uyu ester bulaya alipokuwa chadema alikuwa na akili
lakin sasa hv yupo makijan ameshakuwa chizi tena
hivi kweli angekuwa na akili angeongea hiyo kauli kwamba tanzania haitakubali siasa za shinikizo?
ujinga mnaufanya ninyi wenyewe
nchi ina kila kitu matokeo yake mnaifasadi kisha mnaenda...
Mama kashasema wasichukuliwe hatua yeyote
Watajwe tu basi ili waone aibu
Hiyo ndio kauli ya mama yetu kipenzi ambaye watu walimuani na wakampia kura akashinda kwa kishindo
Majina oyeeeee!!
Chanzo cha habar toka ndani ya ofis ya mkurugenzi halmashaur ya wilaya ya sengerema zinadai kwamba pesa zilizotolewa na mh rais wa jamhuri ya muungano kwa ajili ya kuwainua vijana , akina mama na wazee zinazotokana na 10% ta mapato ya ndani zimetafunwa na ofis ya mkurugenzi wa halmashauri ya...
Kumekuwa na simtofaham kuhusiana na pesa zinatolewa na serikali kwa ajili ya kuinua uchumi wa vijana, akina mama , wazee na walemavu katika halmashaur ya wilaya ya Sengerema.
Awali kulikuwa na tetes ya kwamba pesa hizo zingetoka kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa lakini mpaka sasa hivi...
Habari zenu wakurungwa!
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi nipo wilaya X , jiji la Mwanza, nimehamasika sana kuandaa mashindano ya marathon ila tatizo linakuja kwamba. hakuna chochote ninachofaham kuhusiana na jambo hilo
Hivyo naomben msaada kwa anayefaham namna ya kuandaa...
Wewe uliyeweka bandiko ndio mshamba
Unatakiwa ujitathmin kwa ulichoandika
Kuhusu burudan, mbeya wanapenda sana burudan na wanajua kutofautisha kati ya siasa na burudan
Kwenye siasa fanya siasa na kwenye burudan fanya burudan
Sisi sio wangese tumelipia pesa zetu kuna kuburudika unatuletea...
Jiajir wewe acha kutegemea kuajirowa
Ajira kwa sasa hakuna mzee
Tatizo la ajira ni tatizo la kitaifa, vinginevyo nenda kwenye hiyo mikoa unayoamin kuwa na fursa za ajira
Maji ni tatizo la kitaifa mkuu
Tukisema tuongee sana tutaambiwa tunapingana na serikali hivyo ni kher tukae kimya sasa, maana hii nchi ilipofikia tafsir yake ni kwamba tumefungwa midogo
Mi nipo sengerema mkuu, ma staff wote wa mamlaka ya maji wananifaham
Nimepambana kwa jasho na damu kupaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.