Recent content by cleokippo

  1. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    kwani mataifa yote ambayo viongozi wao hupelekwa icc hiwa yanapangiwa cha kufanya mkubwa ni mkubwa tu , atake asitake wakiamua waje wambebe watambeba tu
  2. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Songea inaenda kukua kwa kasi kiuchumi. Wawekezaji, fursa ndio hii

    songea mtasubiri sana huo mji kuendelea labda mpaka CCM tutoke madarakan sasa hv tumeelekeza nguvu Dodoma - Dat nyie takataka nyingine mkae kwa kutulia kwanza
  3. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Tangu 2000 Mwanza ilipokuwa jiji la pili kwa watu wengi, uchangiaji wa kodi, wanafunzi, bado serikali haijajenga chuo kikuu kuna kipi kinafichwa?

    swali gani hilo unalouliza? umeshaambiwa ni jiji la pili tanzania kwa idadi ya watu bado tena unauliza hv Mwanza napo kuna watu sasa kwa uelewa wako ukitoa jiji la Dar kuna jiji gan lenye watu wengi kulizid Mwanza?
  4. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Askari wa JWTZ wazagaa na bunduki mitaani huko Arusha

    ndio tatizo la hii inch ujue vyombo vya usalama vyenyewe ndio vinavyoanzisha taharuki sasa wanatembea na silaha barabarani za nini?
  5. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Ananisumbua sana huyu mwanamke

    sasa ameshakuwa mkwel kakwambia hakutaki unacholazimisha nini? tena ushukuru sana mungu kakwambie mwingine anakuwekea sumu tu una rest kwahiyo haina haja ya kukomaa nae usije ukapoteza maisha bule
  6. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

    kipi muhimu sasa hapo? kutoa pole mtandaoni au kwenda live kutoa pole kwenye familia? ungekuwa ndugu wa karibu na heche au ndugu wa karibu wa familia ungejua nini kinaendelea kuhusiana na hio msiba inshort chadema ndio wameubeba huo msiba na mazishi yatafanyika siku ya jumapili uko mkoa wa Mara
  7. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi, ndani ya miezi miwili nipate milioni 1

    kiongozi maranyingi kazi yeyote ile ngumu huwaga haina maslah kama unavyofikiria wewe mfano: kubeba zege, kusukuma mkokoteni, kupasua mawe nk kazi zenye maslahi ni kazi za kitaalam tu sasa kama una utaalam vi vyema ukasema huenda ukampata mtu umu jf akavutiwa na utaalam wako akakupatia kazi...
  8. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya taifa hayakai Dar pekee

    changamoto kibwa mkuu ni watawala ni kheli kungekuwa na serikali za majimbo huenda kila kanda , halmashaur au mikoa ingenufaika na rasrimali zake kuliko huu mfumo uliopo sasa kwasasa mapato ya nchi nzima yanatumika kuijenga dar na dodoma na ndio maana watu wanaona kwamba dar ndio kila kitu
  9. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli, Dar es Salaam ndio center ya mafanikio hapa Tanzania? Unamshauri nini kijana?

    kwahiyo unataka kutuaminisha fursa za kiuchumi zipo katoro na kahama tu? ujue unapochambua jaribu kuelezea fursa za kiuchumi kwanza zilizopo mahali hapo theni ndio utoe ushaur kwanini katoro na kahama tu? mbona hujaitaja mwanza? unataka kuniambia katoro na kahama zinaizid mwanza? katoro na...
  10. cleokippo

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Prof Mussa Assad: Kuna Waziri Kijana ana ukwasi wa kutisha miaka mitano tu madarakani!!

    bila shaka uyu atakuwa yule aliyewahi kuwa msanii wa bongo fleva toka east coast team.....aliyeimba mimi na mabinti dam dam kwasasa yuko wizara moja na BASHITE huyu mtoto wa Tanga ni mpuuzi sana , katuonyesha Carparking shade yake kapaki gari za kifahar tupu mbaya zaid ile carparking shade...
  11. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Aisee yani tulikopa mpaka nchi ya IRAQ na tuna daiwa pesa

    Watu hatushangai kukopa , ila tunachosahangaa ni kwamba hizo pesa tulizokopavtumefanyia nini? ugumu wa maisha ndio umeongezeka mara dufu miradi mikubwa ya kimkakati karibu yote imesimama mfumko wa bei ndio usiseme yaan hakuna chochote tulichokifanya kutokana na hiyo mikopo zaidi ya kuskia tu...
  12. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Serikali ya awamu ya sita, Imefeli Kusimamia Sekta ya Madini Chunya na Songwe

    sio kwenye madini tu bali imefeli kwenye kila sekta
  13. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Jeshi la zimamoto na uokoaji Sengerema ni jipu. Viongozi ingilieni kati

    MH WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, SENGEREMA INALIA-JE, NANI ATASIKIA SAUTI YA WANANCHI? Kwa kipindi cha hivi karibuni, wilaya ya Sengerema imekuwa ikikumbwa na matukio ya moto yanayo sababisha hasara kubwa kwa wananchi, kinachozid kuumiza ni kwamba karibu kila tukio linapoibuka, matumaini ya...
  14. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Ni vitu gani mwanamke hupenda zaidi, ukimfanyia kama ukiwa nae katika mahusiano au ndoa?

    we joanah wewe....mbona umetamka vzr hilo neno 👉kumkaza vzr
  15. cleokippo

    JamiiForums Tanzania KERO Mapunjo ya Fedha za Kujikimu (Afya) katika Halmashauri ya Mbulu. Je, Serikali imepeleka fedha chache huko kwingine? Kwanini sisi tulipwe nusu?

    serikali sio ya kubishana nayo, wenzio tupo mtaan tangu mwaka 2013 tumalize chuo tunatubu tu hakuna cha ajira wala nn we umefanikiwa kupata ajira na unapewa pesa ya kujikimu bado unatishia kujamba acha kazi bas nafas yako tuje kuchukua sisi tuliopigika na maisha uku kitaa mi naingia hata bila...
Back
Top Bottom