Recent content by Clemford

  1. Clemford

    NATAFUTA KINANDA (PIANO KEYBOARD) CHA KUNUNUA

    Wadau natafuta kinanda cha kawaida cha muziki. Bajeti yangu ni shilingi 400,000. Naomba mwenye uwezo wa kusaidia tuwasiliane. Lengo ni kujifunza tu kuplay muziki na hivyo sihitaji kinanda chenye uwezo mkubwa kwa sasa.
  2. Clemford

    Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika

    Basi ina maana Dr Mwele ana vyeti vyote vya shule
  3. Clemford

    Ni bustani gani nzuri kwa sherehe ya harusi Dar es Salaam

    Habari za saa hizi humu ndani? Naomba kupatiwa msaada wa mapendekezo ya bustani nzuri inayofaa kwa ajili ya sherehe ya harusi. Ninatarajia kufunga harusi na kuwa na wageni wasiopungua 400. Sihitaji kutumia ukumbi kwa sababu nataka kufanya sherehe ya harusi wakati wa alasiri kuanzia saa 10:30...
  4. Clemford

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum Machi 12

    Barua haijasema "mabadiliko" imesema "mageuzi". Kisiasa haya maneno mawili yanaleta tofauti kubwa sana
  5. Clemford

    Serikali kwa udhaifu wenu huu kila siku Tundu Lissu atawatoeni knock out Mahakamani

    KWANINI NI VIGUMU KUMSHINDA TUNDU LISSU Baadhi ya watanzania wamekuwa wakishangazwa na uwezo mkubwa na umahiri wa nguli huyu wa sheria bwana Tundu Lissu, kwanza kwenye medani za siasa, na pili kwenye tasnia na taaluma ya sheria. Yako mambo muhimu watu wanajiuliza inakuwaje anashinda (angalau...
  6. Clemford

    Nini matokeo ya zuio kama Mbowe atatuhumiwa kwa kosa la mauaji?

    Kilichotolewa jana sio hukumu. Hukumu ni uamuzi wa mahakama baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili. Mahakama ilichotoa jana ni amri ya zuio la kukamatwa mpaka pande zote mbili zitakaposikilizwa. Kuna tofauti ya "order" of the court na "judgment" of the court. Kilichotoka Jana ni order...
  7. Clemford

    Tundu Lissu aianza rasmi safari yake kuelekea urais wa TLS

    Tundu Lissu: when our very constitutional and legal order has come under the most vicious and sustained assault by those in power. Our Constitution has been violated in the most brazen manner. Our fundamental rights and freedoms have been rendered useless. Our Bar and Bench are mocked and...
  8. Clemford

    Kuendesha Gari Barabara Kuu Sasa ni Kero: Alama za 50km/hr Zinapaswa Kupitiwa Upya

    Kaka mimi nilishaamua kufanya safari zangu usiku kuepusha usumbufu
  9. Clemford

    Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

    JE MBINGUNI KUNA HEKALU Ufunuo 11:19 "Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana". YESU ANATUOMBEA KWA NANI? Waebrania 7:22, 23, 24, Na 25...
  10. Clemford

    Malipo ya hundi za kimataifa

    Naleta kwenu wadau. Kuna rafiki yangu mmoja mfanyabishara. Alilipwa fedha zake kwa hundi (cheques). Drawers' Bank ni za Marekani na mlipwaji ni Mtanzania. Aliwasilisha hundi zake kwa ajili ya malipo kwenye Benki moja hapa mjini. Hundi zikawa deposited. Amesubiri kwa muda wa siku zaidi ya...
  11. Clemford

    Iphone 5s inahitajika

    Ni pm bosi
  12. Clemford

    Iphone 5s inahitajika

    Nahitaji iPhone 5s ya 64 GB. Mwenye nayo anipm tuwasiliane
  13. Clemford

    GE2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Lazima ifike mahali tuambiane ukweli. Ni aibu sana kwa Msomi wa uzamivu katika fani yoyote ile, aliyehitimu shahada ya balehe ya kwanza (Bachelor Degree), na Uzamili mpaka uzamivu, na zote alizifanya kwa lugha ya kiingereza atoe hotuba kama hiyo. Ni kasoro kubwa sana sio tu kwake mwenyewe ila...
Back
Top Bottom