JE MBINGUNI KUNA HEKALU
Ufunuo 11:19 "Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana".
YESU ANATUOMBEA KWA NANI? Waebrania 7:22, 23, 24, Na 25...