Recent content by clauscosmas

  1. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Hapa bd nashindwa kupata uhakika et wanadai darasa la saba kuanzia mika 16-18,halaf form 4 kuanzia 18-20,wakt mm najua kuna sheri inayodai kuwa umri wa kijan unaanza miak 18 na kuendelea sasa huko chin ya miak 18 si mtoto??
  2. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kimewahi kukupa maumivu makali

    kujigonga wakat nina usingz dahhh ni maumiv makali
  3. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

    picha please
  4. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Jamani kati ya Hawa Yupi Utampeleka Nyumbani kwa Wazazi

    Bora hata wema kigmdg kuvaa amajiheshimu
  5. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi

    Ok nipe contact zKo Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  6. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Mahusiano ya mwanamke na mwanaume ni kusaidiana si utumwa

    Yah ni kweli ila kwa dunia ya sasa inathamin sana pesa kila mwanamke utakaekutana nae atasema mapenz pesa na ni wachache sana watakuwa wanapenda kweli kuliko pesa na ukifanikiwa kumpata km huy shukuru Mungu sana
  7. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi

    Tatizo sik hz lazm tufahamian kwa sura picha ni muhim sana fany hvyo
  8. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi

    Kwahy ww unatafuta mpenz au mume wa kukuoa?
  9. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Watumishi Hewa ni Maigizo ya Serikali, Mbona Waliohusika Hawataji au Ajira Zilitoka Mbinguni?

    Una uhakika???serkaln wale wale wa maofisin,na hospitaln wakat wanataj ww uko wap??
  10. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Baada ya benki ya CRDB kusitisha mikopo, benki ya Posta nayo yasitisha

    Janga la kitaifa ni njaa na maafa sio kushuka kuichumi???mbon miaka yote uchumi haujashuka uje ushuke kipind hk??
  11. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Timu ya taifa ya Wanawake ya Zanzibar imefungwa magoli 10 kwa 1 na Burundi

    Hy mech imechezeka lin wadau.??
  12. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa wilaya Geita Mjini kufikishwa Mahakamani. Ni baada ya kuwadhalilisha wanawake wa Geita

    Mm naona hapo tungepata ushahid wa video au audio tusikurupuke mpaka tuprov kwanza
  13. clauscosmas

    JamiiForums Tanzania Mtu wa kuchat nae WhatsApp (mwanamke)

    Ujasema ni jinsia gan ebu tuambie kwanza tujue km ni mwanamk au mwanaume
Back
Top Bottom