kwani mataifa yote ambayo viongozi wao hupelekwa icc hiwa yanapangiwa cha kufanya
mkubwa ni mkubwa tu , atake asitake wakiamua waje wambebe watambeba tu
songea mtasubiri sana
huo mji kuendelea labda mpaka CCM tutoke madarakan
sasa hv tumeelekeza nguvu Dodoma - Dat
nyie takataka nyingine mkae kwa kutulia kwanza
swali gani hilo unalouliza?
umeshaambiwa ni jiji la pili tanzania kwa idadi ya watu
bado tena unauliza hv Mwanza napo kuna watu
sasa kwa uelewa wako ukitoa jiji la Dar kuna jiji gan lenye watu wengi kulizid Mwanza?
sasa ameshakuwa mkwel kakwambia hakutaki unacholazimisha nini?
tena ushukuru sana mungu kakwambie
mwingine anakuwekea sumu tu una rest
kwahiyo haina haja ya kukomaa nae usije ukapoteza maisha bule
kipi muhimu sasa hapo?
kutoa pole mtandaoni au kwenda live kutoa pole kwenye familia?
ungekuwa ndugu wa karibu na heche au ndugu wa karibu wa familia ungejua nini kinaendelea kuhusiana na hio msiba
inshort chadema ndio wameubeba huo msiba na mazishi yatafanyika siku ya jumapili uko mkoa wa Mara
kiongozi maranyingi kazi yeyote ile ngumu huwaga haina maslah kama unavyofikiria wewe
mfano: kubeba zege, kusukuma mkokoteni, kupasua mawe nk
kazi zenye maslahi ni kazi za kitaalam tu
sasa kama una utaalam vi vyema ukasema huenda ukampata mtu umu jf akavutiwa na utaalam wako akakupatia kazi...
changamoto kibwa mkuu ni watawala
ni kheli kungekuwa na serikali za majimbo huenda kila kanda , halmashaur au mikoa ingenufaika na rasrimali zake kuliko huu mfumo uliopo sasa
kwasasa mapato ya nchi nzima yanatumika kuijenga dar na dodoma na ndio maana watu wanaona kwamba dar ndio kila kitu
kwahiyo unataka kutuaminisha fursa za kiuchumi zipo katoro na kahama tu?
ujue unapochambua jaribu kuelezea fursa za kiuchumi kwanza zilizopo mahali hapo theni ndio utoe ushaur
kwanini katoro na kahama tu?
mbona hujaitaja mwanza? unataka kuniambia katoro na kahama zinaizid mwanza?
katoro na...
bila shaka uyu atakuwa yule aliyewahi kuwa msanii wa bongo fleva toka east coast team.....aliyeimba mimi na mabinti dam dam
kwasasa yuko wizara moja na BASHITE
huyu mtoto wa Tanga ni mpuuzi sana , katuonyesha Carparking shade yake kapaki gari za kifahar tupu
mbaya zaid ile carparking shade...
Watu hatushangai kukopa , ila tunachosahangaa ni kwamba hizo pesa tulizokopavtumefanyia nini?
ugumu wa maisha ndio umeongezeka mara dufu
miradi mikubwa ya kimkakati karibu yote imesimama
mfumko wa bei ndio usiseme
yaan hakuna chochote tulichokifanya kutokana na hiyo mikopo zaidi ya kuskia tu...
MH WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, SENGEREMA INALIA-JE, NANI ATASIKIA SAUTI YA WANANCHI?
Kwa kipindi cha hivi karibuni, wilaya ya Sengerema imekuwa ikikumbwa na matukio ya moto yanayo sababisha hasara kubwa kwa wananchi, kinachozid kuumiza ni kwamba karibu kila tukio linapoibuka, matumaini ya...
serikali sio ya kubishana nayo, wenzio tupo mtaan tangu mwaka 2013 tumalize chuo tunatubu tu hakuna cha ajira wala nn
we umefanikiwa kupata ajira na unapewa pesa ya kujikimu bado unatishia kujamba
acha kazi bas nafas yako tuje kuchukua sisi tuliopigika na maisha uku kitaa
mi naingia hata bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.