Recent content by clever82

  1. C

    Huyu Lowassa si mtu wa kawaida, sasa nimeamini

    Naiombea nchi yangu amani na haki itendeke tar. 25/10
  2. C

    Katika watu wanaojuta ni Arfi Said

    Kwa taarifa tu kuna mama ametoka chadema anitwa mturano amepitishwa viti maalum ccm!
  3. C

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Dsm wamejiandikisha zaidi ya with 2500000
  4. C

    Shule Gani za Sekondari (private) nzuri kwa ufundishaji? (Boarding)

    Kama uko Arusha kuna shule naifahamu inaitwa Renea boys( kwa wavulana) na Renea girls( kwa wasichana) hizi shule ziko vizuri sana kijana wangu anasoma hapo! Wanafuatilia na wako makini sana kwenye ufundishaji.
  5. C

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Dr. Slaa uliyoyatenda kwenye siasa ya hii yataendelea kukumbukwa daima! Umeitendea mengi Chadema bila shaka matunda ya kazi yako yanakifanya leo kuwa kimbilio la wengi!
  6. C

    Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

    Chadema!!!!!
  7. C

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Chadema chama nilichokiamini nani aliyewaroga! Mrudisheni Dr tafadhali, ameijenga chadema, mkimpuuza watanzania hatutampuuza!
  8. C

    Dr. Slaa tafadhali sana baba, tumeyaona uliyoyafanya

    Makamanda tumieni kila njia kuyaweka sawa!! Kwani kumpoteza Dr. wakati huu mtakuwa mmeenda mbele kimbelembele badala ya mbele kinyumenyume!
  9. C

    Dr. Slaa tafadhali sana baba, tumeyaona uliyoyafanya

    Slaa kuondoka au kukaa kimya ni sawa na kuunyong'onyeza upinzani! Chadema kama kweli hamkuyaweka sawa na huyu mzee mmekwisha!! Binafsi sitaona hata umuhimu wa kwenda kupiga kura kwani nitawaona nyie ndio maadui wa mabadiliko na si Dr Slaa ambaye kwangu yeye ndo ninayemuona km icon ya nabadiliko...
  10. C

    Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

    Siri yetu wana Arusha, hatutaki kumuaibisha mbunge wetu tunayempenda! Tunaamini alitereza!!
  11. C

    Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

    Kwa kilichotokea jamaa hakutumia busara kama kiongozi wetu tunayemuamini! Anastahili kushikiliwa, maana mbwembwe nyingi huondoa maarifa!
  12. C

    GE2015 Mambo 10 niliyojifunza 'sanaa za maonyesho' za Lowassa - Arusha

    Obama hakuwa na nguvu alizokuwa nazo Clinton ndani democrats wakati anaanza kuutafuta urais, lkn alifanikiwa kumshinda na baadae kuwa rais wa marekani!!
  13. C

    CHADEMA chaweka kiporo urais

    Amegombea kwa miaka mingapi?!
Back
Top Bottom