ndio unaita yele makitu matope. Wenyewe watakushangaa sijui utakuwa umebugia maharage ya wapi...

Taarifa hizo huwa hawawawekei watanzania ila wanawawekea mabillionea waliowekeza humo mitaji yao ambao juzi waliitwa London kupewa updates za biashara zao na zinawekwa kuwavutia wengine pia.
Wewe ni moja ya watu watakaonufaika kielimu na Maamuzi mazuri aliyochukua Rais siku hili sakata likifika ukingoni
Mimi sijui umri wako.Unajua neno tofali? Twende kwenye neno mchanga,unajua tafsiri ya neno mchanga?.Sasa sema wewe kipi kilitakiwa kikamatwe?
 
Wanajua yana hela ndefu ndio sababu lkn mwanasheria msomi Lissu ambaye hajui hata symbol ya copper kuwa ni Cu anasema ripoti ni rubbish
Ile report, kwa yeyote mwenye uelewa wa fani ya madini is really rubbish.

Hivi kuna mtu yeyote mwenye akili anayeweza kufikiria kuwa concentrates hazina thamani? Kusema zina thamani, na wewe kujiona umegundua kitu ni ujinga wa hali ya juu. Kila mmoja anajua concentrates zina thamani, ndiyo maana zinasafirishwa. La sivyo basi ACACIA ingekuwa ni kampuni ya wap.umbavu kama wangekuwa wasafirisha kitu kisichokuwa na thamani.

Inashangaza kumsikia mtu ambaye watu mnaamini ana akili, halafu anasema concentrates zile zina thamani sana! Wote tunajua zina thamani, tena thamani kubwa. U-rubbish wa ile report ni kwenye kiasi halisi cha thamani ambapo ripoti yao inaashiria migodi ambako concentrates zinatoka au ni richer 10 times au capacity ya plant ambayo inaonekana kwa macho ya yeyote anayetaka kuona, ni 10 times larger, na hivyo kuifanya migodi hiyo kuwa world class bila ya wataalam wote wa Dunia hii katika fani ya madini kulitambua hilo.

Kasoro kubwa ya hiyo ripoti ni uelewa wa wahusika ambao ni walimu wa jiolojia ambao, kama walivyo wasomi wengi wa Tanzania, ni watu wa nadharia ambao hawajawahi kuiishi mining industry, wanaishi kwenye utopian world.

Kwa vyovyote ripoti hiyo haiwezi kutumika kwa lolote dhidi ya kampuni ya ACACIA. Maana wakitaka tu kuitumia, Acacia lazima wataomba uchunguzi ufanywe na watu wenye utaalam, na kwa vyovyote watathibitisha kuwa ripoti tuliyopewa na hawa 'wasomi' ni rubbish.
 
Wanajua yana hela ndefu ndio sababu lkn mwanasheria msomi Lissu ambaye hajui hata symbol ya copper kuwa ni Cu anasema ripoti ni rubbish
Usiwe na wasi wasi! Huyu kidomo domo Lissu, soon CCM tutamsajili kama kiungo mchezeshaji na hutokaa umsikie tena kwenye majukwaa ya kisiasa akiropoka. Atatulizwa tulii kama Kitila Mkumbo!
 
Nmekuelewa mkuu... Wasiwasi wangu ndo hapo sasa maana nawaza tu ile kamati data zake ilizitoa wapi... Kama kweli ni kwenye zile kontena basi ujue hapo kuna wizi ulifanyika na vinginevyo kuna kiini macho
mkuu, zile data inaweza kuwa imezitoa kutokana na upimaji wa sampuli kutokana na yale yale makontena, lakini zikawa zimepatikana kwa upimaji usiozingatia vigezo na viwango (international mineral testing standards).
upimaje wake si wa kuchota sampuli vyovyote utakavyo na kuitumbukiza kwenye mashine tu. ni mlolongo unaohitaji umakini wa hali ya juu.

ndiyo maana sisi tunaoyajua haya tungependa tuone technical details za hiyo repoti ili tuweze kusema walikuwa sahihi au la!
 
Namsikiliza mzee Mkinga akiongelea mada kuhusu hatua za Rais Magufuli kudhibiti wizi wa madini katika kipindi cha JE TUTAFIKA? Kinachoendeshwa na Makwahia wa Kuhenga.Chanel ten

Mkinga anasema kuwa barrick waliwahi kudondosha makontena ya mchanga pale bandari ya Tanga na kulazimika kukodi kampuni kutoka South Africa kwa dola milioni mbili ili kuja kuyaopoa.


Kama taifa tunatia aibu kwa huu ujinga wa mchanga.

Ngoja nikufundishe kuwa haya mashirika ya NySE na LSE, wanakuwa judged kwa viwango vya juu sana katkka utunzaji mazingira. Kama kweli waliangusha vkntainer bandarini, ni lazima wangeingia gharama zozote kuyaondoa haraka iwezekanavyo ili waepuke kashfa ya kuchafua mazingira. Wasingefanya hivyo, bei za hisa zao zingeporomoka kwa kiasi kikubwa kuliko hicho ki dolla millioni moja.
 
