Recent content by cleokippo

  1. cleokippo

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Ndio useme sasa joanah we unavutiwa na nan?
  2. cleokippo

    Ushauri wangu kwa serikali ya Jiji la Mwanza

    Maendeleo ya mji ndio maendeleo ya watu
  3. cleokippo

    Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

    Changamoto itakuwa ni fedha sababu ule ni mrad mkubwa na nssf wanatumia fedha za watu ambao ni watumishi na si fedha zao
  4. cleokippo

    Mjini mipango: Wasanii wengi waliounda kundi la East coast wanaishi vizuri hadi sasa, kongole kwao kwa mikakati ya kimaendeleo

    Mbona o-ten yupo tu morogoro hana mbele wala nyuma Kwa ufupi tu dawa zimemuharibu na sasa kawa chiz
  5. cleokippo

    Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

    Nimeweka attachment ya 5star hotel inayojengwa mwanza, kwenye hiyo attachment wanasema jengo limeanza kujengwa 2013 na litakamilika 2017 Lakin mpaka leo hii 2024 jengo bado halijakamilika yaan ndio lipo kwenye hatua ya mwisho kabisa ambapo inasemekana mwezi wa 6 mwaka huu ndio linazinduliwa rasmi
  6. cleokippo

    Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

    Uwekezaji wa 5 star hotel sio wa kitoto Sina hakika kama jamaa yako ataweza kumudu gharama sababu hotel nyingi za nyota 5 ni za wabia, Mfano hapa mwanza ipo moja inajengwa mitaa ya capripoint inatarajiwa kuzinduliwa mwezi wa 6 hotel hii imejengwa na mfuko wa hifadhi ya jamii nssf gharama...
  7. cleokippo

    Matarajio ya Rais Samia kwenye Utalii ni makubwa, tumsaidie ku-brand utalii kama bidhaa

    Ili aweze kufanikiwa zaid inabid awekeze nguvu na kwenye hifadhi nyingine Kama vile serenget nk...tatizo mama yeye anaona kama vile ngorongoro ndio mbuga pekee Na ndio maana uwekezaji mkubwa amewekeza arusha Abadilike huu sasa ni wakati wa mikoa ya kanda ya ziwa inatakowa aelekeze sana nguvu...
  8. cleokippo

    Mwigulu: Licha ya Rais Samia kupokea nchi kwenye hali ngumu, ameweza kumwaga pesa nyingi kwenye miradi kushinda Awamu yoyote wa kabla yake

    Kafanya nini mtu ainishie vitu alivyofanya na sio kutuletea ukolo umu jukwaan? Watanzania sijui nan aliyetuloga, full kumpa mtu maua tukiangalia hakuna cha maana zaid ya kwenda kuomba pesa kwa ajili ya matundu ya vyoo
  9. cleokippo

    Wanaume mpewe nini mtulie?

    We cacutee...ina maana we hujui kama wanawake mko wengi zaid ya wanaume? sasa mkipewa nyie wachache hao wanawake wengine watapewa na nan? Na ndio maana unaona wanaume hatutulii na mmoja lengo letu tuwafikia had wale ambao huduma haijawafikia
  10. cleokippo

    We mbaba unaacha ngapi ya mezani?

    Utakuwa ngosha ww bilashaka Maana watu wa pwani furu hawawajui
  11. cleokippo

    Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

    Bajeti hiyo ngumu sana kaka Sijaona sehem iliyotengwa hata buku 5 ya kununua nusu kilo ya shwaini (nguruwe )
  12. cleokippo

    TANZIA Nimempoteza baba yangu mzazi

    Pole sana mkuu! Ila bado mi nakupinga hapo kwenye kupambana kutafuta kazi Hapo ndipo wasomi wetu wengi mnapo fail, Unahis utapambana mpaka mwaka gani? Jiajir bro acha kupoteza muda, utakuja kukumbuka shuka kumeshakucha Wasomi wa siku hz mnashida gan?
  13. cleokippo

    Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

    Hata hivyo mapenzi ni hisia , hata mtoto wa kike pia anahisia kwahiyo kama vip amchane tu hzi sio enzi za akina nyerere mambo yamebadilika
Back
Top Bottom