Ananisumbua sana huyu mwanamke

Ananisumbua sana huyu mwanamke

Wakuu Nina ndoa ya miaka 10 wife ana sumbua sana anataka tuachane sababu siijui amekubali na dharau sana anafai nimpe nauli arudi kwao hanitaki tena.

Tumezaa watoto watatu tunaishi Mwanza, yeye kwao ni Mbeya na mimi kwetu Singida. Nipeni ushauri wakuu.

Tumejenga nyumba moja na biashara ya dumwamb
Mwambia akupe siku 3 then fanya maombi ya vita , kama bado atasema ana hitaji talaka
Mpatie
 
Wakuu Nina ndoa ya miaka 10 wife ana sumbua sana anataka tuachane sababu siijui amekubali na dharau sana anafai nimpe nauli arudi kwao hanitaki tena.

Tumezaa watoto watatu tunaishi Mwanza, yeye kwao ni Mbeya na mimi kwetu Singida. Nipeni ushauri wakuu.

Tumejenga nyumba moja na biashara ya duka
Achananae kama n wa mbeya uku ni kwetu mm naishi uku atakuja kukuua usipokuwa makini
 
Wakuu Nina ndoa ya miaka 10 wife ana sumbua sana anataka tuachane sababu siijui amekubali na dharau sana anafai nimpe nauli arudi kwao hanitaki tena.

Tumezaa watoto watatu tunaishi Mwanza, yeye kwao ni Mbeya na mimi kwetu Singida. Nipeni ushauri wakuu.

Tumejenga nyumba moja na biashara ya duka
sasa ameshakuwa mkwel kakwambia hakutaki unacholazimisha nini?

tena ushukuru sana mungu kakwambie
mwingine anakuwekea sumu tu una rest

kwahiyo haina haja ya kukomaa nae usije ukapoteza maisha bule
 
Haya mambo wakati mwingine yanaumiza sana kichwa.
 
Sifahamu sababu ni nin miezi miwili nyuma alihama chumban nilipomuliza sababu hakusema
... Hakunaaa... Ushindweee!

Acha kuja na narratives za uongo hapa mkuu.

Hilo jambo la 'kutofahamu' sababu halipo na haliwezekani.

Unapoomba msaada ili kutanzua jambo flani, kila kitu kiweke wazi ili watu wakusaidie kukushauri sawa sawa.

Kuficha ficha haitakusaidia chochote.
 
Wakuu Nina ndoa ya miaka 10 wife ana sumbua sana anataka tuachane sababu siijui amekubali na dharau sana anafai nimpe nauli arudi kwao hanitaki tena.

Tumezaa watoto watatu tunaishi Mwanza, yeye kwao ni Mbeya na mimi kwetu Singida. Nipeni ushauri wakuu.

Tumejenga nyumba moja na biashara ya duka
Kuachana sio swala la kushauriwa ni maamuzi yako hupaswi kuingiliwa kwenye maamuzi....amua kwa akili yako.
 
Muache aende, usimlazimishe na akijifanya anarudi ukatae amepata bwana na anamdanganya
 
Watoto mmoja kavuka miaka 7 yupo darasa la nne mwingine bado hajavuka ila yupo darasa la kwanza, je nifanyaje watoto wote niweze kubaki nao
Hapo ni kuwa na busara tu za kukubaliana nae kuhusu hao watoro maana wanasoma wewe ulipo.
 
Sababu ipo ila hutaki kuisema, ahame tuu room yy chizi? Sbb hutaki kuweka wazi ushauri pia unakuwa mgumu.
 
Back
Top Bottom