Recent content by cleokippo

  1. cleokippo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke age-mate wako aliyekukataa wakati ana miaka 21, atajisogeza kwako akifika miaka 30

    sasa umetuandikia makilugha gani ayo unadhani sisi sote tuliokuwa jf ni ma university wenzio?
  2. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    uyu ester bulaya alipokuwa chadema alikuwa na akili lakin sasa hv yupo makijan ameshakuwa chizi tena hivi kweli angekuwa na akili angeongea hiyo kauli kwamba tanzania haitakubali siasa za shinikizo? ujinga mnaufanya ninyi wenyewe nchi ina kila kitu matokeo yake mnaifasadi kisha mnaenda...
  3. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Heche Ni Muongo. Mafuta Yamepanda Dunia Nzima. Hayajapandishwa na Serikali wala wafanyabiashara

    Usituandikie ujinga wako hapa Ebu tuondolee u ccm yako hapa
  4. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Inakatisha tamaa kulipa kodi katika nchi yetu, mafisadi hawana cha kuogopa

    Mama kashasema wasichukuliwe hatua yeyote Watajwe tu basi ili waone aibu Hiyo ndio kauli ya mama yetu kipenzi ambaye watu walimuani na wakampia kura akashinda kwa kishindo Majina oyeeeee!!
  5. cleokippo

    JamiiForums Tanzania machinist chini : pesa za mama samia zinazotokana na 10% ya mapato ya ndani zatafunwa halmashaur ya wilaya ya sengerema

    Chanzo cha habar toka ndani ya ofis ya mkurugenzi halmashaur ya wilaya ya sengerema zinadai kwamba pesa zilizotolewa na mh rais wa jamhuri ya muungano kwa ajili ya kuwainua vijana , akina mama na wazee zinazotokana na 10% ta mapato ya ndani zimetafunwa na ofis ya mkurugenzi wa halmashauri ya...
  6. cleokippo

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali imulikeni Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema pesa zinazotokana na 10% ya mapato ya ndani

    Kumekuwa na simtofaham kuhusiana na pesa zinatolewa na serikali kwa ajili ya kuinua uchumi wa vijana, akina mama , wazee na walemavu katika halmashaur ya wilaya ya Sengerema. Awali kulikuwa na tetes ya kwamba pesa hizo zingetoka kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa lakini mpaka sasa hivi...
  7. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuanzisha marathon hivyo yeyote mwenye uelewa juu ya jambo hili naomba anielekeze taratibu zote mpaka kukamilika kwa jambo hilo

    Hilo ndio kusudio langu, kwamba sehemu ya pato itaenda kwenye ukatabati wa shule niliyosoma maana naona shule imechakaa sana
  8. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuanzisha marathon hivyo yeyote mwenye uelewa juu ya jambo hili naomba anielekeze taratibu zote mpaka kukamilika kwa jambo hilo

    Habari zenu wakurungwa! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, Mimi nipo wilaya X , jiji la Mwanza, nimehamasika sana kuandaa mashindano ya marathon ila tatizo linakuja kwamba. hakuna chochote ninachofaham kuhusiana na jambo hilo Hivyo naomben msaada kwa anayefaham namna ya kuandaa...
  9. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

    Hapo labda mwanza, tanga na iringa Dar na moro wote vichaa
  10. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

    Wewe uliyeweka bandiko ndio mshamba Unatakiwa ujitathmin kwa ulichoandika Kuhusu burudan, mbeya wanapenda sana burudan na wanajua kutofautisha kati ya siasa na burudan Kwenye siasa fanya siasa na kwenye burudan fanya burudan Sisi sio wangese tumelipia pesa zetu kuna kuburudika unatuletea...
  11. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

    Jiajir wewe acha kutegemea kuajirowa Ajira kwa sasa hakuna mzee Tatizo la ajira ni tatizo la kitaifa, vinginevyo nenda kwenye hiyo mikoa unayoamin kuwa na fursa za ajira
  12. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Ukosefu wa maji mkoa wa Dar es Salaam,je mtaani kwako kuna maji?

    Maji ni tatizo la kitaifa mkuu Tukisema tuongee sana tutaambiwa tunapingana na serikali hivyo ni kher tukae kimya sasa, maana hii nchi ilipofikia tafsir yake ni kwamba tumefungwa midogo Mi nipo sengerema mkuu, ma staff wote wa mamlaka ya maji wananifaham Nimepambana kwa jasho na damu kupaza...
Back
Top Bottom