Hadi utakapoachana na reference ya TL ndio utaelewa mwanana Labda....
Kwa waliowahi kufanya hizo kazi wanasema mfano kwa mwezi wanaweza kusafirisha hiyo inayodhaniwa 95% mara mbili kwa idadi ya kawaida mawe yasiyozidi mfano 30 hata ukitaka 60 Wakati wastani wa jiwe moja ni 12.1kg
Kulingana na Gold bar - Wikipedia
Kwa mwezi mwekezaji anasafirisha makontena 277 wastani. Kila kontena lina kilo nne za dhahabu. Utapata kupitia makontena tu wwnasafirisha tan zaidi ya Tani Moja, huku kupitia mawe kwa mwezi hazita fika hata 500kg.
Ndiomaana wenye migodi wanataka kufunga hadi mgodi mkubwa kwa kuzuia mchanga hali yao ni mbaya kimapato....

Note: basis ya hayo makadilio nimeassume nje ya ugunduzi wa tume ya rais bado Narudia Tena hicho alichokisema yule TL kina mashaka makubwa....

Tatizo lenu niwapumbuvu kudhani wizi unaofanyika hatuelewi na tunaandika kishabiki!

kwa taarifa yako

Nimefanya kazi Geita Gold Mine GGM najua ninachokiandika. Nakijuwa kwelikweli.

kwa taarifa yako 2009 nikiwa GGM at 1100hr alhamis kila wiki

-Ndege ilitua pale ikitoka SA directly

-Barabara zote za mgodi zilifungwa kwa saa moja

-Dhahabu ilipakiwa ndani ya ndege

-Ndege iliondoka directly to SA

Saa sita mchana yaan 1200hrs barabara zilifunguliwa nashughuli kuendelea kama kawaida.

Ushenzi huo nikutokana na upuuzi na ufisadi uliotukuka wa ccm. kila wiki......nikiasigani?

Lisu anawauliza mnaacha 95% inaibiwa kwanini? je 5% ni bora zaidi ya 95%? nk
 
unaweza kuwa upo sahihi mkuu.
lakini tatizo ni kuwa unapofanya uchunguzi wa jinsi ile lazima kitu kinachoitwa "chain of custody" kizingatiwe.
kwenye arbitration hii kitu inazingatiwa sana.

hii ina maana moja tu - ufunguaji wa lile container na kulifunga tena kulitakiwa kuhusishe pande zote muhimu zifuatazo....

serekali & maajenti wake kwa upande mmoja;
Acacia & maajenti wake kwa upande wa pili;
na chombo huru (kilichokubaliwa na pande zote 2) kwa upande wa tatu.
Huo ulazima unatoka wapi?
 
Mimi sijui umri wako.Unajua neno tofali? Twende kwenye neno mchanga,unajua tafsiri ya neno mchanga?.Sasa sema wewe kipi kilitakiwa kikamatwe?

Sioni kama umri unanafasi katk haya maana hapa ni mjadala kwa Kila pande kutoa maoni unavyodhani ni sahihi. Mimi ni kijana wa kawaida tu.

Pili Matumizi ya neno mchanga na tofari ni matokeo ya uhaba wa misamiati na ugeni wa mambo ya madini kwa sisi wananchi na baadhi ya viongozi wetu wengi.

Usahihi ni COPPER/GOLD CONCENTRATE KISWAHILI SAHIHI NI MAKINIKIA KISIASA NA MTAANI NI MAchanga KIMAKOSA.

Pia Makinikia sio Magwangala, magwangala ni mabaki ya mawe ambayo yanaweza kuwa na vidhahabu ila makinikia ni product kutoka kwenye Floatation plant ambayo kabla hujatoa dhahabu kupitia cyanide lazima uipitishe Floatation plant kwanza ukamue kona kopa iliyomo na dhahabu nyingi Hubaki humo ikiwepo na madini mengine Bila kutokana na sulphide ore na complications zake katk kukamua shaba.

So huo tunaouita mchanga sio mchanga kiuhalisia ni mkusanyiko wa madini na elements nyingine za kimrabaha.

DOREBAR (semi pure alloy of gold and silver) AMBAO PIA SIO GOLDBAR NI Mche ghafi WA DHAHABU kwa lugha rahisi.

Gold bar hazitengenezwi migodini zinatengenezwa huko ulaya baada ya kuyeyusha tena hizo dorebars na kuzifanya safi kabisa.

Kuhusu kipi ni muhimu nikuulize wewe Kati ya mafuta ya alizeti Lita ishirini na gunia la alizeti ambalo ukikoboa unapata mafuta Lita ishirini kipi bora.

Kumbuka mashudu yanabei sokoni. Na makinikia sio mashudu ni alizeti iliyovunwa na kupigwa, kuanikwa na kupakiwa kwenye makontena tayari kwa kusafishwa.

Tofauti ya alizeti makinikia utapata gold silver shaba na makorokoro mengine mengi ambayo yanaweza kuhuzika na kukupatia pesa za kutosha.

Ili hizo unazosema dhahabu au dorebars zisafirishwe, inabidi zipewe kibali na TRA, wizara ya madini, TMAA. Pia Rais hajasema popote hizo dorebars hana shida ya kuzifuatilia ni maneno ya wanasiasa.

Nilikuwa nimejitoa kuchangia huku siasani lkn naona umenirudisha....
Karibu
 
Back
Top Bottom